Wanaume waliopanga wana enjoy sana

Wanaume waliopanga wana enjoy sana

Wavulana na nyie mmezid kuwachangany hawa watt wa kikee...mara leo mje na mada za kuwqsugua vizur....mara uwe umepanga geto liwe na kila kituu...hapa naona kama unawachaguliq wanawake kile unachpenda ww
 
Mbona mnamponda sana huyu dogo ndio kitu anaona kwake atleast kinampa furaha so naona nj kitu kizuri infact ameelezea maisha flani ya kujana bachelor kuna goal flani unakua une step tofauti na kukaa home af huna ishu
 
Hawa wanao mbishia dogo ni wale walio ambiwa wanawake wanapenda matango wameenda wamebusti vibamia vimekua matango Sasa yamekua mzigo na mademu hawagingi kwa hiyo stress zao wanakuja kummalizia dogo hapa.

Hakuna binadamu asie penda vitu vizuri na visafi hasa kwa wanawake hicho kitu ni Cha kwanza kwake hata Kama yeye ni mchafu vipi ....lazima atapenda kitu Cha kunukia chenye rangi nzuri na kisafi.

Kwa hiyo ukiwa na vitu hivyo alivyo sema dogo hata pesa unaweza usiwape na hauta tumia nguvu nyingi kumuita aje geto .... yaani utakua Unamtumia meseji moja tu kuwa leo nipo njoo.....hutasikia hata hela ya nauli akiomba maana anajua anakuja kupiga picha kwenye mashuka mazuri na mapazia mazuri Kama mjuavyo wanawake na selfie.

Kama unabisha endelea kupambana na mkongo kukuza hicho kibamia
 
Jf ukisema mademu hawakupendi utaambiwa tafuta hela..ukitafuta hela ukizipata ukapanga sehemu nzuri na ndani ukapaweka vizuri pakawa full of entertainments,kausafiri kidogo na wewe ukangaa ili uanze kukubalika na hao mademu bado tena Jf watakuambia uache utoto..

Jf is full of dramas.
 
Hawa wanao mbishia dogo ni wale walio ambiwa wanawake wanapenda matango wameenda wamebusti vibamia vimekua matango Sasa yamekua mzigo na mademu hawagingi kwa hiyo stress zao wanakuja kummalizia dogo hapa.

Hakuna binadamu asie penda vitu vizuri na visafi hasa kwa wanawake hicho kitu ni Cha kwanza kwake hata Kama yeye ni mchafu vipi ....lazima atapenda kitu Cha kunukia chenye rangi nzuri na kisafi.

Kwa hiyo ukiwa na vitu hivyo alivyo sema dogo hata pesa unaweza usiwape na hauta tumia nguvu nyingi kumuita aje geto .... yaani utakua Unamtumia meseji moja tu kuwa leo nipo njoo.....hutasikia hata hela ya nauli akiomba maana anajua anakuja kupiga picha kwenye mashuka mazuri na mapazia mazuri Kama mjuavyo wanawake na selfie.

Kama unabisha endelea kupambana na mkongo kukuza hicho kibamia
Huo ndo ukweli,,ila Jf unafki mwingi watu wanaona mleta mada kaongea ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo dogo kaongea ukweli sema ndio vile humu jf mtu maarufu akianza na koment za kipuuzi Basi wanao fata wote mtiririko ndio huo huo [emoji38][emoji38][emoji38]

Ndio hivo zile hela mnazo sisitizana mtafute hiyo nDio kazi yake ....

Kama mwanaume jijenge kwanza, jipende kwanza , yaani kuwa na vitu vizuri kwa ajirri yako wewe mwenyewe ....yaani Hawa wanawake wawe wa nyongeza kwako aiseeee utawapakua Hadi ukimbie mwenyewe yaani utaliliwa Sana Kama Mungu wao vile
Alooh acha kufuru ya Kumshirikisha Mungu kwenye ujingaujinga
 
Kila mtu ana namna anavyoyaona maisha.
 
Heshima yangu iwaendee wale Wanaume ambao wana pambana na maisha Nonstop nazungumzia wale wote waliopanga wanalipa kodi za nyumba, walioa, na wale wanaolea watoto. Mungu aendelee kuwajaliaa sana.

Nirudi kwenye mada kesi yangu, kwa life la hapa bongo kama Mwanaume una chumba na sebule masta, jiko seblen umejaza mazaga kama flat screen yako safi, home thieta mziki mnene, una makochi yako na meza bila sahau zulia safi lipo chini, tunakuja kwenye fridge umejaza makula kula kama mikuku, misamaki, minyamanyama ya kutosha bila sahau mavinywaji yote.

Pembeni umepaki kausafiri kako kakusaidia mishe/harakati zako amini kwamba wanaume wa dizaini hii wanashobokewa sana na Mademu kma pisi wanazila sana tena bila kutumia nguvu imagine dem wako anaenda kwa jamaa wa dizain hii afu wewe unakaa home tu hesabu maumivu[emoji23][emoji23]. Tena usiombe uwe na Ndinga CROWN asee watoto wanashoboka sana. Au nasema uongo ndugu zangu?[emoji23]

TUTAFUTE HELA SANA
'Nirudi kwenye mada kesi yangu,'
Ilimaanisha 'murder case', au kichwa changu kinajichanganya!
 
Back
Top Bottom