Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii ni "fallacy"Asilimia kubwa ya waseminari niliokuna nao advance na chuo ni wapiga punyeto na masnitch.
Au niwataje majina hapa?
Kumbe ni mabingwa wa ku paramagamba!!!!!Nachojua mimi ni wapiga punyeto wa kutupwa.
Mkuu barafu unge qoute comment ya kwanza ndiyo ungenikamata kwenye fallacy. Sasa umekuja kuni qoute ambayo nimesema wengi niliowaona hakuna tena fallacy hapo maana hamna speculated conclusion.Mkuu hii ni "fallacy"
Miaka ya nyuma tulipokuwa vijana wa chuo,tulifundishwa kuwa "a fallacy is an error of thinking"
Hii yako inaitwa "Fallacy of Hasty Generalazation"
Ni kweli mkuu,nime-qoute hiyo kwa muendelezo wa ile ya punyeto,zote hizo ni "fallacy" mkuu DabyMkuu barafu unge qoute comment ya kwanza ndiyo ungenikamata kwenye fallacy. Sasa umekuja kuni qoute ambayo nimesema wengi niliowaona hakuna tena fallacy hapo maana hamna speculated conclusion.
She call me dady and I call her my mamy.Hapo pa 'mama' sawa ila baby mmmh!!!
Haujambo mdogo wangu?
Ila nikiachana na generalisation..waseminari niliyobahatika kuwajua wanahayo mambo na waliopita boys(mwenyewe nimepita huko)Ni kweli mkuu,nime-qoute hiyo kwa muendelezo wa ile ya punyeto,zote hizo ni "fallacy" mkuu Daby
Maana unachukua idadi fulani ya watu katika kundi fulani,unaitazama tabia yao na kuijumlisha kuwa ni tabia ya watu wote wa kundi hilo...
Mimi pia nimepita boys enzi za Mwalimu...Hizi ni tabia tu za kiume ktk umri wa balehe na makuziIla nikiachana na generalisation..waseminari niliyobahatika kuwajua wanahayo mambo na waliopita boys(mwenyewe nimepita huko)
Mweeeeeh!! Kweli mapenzi upofu.She call me dady and I call her my mamy.
Sijambo sis. .missed you.
Wakiacha kupiga punyeto punyeto yao inakuwa wanawake, vitombi hao.Ila nikiachana na generalisation..waseminari niliyobahatika kuwajua wanahayo mambo na waliopita boys(mwenyewe nimepita huko)
Haya tu wewe. Yako si yana machoMweeeeeh!! Kweli mapenzi upofu.
Missed you too.
Kumbe unawajua sis hata wewe? Duuh basi wamekwishaWakiacha kupiga punyeto punyeto yao inakuwa wanawake, vitombi hao.
Jamaa Pale Mjini (JPM) amepita seminari.Kweli tupu pia wanajiamini, hutumia busara ktk kufanya maamuzi, wanathamini utu siwatu wa kulipiza visasi kwa maadui zao. Ukimkuta kama ni daktari utapenda kuudumiwa na yeye. Ni hard working wanafanyakazi pasipo kusukumwa na boss
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Haya tu wewe. Yako si yana macho
Ndio wapiga chaputa maarufu duniani.Naomba kuuliza jamani, hivi wanaume waliosoma seminari wanasifa zipi na hasa inapokuja suala la wao kuwa baba ktk familia. Nimewahi msikia mtu mmoja akimwambia mwanamke aliye olewa na kijana aliyewahi soma shule za seminari kuwa amshikilie sana, sasa sikuelewa. Hivi hawa vijana wanasifa zipi hasa...?
Itabidi nitafute dada mwingine wa hiari kama wa damu ndiyo yupo hivi[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Yangu yana miwani ya lenzi kabisa.
Masturbation ni hulka ya mtu. binafsi Advanced level nimesoma serikali, hapo ndio nikaanza kuzisikia story za chaputa zikiongelewa bila kificho. Wakati nilipokuwa seminary sikuwahi kusikia au kuona watu wakijihusisha na hayo mambo, kama waliokuwepo basi walifanya kwa kujificha ficha.Ila nikiachana na generalisation..waseminari niliyobahatika kuwajua wanahayo mambo na waliopita boys(mwenyewe nimepita huko)