Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
kuna kundi la walevi wanaleweshwa bia hadi wanajisaidia mitaani nafikiri ndio hawaNgoja siku waruke nae
nilikua najiuliza sana inawezekana vipi mtu pesa ni yake anywe pombe hadi ajisaidie haja kubwa mitaani usiku sasa naelekea kupata jibu