Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha Gozbet amechoka kuolewa?Kwa sie watu wa pwani ukiona mwanaume mwenzio anakupa asset au kitu cha thamani juana yeyekuna siku atakuja kukuomba kitu.
Yaani mwanaume mwenzio akupe gari ya mamilioni???utaolewa
Ebwanae,yakweli hayoKidbway kambana Jamaa vibaya sana........ Digital platform zote kibindoni...Kakamata System nzima Kama alivyokamata kwa kina Coyo na wakapotea.
"Hadi zawadi tugawane na bado umenifungulia kesi ya kunidai 2Bill"
Mhaya aliekulia Mwanza kapanic.
Piga kiberiti.
Naandika Nini sasa hapa.
Una rula hapo karibu my dear tupigie mstari haya maandishiDuh aiseee
Ila wakumbuke
Pale Unasifiwa Na Wenzako Kwa Kutembea Na Watoto Wakali Tena Warembo..Lakin ipo Siku Utasifiwa Na Doctor Kwa Kumaliza Kijiko Cha Uji.
ndio mana huwa nasema walevi ni wajinga sana tizama mtoa mada anakenua kulipiwa kinywaji wala hashitukiMwanaume kula unachoweza kukigharamia wewe mwenyewe.
Ngoja siku waruke naendio mana huwa nasema walevi ni wajinga sana tizama mtoa mada anakenua kulipiwa kinywaji wala hashituki