Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nimecheka kwa sauti,
tbh, hakuna mtu nilikuwa natamani kuona anafananaje kama Zero IQ kipindi kile anaandika ujinga mwingi, sahii amepoa na interest imepotea pyuuuh'...!!
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Me nasubiri tu mzee mweusi mwenye kitambi chake aje online
Me naetamani kumuona ni mzabzab nione anayoyaandika yanafanana na yeye au ni nini
 
Kuna mmoja hapo ukitaka kumwona nenda kwenye maduka ya kubeti. Ukiona mtu anafika kavaa tai na suti anaenda kwenye fixture, dakika 2 kashachukua timu 3 anaenda kwa cashier anatoa kibunda ili kufyatua mkeka kisha anaondoka, basi ujue huyo ndio mwana JF unayemtafuta sasa.
 
Aisee 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…