Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge

Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge

Ndo maana wanaume tunakufa mapema..

Na mchepuko Naye akionwa hapendwi naye ataenda kwa mganga.

Hapo sasa[emoji3][emoji3]
Tatizo wanaume na nyie mmezidi kuangalia shepu badala ya tabia matokeo yake mnajiingiza kwa waganga wa kienyeji kama hawa mnaacha wanawake wenye heshima na adabu zao sababu hawavai nusu uchi au shepu feki.
 
Mmmhhh umeongea haraka haraka kwel yani!...
 
Chaguo ni mbili tu....kuvumilia tabia zake au kumuacha aende.

Kwanini uhangaike kumroga mtu mzima? Kama alikupenda wewe akakuoa hivyo hivyo anawapenda wengine.

Unaweza kufanikiwa kumfanya ndondocha ila athari zikawa kubwa kuliko ungeishi nae hivyo hivyo au kumuacha aende zake.

Wakati mwingine tujifunze mapenzi Huwa yanaisha.

Right!!! Huwa sielewi mtu kulazimisha upendwe kupitia uganga! Acha mtu afe aoze kwako akiwa na akili yake. Afu ukiona hivyo jamaa atakuwa na hela ya kubadilisha mboga ndo maana. Otherwise asingesumbuka!
 
Kweli umemkomesha anastahili.
Lakini nikuulize mdogo wangu...kwani huwezi kuishi bila huyo mwanaume? Yaani taabu yote ya nini ujichumie dhambi bure bure.
Ukiwa naye kuna faida yoyote unapata?
Mapenzi jau sana.....hapo mganga tapeli hatosaidia chochote, huyu dada wa watu ataishia kujinyonga bure....
 
Chaguo ni mbili tu....kuvumilia tabia zake au kumuacha aende.

Kwanini uhangaike kumroga mtu mzima? Kama alikupenda wewe akakuoa hivyo hivyo anawapenda wengine.

Unaweza kufanikiwa kumfanya ndondocha ila athari zikawa kubwa kuliko ungeishi nae hivyo hivyo au kumuacha aende zake.

Wakati mwingine tujifunze mapenzi Huwa yanaisha.
That's it my love.... nothing is permanent
 
So sad, sijawahi kuwaza kufanya hivi ila hapa nilipofika sina namna, otherwise nachanganyikiwa bure. Huu ni mwaka wa tatu wa ndoa, na miaka miwili ilikuwa ya furaha na amani hadi mwaka wa tatu ulipoanza, nimeona mapicha picha ya kila namna kutoka kwa huyu mwanaume.

Nimekonda nimechakaa kiufupi sina nuru hata biashara na kazi zangu zimeyumba sana. Miaka mitatu ya ndoa sijawahi kuchepuka hata kuwa na ukaribu na mwanaume yoyote, namuheshimu mume wangu.

Ni mwanamke ambae mwaka mmoja uliopita hata ungeniletea ushahidi mume wangu anachepuka nisingekuamini, namna nilivyokuwa na imani nae[emoji28].

Sasa kwa matukio ninayopigwa toka mwaka jana kufuma nguo za wanawake, condom na takataka nyingi kwa huyu mume amenifanya moyo kuwa mgumu, kila unapomfuma anakumbembeleza lakini baada ya week chache mambo ni yale yale.

Nimeamua sasa ni deal nae kwa namna nyingine, maana sasa nashindwa ku concentrate na mambo yangu mengine ya muhimu.

Ni kweli hakuna mwanaume asiechepuka nimekubali, Ila kuna wanawake hatuwezi kuvumilia huu ujinga bora awe ndondocha kuliko haya maumivu.

Nimempiga makombora matatu makali, moja kafungwa kwenye chupa hatakuwa na kauli kwa lolote kuanzia sasa, ataona wanawake wengine ila ataniwaza mimi tu na hatosimamisha kwa mwanamke mwingine.

Nampenda sana mume wangu ila tabia zake zimetufikisha hapa. Wanaume kuweni makini, nyie ndio mnatubadili tabia zetu kwa matendo yenu.

Haya wale wa mapovu mje mnipopoe, ila for once toka mwaka uanze nimepata amani ajabu, kuanzia sasa mume ni wangu peke angu.
Naomba nikuulizecmaswali mawili tu:

1. Wewe ni mkristu,?
2. Wewe hutachepuka maisha yako yote?
 
So sad, sijawahi kuwaza kufanya hivi ila hapa nilipofika sina namna, otherwise nachanganyikiwa bure. Huu ni mwaka wa tatu wa ndoa, na miaka miwili ilikuwa ya furaha na amani hadi mwaka wa tatu ulipoanza, nimeona mapicha picha ya kila namna kutoka kwa huyu mwanaume.

Nimekonda nimechakaa kiufupi sina nuru hata biashara na kazi zangu zimeyumba sana. Miaka mitatu ya ndoa sijawahi kuchepuka hata kuwa na ukaribu na mwanaume yoyote, namuheshimu mume wangu.

Ni mwanamke ambae mwaka mmoja uliopita hata ungeniletea ushahidi mume wangu anachepuka nisingekuamini, namna nilivyokuwa na imani nae[emoji28].

Sasa kwa matukio ninayopigwa toka mwaka jana kufuma nguo za wanawake, condom na takataka nyingi kwa huyu mume amenifanya moyo kuwa mgumu, kila unapomfuma anakumbembeleza lakini baada ya week chache mambo ni yale yale.

Nimeamua sasa ni deal nae kwa namna nyingine, maana sasa nashindwa ku concentrate na mambo yangu mengine ya muhimu.

Ni kweli hakuna mwanaume asiechepuka nimekubali, Ila kuna wanawake hatuwezi kuvumilia huu ujinga bora awe ndondocha kuliko haya maumivu.

Nimempiga makombora matatu makali, moja kafungwa kwenye chupa hatakuwa na kauli kwa lolote kuanzia sasa, ataona wanawake wengine ila ataniwaza mimi tu na hatosimamisha kwa mwanamke mwingine.

Nampenda sana mume wangu ila tabia zake zimetufikisha hapa. Wanaume kuweni makini, nyie ndio mnatubadili tabia zetu kwa matendo yenu.

Haya wale wa mapovu mje mnipopoe, ila for once toka mwaka uanze nimepata amani ajabu, kuanzia sasa mume ni wangu peke angu.



Pole sana Maya Angelou

Kwa hali unayopitia Sijui kama utanielewa ila HUWEZI KULIONDOA GIZA KWA KUINGIA GIZANI ZAIDI wala HUWEZI KUMUONDOA SHETANI KWA KUMTUMIA SHETANI

Ukiona umeenda kwa mganga ukafanikiwa hesabu siku chache za kuja kuvurugwa zaidi. Shetani ni muongo, mpotofu na muuaji

Ushauri wangu kama amekufikisha pa kumfanya awe ndondocha achana nae maisha bado yapo sanaa. Inawezekana ulikosea njia sasa tulia uone njia sahihi



Pole mwaya
 
Atapendwa kwa muda ila mwisho wake ni mbaya sana.
Hua nashangaa sana.....haya tuachane na ukweli kwamba uchawi haupo, ni fantasy.....

Hizi mambo za ushirikina zinaongelewa kwa miaka mingi, wanahubiri makanisani, maigizo, movie unaona, na siku zote mwisho wake ni mbaya....

Na mtu hajifunzi anataka nayeye ajihusishe na huo ushenzi na hamna faida anapata...
Bora majambazi wanajua ni kosa ila wanapata hela.... Dunia haijawahi eleweka, hata uwe na miaka 200
 
Hua nashangaa sana.....haya tuachane na ukweli kwamba uchawi haupo, ni fantasy.....

Hizi mambo za ushirikina zinaongelewa kwa miaka mingi, wanahubiri makanisani, maigizo, movie unaona, na siku zote mwisho wake ni mbaya....

Na mtu hajifunzi anataka nayeye ajihusishe na huo ushenzi na hamna faida anapata...
Bora majambazi wanajua ni kosa ila wanapata hela.... Dunia haijawahi eleweka, hata uwe na miaka 200
Ana tatizo kubwa la afya ya akili, anahitaji msaada
 
Kwani huyo ni ndugu yako wa damu kwamba hamuwezi kuachana. Yanini upambane na mtoto wa watu. Vipi ndugu zao wakigundua umemharibu ndungu yao unadhani utapona. Usilazimishe pepo la umauti likutembelee. Km umeshindwa kuvumilia achana nae nenda kwa asiye chepuka full stop. Vinginevyo, utajuta. Tunza hii thread.
 
Hapo sasa[emoji3][emoji3]
Tatizo wanaume na nyie mmezidi kuangalia shepu badala ya tabia matokeo yake mnajiingiza kwa waganga wa kienyeji kama hawa mnaacha wanawake wenye heshima na adabu zao sababu hawavai nusu uchi au shepu feki.
Sasa mna alama kwani?
 
Sijawahi kutoa mtu kafara la hela ila siku nikijua mke wangu ndio sababu sisimamishi kwa wanawake wengine sitogeuza shingo hata nusu degree.
 
muda huu wa jioni lijamaa liko sehemu. Limekula nazi na energy drink, kapaka na wiks anasubiri kabinti akachakate.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]on his way back home
Hakuna sehemu anapitia huyo
 
Back
Top Bottom