Wanaume waliopanga wana enjoy sana

Wanaume waliopanga wana enjoy sana

Kuna dili nasikilizia likikubali kama upo mkoani lazma nikulete dsm tule maisha, maisha mafupi haya tusisahau kula bata
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tutaenda dubai kwanza niwalingishie mashost[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] mseleleko
 
Daah sasa kama waliopanga wanakuchanganya sisi tuliojenga si ndio tutakuua kabisa.
 
Heshima yangu iwaendee wale Wanaume ambao wana pambana na maisha Nonstop nazungumzia wale wote waliopanga wanalipa kodi za nyumba, walioa, na wale wanaolea watoto. Mungu aendelee kuwajaliaa sana.
Mkuu unaangalia maisha katika level ya chini sana.
 
😂😂😂
Hata mimi naota hivi...........
1371b92c9bb3fc9856d02a96dcfb6821--apartment-floor-plans-apartment-ideas.jpg
 
Huu mji una kero nyingi, akifika sehemu ya kupunguza kero, miguu yote anainyoosha bila kuambiwa
 
Kwanza hilo ni geto au nyumba kabisa? Hivi unaelewa maana uya geto ww
 
Back
Top Bottom