Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge

Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge

Yanahitajika maarifa ya saikolojia ya mahusiano.

Kuna ombwe kubwa sana kwenye jamii zetu.
Sasa,hayo maarifa ya kisaikolojia ndiyo uchawi/ulozi mwema unaotakiwa katika jamii.Kuna ya kujiuliza.Je,watu huwa wana uelewa/mbinu njema za kuishi na wenza?Ametokea makuzi gani?Anawachukuliaje watu ambao ni jinsi tofauti na yake?Anao uvumilivu na kumchukulia mwenza kwa asili kitabia au amejifunza ukubwani?Huwa anayachukuliaje mambo yakitokea ambayo yeye aliamini hayawezi kutokea kinyume na matarajio yake?Anachukulia au kufananisha kuishi au kuwa na mwenza ni kama kitu gani?Mambo ya kiimani(dini) anayo kwa kiasi gani?Tukipata jamii inayoweza kujibu hayo positively,at least,tunaweza kuongea lugha moja.
 
Hela hawajazipoteza.Hawatozitafuta.Baba mwenye nyumba(mume wa mleta uzi ndiye alileta mang'ana akataka kupotea) ndiyo amemrekebisha afya ya akili.
familia hiyo hawana hela ndio maana wanahangaika sana hasa huyo mke. Wenye hela hawafuatiliani. Nawahimiza tena wapige kazi wapate hela uchawi sio solution
 
Ndo maana wanaume tunakufa mapema..

Na mchepuko Naye akionwa hapendwi naye ataenda kwa mganga.
Daah..
Kama ana michepuko kadhaa, wakiona jogoo hapandi mtungi huko🙄 mmoja anaenda kwa mganga wa jadi, mwingine kwa Mwamposa, mwingine kwenye visomo na albadiri, nk...
 
Halafu kitu kingine nani aliyeumbwa kwa ajili ya mmoja? Tena shukuru mungu unapendwa bado ina anatimiza amri ya mungu ya mapendo hivyo ni jukumu lake kupenda na wengine kama unavyopendwa.

Mtoa mada huyo mwanaume wako hajazaliwa kwa ajili yako tuuuu
 
familia hiyo hawana hela ndio maana wanahangaika sana hasa huyo mke. Wenye hela hawafuatiliani. Nawahimiza tena wapige kazi wapate hela uchawi sio solution
familia hiyo hawana hela ndio maana wanahangaika sana hasa huyo mke. Wenye hela hawafuatiliani. Nawahimiza tena wapige kazi wapate hela uchawi sio solution
Ooohooo!Hauzijui familia za Kiafrika hasa Tanzania.Wanapenda ushirikina sana bila kujali hali zao kiuchumi.Utajua hujui.
 
Ooohooo!Hauzijui familia za Kiafrika hasa Tanzania.Wanapenda ushirikina sana bila kujali hali zao kiuchumi.Utajua hujui.
wanakuwa wana tu hela tudogo tu, hakuna familia yenye pesa wanayologana wao kwa wao mkuu

wenye pesa wanaloga ili pesa ziongeze ila sio kulishana malimbwata. limbwata ni kwa masikini
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ndoa ipo sana hapa no kuachana
Kama wewe unaamini haipo ni wewe tu,wanaume wengi wanatengenezwa vizuri na wanatulia mimi sio wa kwanza
Mom, akiwa ndondocha utafutaji wa riziki ataweza?!
 
Naona watu wanakuambia ukweli huko juu unajipa moyo na kujitetea, ila uhalisia ni kwamba mwisho wako na huyo mwanaume ni mbaya ila wewe ndio utakaeyekua traumatized zaidi kwa sababu utakua unaona matokeo ya ulichokifanya, na sio kwamba nazungumzia dawa zitaisha aendelee kuchepuka hapana ila mwisho ni mbaya, na bahati mbaya hamna reverse ya ulichokifanya, reverse itasaidia labda kupunguza makali ya matokeo na sio kukwepa matokeo.
 
Mkuu, minaomba unielekeze hiyo dawa ili nimpeleke mke wangu akanifanye kama ulivyo mfanya ndondocha wako...🤨
 
Kwanza ulikua unatembea na mume wa mtu alaf sahv unataka wako atulie, utateseka na ulichofanya maisha yako yote
 
Mi naomba To yeye aniweke kwenye chupa na aitupe Baharini kabisa eeh Mizimu nisaidie
 
Mumeo bado anakupenda sana muache aendelee na tuition ila awe makini syllabus ikiisha hatatulia (Majukumu yakiongezeka kichwa cha chini kita switch off automatically).
 
Back
Top Bottom