Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Usisahau kujenga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo unakuwa umeyamaliza maisha eti???
Usisahau kujenga
Watu wa dini mkuje huku mkemee hili pepo [emoji23][emoji23]
Sasa ndio kitu roho inapenda nifiche ili iweje na WANAUME wa hivyo adimu kaka mayai ya mbuni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bora wewe umesema ukweli
😂😂😂Hapo unataka nn zaidi??
Umenikumbusha mbali sana,enzi hizo Bado teenager,ratiba yangu ilikuwa,gym,kupiga pamba,kula bata na toto la kirangi kama Somali vile!!!Heshima yangu iwaendee wale Wanaume ambao wana pambana na maisha Nonstop nazungumzia wale wote waliopanga wanalipa kodi za nyumba, walioa, na wale wanaolea watoto. Mungu aendelee kuwajaliaa sana.
Nirud kwenye mada kesi yangu, kwa life la hapa bongo kama Mwanaume una chumba na sebule masta, jiko seblen umejaza mazaga kama flat screen yako safi, home thieta mziki mnene, una makochi yako na meza bila sahau zulia safi lipo chini, tunakuja kwenye fridge umejaza makula kula kama mikuku, misamaki, minyamanyama ya kutosha bila sahau mavinywaji yote.
Pembeni umepaki kausafiri kako kakusaidia mishe/harakati zako amini kwamba wanaume wa dizaini hii wanashobokewa sana na Mademu kma pisi wanazila sana tena bila kutumia nguvu imagine dem wako anaenda kwa jamaa wa dizain hii afu wewe unakaa home tu hesabu maumivu[emoji23][emoji23]. Tena usiombe uwe na Ndinga CROWN asee watoto wanashoboka sana. Au nasema uongo ndugu zangu?[emoji23]
TUTAFUTE HELA SANA,
Bora Wewe umesema kweli, na hilo hutokea kwa wanawake wengi ambao wameshafiisha umri wa kuolewa...Naachaje kumshobokea KWA MFANO[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]ntamganda mpaka asahau kwao alaaa[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] mseleleko
Kasome uzi wa Heaven Sent ili ubongo wako uwe liberated....Heshima yangu iwaendee wale Wanaume ambao wana pambana na maisha Nonstop nazungumzia wale wote waliopanga wanalipa kodi za nyumba, walioa, na wale wanaolea watoto. Mungu aendelee kuwajaliaa sana.
Nirud kwenye mada kesi yangu, kwa life la hapa bongo kama Mwanaume una chumba na sebule masta, jiko seblen umejaza mazaga kama flat screen yako safi, home thieta mziki mnene, una makochi yako na meza bila sahau zulia safi lipo chini, tunakuja kwenye fridge umejaza makula kula kama mikuku, misamaki, minyamanyama ya kutosha bila sahau mavinywaji yote.
Pembeni umepaki kausafiri kako kakusaidia mishe/harakati zako amini kwamba wanaume wa dizaini hii wanashobokewa sana na Mademu kma pisi wanazila sana tena bila kutumia nguvu imagine dem wako anaenda kwa jamaa wa dizain hii afu wewe unakaa home tu hesabu maumivu[emoji23][emoji23]. Tena usiombe uwe na Ndinga CROWN asee watoto wanashoboka sana. Au nasema uongo ndugu zangu?[emoji23]
TUTAFUTE HELA SANA,
Wawili Kati ya 1000Umeenda vizuri rafiki angu afu mwisho umepuyanga
Kuna wanawake hizii material thing haziwapi shida na hasa kwa karne hii asee[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
Sawa haziwapi shida ila wengi wao wananasia humu kwenye materialUmeenda vizuri rafiki angu afu mwisho umepuyanga
Kuna wanawake hizii material thing haziwapi shida na hasa kwa karne hii asee[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
Yah. Wanawake wanapambana sana sikuhizi. Na wana vijisenti vya kwao wenyewe.Ila ameongea ukweli asee[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81] sema mimi kama mimi sipo so much obsessed na man wa dizaini hii yaan nikijua upo hivi basi nitaenda moja kwa moja kua nina wenzangu wengi tu
ili niamini labda tukae wote asee [emoji28][emoji28][emoji28] sema thankful siku hz wanawake tuna hela hela hizi material hazitupi shida kama zaman
BWANA YESU ASIFIWE
Vyuo vifunguliwe tu?;Heshima yangu iwaendee wale Wanaume ambao wana pambana na maisha Nonstop nazungumzia wale wote waliopanga wanalipa kodi za nyumba, walioa, na wale wanaolea watoto. Mungu aendelee kuwajaliaa sana.
Nirud kwenye mada kesi yangu, kwa life la hapa bongo kama Mwanaume una chumba na sebule masta, jiko seblen umejaza mazaga kama flat screen yako safi, home thieta mziki mnene, una makochi yako na meza bila sahau zulia safi lipo chini, tunakuja kwenye fridge umejaza makula kula kama mikuku, misamaki, minyamanyama ya kutosha bila sahau mavinywaji yote.
Pembeni umepaki kausafiri kako kakusaidia mishe/harakati zako amini kwamba wanaume wa dizaini hii wanashobokewa sana na Mademu kma pisi wanazila sana tena bila kutumia nguvu imagine dem wako anaenda kwa jamaa wa dizain hii afu wewe unakaa home tu hesabu maumivu[emoji23][emoji23]. Tena usiombe uwe na Ndinga CROWN asee watoto wanashoboka sana. Au nasema uongo ndugu zangu?[emoji23]
TUTAFUTE HELA SANA,
Moshi wa Sativum sio?..sawa mkuu umesomeka.Ukikutana na threads kama hizi halafu umeshavuta hewa yenye moshi wa THC, ni full vicheko tu.