Wanaume wakiacha usaliti kwenye mahusiano, wanawake pia wataacha

Wanaume wakiacha usaliti kwenye mahusiano, wanawake pia wataacha

Hivi umewahi kujiuliza kwa nini wanaume hukasirika zaidi pale wanapogundua kuwa wanawake zao wanacheat?

Iko hivi...
Watu wengi (hasa wanaume) huamini kuwa wanaume ndio wanaongoza kwa kucheat kuliko wanawake. Kiukweli imani hii ina dosari kitakwimu na haina mantiki. Uwiano wa wanaume na wanawake duniani ni 1:1. Hapo ndipo utagundua kuwa wanaume hawaongozi kwa kucheat kuliko wanawake.

Ukiwa kama mwanaume uliye cheat na mwanamke mwingine huko lodge - ni kipi kinakupa ujasiri wa kuamini kuwa mkeo hajawahi kucheat ama huwa hacheat?
Mzee baba utatulia siku ukielewa kuwa wanawake ni wajanja na wazuri sana katika kujificha kuliko wanaume.

I get shocked kwamba wanaume hutarajia kucheat na kusamehewa - lakini hawawezi kuunga mkono wazo la kwamba wake zao huwa wanacheat. You're living a lie. Hakuna jinsia iliyo na ukiritimba katika kucheat.

If you don't want your wife cheat on you - stop cheating.

Mabadiliko huanzia kwa mimi na wewe . Hatuwezi kutarajia ulimwengu kuwa pahali pazuri wakati sisi ni sehemu ya shida.

Shika hili mwanaume mwenzangu...... "Ikiwa umekuwa ukimcheat mkeo - anajua - hata kama hajakuambia anajua kuwa huwa unamcheat. Mkeo huwa anakuona kila uendako na hao wanawake zako. Kwa majuto mkeo 'hulipiza kisasi' kwa kuliwa bila masharti".

Ukiacha kucheat na mkeo ataacha kucheat.

Ukicheat, mkeo naye atacheat.

Ubarikiwe.
Si kucheat tu
Watafute means ya kujiboost pia
 
Na kwa sababu ya nyege tumeshauriwa kutulia kwa wake zetu.
Hapana mkuu. Mke hawezi kuzuia ujio wa nyege, Ni self discpline baada ya nyege kukujia ndo itakuepusha na kucheat. Kama ukioa ili mke adhibiti nyege utafeli tu halafu utampa lawama za bure.

Imagine umetoka kumalizana na mama watoto vizuri tu halafu unapokea simu ya yule jirani rafiki wa mkeo mwenye wowowo
"Jirani nimetoka bafuni kuoga nataka kupasi siwezi, naomba nisaidie naona umeme hauingii kwenye luku sijui shida ni nini, uje tu moja kwa moja sijafunga geti"

Hapo bila self discpline nini kinafata?
 
Mkeo anajua ulivyo na ikipeleka moto huko mtaa mkeo anajua tu maana hata ongea yako hubadilika 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Daah et ongea yangu...
Sema ndo hvo haya mambo yana wenyewe..
Na weneyewe ndio nyie mkuu
 
Hamu ya mwanaume ipo kila baada ya muda mfupi mno mkuu. Ni self discpline ndo itakuokoa na mbunye inayovutia iliyovimba vimba na ipo available.
Sasa kama una mke why usiwe unaomba kila mda ambao unakuwa na hiyo hamu mkuu
 
Mada nzuri sana lakini umeipapasa papasa tu bila kuzingatia misingi ya kisaikolojia na kijamii utafikiri cheaters hawa ni mawe na wanaishi katika ombwe.

Kijamii (hasa katika jamii za Kiafrika) mfumo dume ndiyo unatawala. Mfumo huu, kwa kiasi kikubwa, unamtegemea mwanaume acheat. Na katika makabila mengi, kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ilikuwa ni ishara ya urijali na ukwasi. Ndiyo maana jamii inamhukumu mwanamke anayecheat kwa ukali zaidi kuliko mwanaume (slut vs stud, malaya vs. rijali...)

Kisaikolojia-mwanamke anajulikana kuwa ni kiumbe wa hisia zaidi kuliko mwanaume. Mwanaume yeye anaongozwa na tamaa ya anavyoona (visual stimuli). Na wanawake (subconsciously) wanalijua hili ndiyo maana wanashinda saluni wakijipodoa na hata kujishindilia matako ya bandia ili tu kumvutia mwanaume.

Implication ya mtanziko huu wa hisia vs. visual stimuli ni kwamba mwanaume anaweza kulala na mwanamke na akaondoka bila hisia zo zote akarudi kwa mkewe; na mambo yakawa sawa tu. Kwa mwanamke hali ni tofauti. Akikanyagwa huko nje sawasawa ni lazima ataacha hisia zake huko; na mwanaume kama uko observant utagundua tu hata ajifanye vipi. Dharau za rejareja, kiburi, mabadiliko katika tendo, kutojali na mengineyo yataanza. Ndiyo maana wanasema kuwa ogopa sana mke wako akianza kuchapwa nje. Anahamishia hisia zake huko polepole na akikolezwa huko basi wewe huna chako labda uamue kuwa boya uvumilie.

Kibayolojia - Homo Sapiens ni mnyama na ana instincts zile zile za kinyama. Ukienda Serengeti ukakuta madume ya simba yanapigana kwa kawaida visababishi ni viwili tu - mademu na chakula. Kuna instinct kwa kila kiumbe cha kiume kulala na +ke wengi ili kuhakikisha kwamba DNA yake inarithishwa katika vizazi vijavyo. Ndiyo maana kuna viumbe wachache sana ambao ni pure monogamous. Penguin na mnyoo gani sijui ndiyo hutajwa tajwa sana. Kwa hivyo kibayolojia men are wired to cheat; na huu ni ukweli uliosimikwa katika EvolutionaryBiology. Ndiyo maana ni shughuli pevu kubakia pure monogamous japo inawezekana hasa baada ya kuvuka kipindi cha ujana mtu akijitambua.

Kwa hivyo inasaidia kidogo tukiliweka suala hili katika muktadha sahihi na kulijadili katika mitazamo wezeshi. Kuna sababu za kijamii, kisaikolojia na hata kimaumbile (kibayolojia).

Na hii siyo justification ya kucheat maana kuwa loyal kabisa kabisa kwa mwenzi mmoja inawezekana. Ni suala la kuamua tu!

Na siyo ukweli wa jumla kwamba uki-cheat basi na mwanamke wako naye ata-cheat. Wapo wanawake wanaojitambua na kujiheshimu sana kiasi kwamba hawako tayari kwenda kujidhalilisha na miili yao huko kisa tu eti kulipiza kisasi maana kusema kweli hakuna anayelipizwa kisasi pale. Ila nakubaliana na wewe kwamba mwanaume uki-cheat basi huna uhalali wala moral authority ya kumkataza na kumhukumu mwenza wako pale anapocheat japo cheaters wengi ndiyo wakali kweli kweli kwa wenza wao na huumia mno wenza wao waki-cheat. Mbombo ngafu!
 
Back
Top Bottom