Wanaume waliopanga wana enjoy sana

Wanawake siku hizi mna hela??..

Mbona vilio vya mizinga ni vingi sana nyakati hizi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanangu kama sio mlevi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daah ndiko tulikofikia kama taifa

Tunawaza ngono muda wote
 

Ahsante sana mkuu[emoji28][emoji28]
 
Na kitanda cha maana na godoro lake lenye ujazo[emoji41]

Kitanda kitandikwe,shuka rangi fulani hivi yenye vimaua maua na mito mingi mingi,[emoji3059]

....pazia nzuri zenye maua mazuri ya kuvutia[emoji7]

...chumbani kuwe na mwanga fulani hivi[emoji8]
 

Na jiran yangu hapa anawapakua daily kila siku kazi mpya mpaka najuta kuoa mapema[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa ole wako usahau ntakwendea KWA bibi [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] mseleleko

Kuna dili nasikilizia likikubali kama upo mkoani lazma nikulete dsm tule maisha, maisha mafupi haya tusisahau kula bata
 
Na kitanda cha maana na godoro lake lenye ujazo[emoji41]

Kitanda kitandikwe,shuka rangi fulani hivi yenye vimaua maua[emoji3059]

....pazia nzuri zenye maua mazuri ya kuvutia[emoji7]

...chumbani kuwe na mwanga fulani hivi[emoji8]

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…