Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge

Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge

Hiyo ya kutosimamisha kwa wengine, kuwa nayo makini dada, ukikosea masharti ndo inakua mazimaaa hata kwako inakua mfu tyuuh.

Kuna mama alimtengeneza mumewe, kamuharibu sahv yeye anatoka nje, mumewe yupo yupo tyuuh.

Ila wanaume waache umalayaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni dini tu ndo kikwazo, lakini mwanaume kuridhika na mwanamke mmoja haiwezekani.....
 
Hiyo ya kutosimamisha kwa wengine, kuwa nayo makini dada, ukikosea masharti ndo inakua mazimaaa hata kwako inakua mfu tyuuh.

Kuna mama alimtengeneza mumewe, kamuharibu sahv yeye anatoka nje, mumewe yupo yupo tyuuh.

Ila wanaume waache umalayaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aah bana wanachosha bora tukose wote sio kushare kila siku ugomvi amani itawale kwa sasa tuangalie mambo mengine pia
 
Kwetu imesha mvua kubwa Sana kwahyo acha nifate vitumbuq dukani nije nishushe na hii chai yako maana Ni ya🔥🔥 sana
 
Akigundua lazima ndoa iende na maji; kuna mchepuko mmoja alinifanyia mauza uza, nikikutana na mwanamke mwingine jogoo hasimami ila nikutana na yeye jogoo anasimama.
Nilipogundua, hapo ndipo ukawa mwisho wa mahusiano.

Nilicho kifanya hata kwenda kwa mwanamke mwingine hatoweza hivyo hatojua kama hawezi kusimamisha kwa mwanamke mwingine
Hio ni njia ya tatu by the way hizo mbili zipo ni kali zaidi
 
How it was started.
Heeh kumbe alikuwa serious,yalah one man down
 
Hakuna cha kuliwa ukipuliza tu kitu kinaitika yaani utapigia simu hata mara 1000 chezea kuwekwa kwenye chupa😅😅
Mkuu basi huyo wa kwangu ndivyo alivyodanganywa kwa sababu siyo kwa kuajiamini kule. Mshenzi alinilia ''time'', nimesafiri akamleta ndani kabisa. Ile siku nimesema narudi akachukua nazi kavunjia mlangoni huku anasoma maneno kwenye kikaratasi. Nilipoingia ndani akadhani sioni akasindikiza na yai viza la kuvunja. (nadhani alishaamini kuwa dawa zimenipumbaza).
 
So sad, sijawahi kuwaza kufanya hivi ila hapa nilipofika sina namna, otherwise nachanganyikiwa bure. Huu ni mwaka wa tatu wa ndoa, na miaka miwili ilikuwa ya furaha na amani hadi mwaka wa tatu ulipoanza, nimeona mapicha picha ya kila namna kutoka kwa huyu mwanaume.

Nimekonda nimechakaa kiufupi sina nuru hata biashara na kazi zangu zimeyumba sana. Miaka mitatu ya ndoa sijawahi kuchepuka hata kuwa na ukaribu na mwanaume yoyote, namuheshimu mume wangu.

Ni mwanamke ambae mwaka mmoja uliopita hata ungeniletea ushahidi mume wangu anachepuka nisingekuamini, namna nilivyokuwa na imani nae[emoji28].

Sasa kwa matukio ninayopigwa toka mwaka jana kufuma nguo za wanawake, condom na takataka nyingi kwa huyu mume amenifanya moyo kuwa mgumu, kila unapomfuma anakumbembeleza lakini baada ya week chache mambo ni yale yale.

Nimeamua sasa ni deal nae kwa namna nyingine, maana sasa nashindwa ku concentrate na mambo yangu mengine ya muhimu.

Ni kweli hakuna mwanaume asiechepuka nimekubali, Ila kuna wanawake hatuwezi kuvumilia huu ujinga bora awe ndondocha kuliko haya maumivu.

Nimempiga makombora matatu makali, moja kafungwa kwenye chupa hatakuwa na kauli kwa lolote kuanzia sasa, ataona wanawake wengine ila ataniwaza mimi tu na hatosimamisha kwa mwanamke mwingine.

Nampenda sana mume wangu ila tabia zake zimetufikisha hapa. Wanaume kuweni makini, nyie ndio mnatubadili tabia zetu kwa matendo yenu.

Haya wale wa mapovu mje mnipopoe, ila for once toka mwaka uanze nimepata amani ajabu, kuanzia sasa mume ni wangu peke angu.
Nikumbushe tu wakati unaenda Kwa waganga kuroga ujue kuwa wanatumia nguvu za kishetani.

Na shetani hayupo tayari kuacha ndoa yoyote iwe na amani.Unaweza ukafikiri umepata suluhu kumbe umefungua mlango wa mapepo kuharibu ndoa Yako.

Hiyo Dawa ikiisha tatizo nakuhakikishia litaendelea maradufu ilimradi urudi Tena Kwa huyo mganga Tena na Tena.Na siku usiporudi ndyo basi Utaziona hizo condom zinazidi.

Ni aheri ungesali.Hakuna msaada wa kishetani unaoendaga Bure Bure waangalie freemason ukitaka kuacha tu masharti makali ya kupoteza uhai unapewa.Kuwa makini.

Sasa wameshagundua weakness Yako watakutesa Sana .Piga goti Sala achana na hayo mambo ya kichawi
 
Nilicho kifanya hata kwenda kwa mwanamke mwingine hatoweza hivyo hatojua kama hawezi kusimamisha kwa mwanamke mwingine
Hio ni njia ya tatu by the way hizo mbili zipo ni kali zaidi
Lol mwayego msamehe bana,atashuka Sana ufanisi wake kwenye kazi,na atakuwa depressed kwani umemfanya akonsetrate na wewe tu,wengine hawaoni,that's bad in the long run,afu dawa ikijachuja waweza poteza ndoa yako
 
Back
Top Bottom