Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa wa seminari walikuwa masnitch sana advance pia ni wapiga nyeto na domo zegeNachojua mimi ni wapiga punyeto wa kutupwa.
Hakumalizia SeminaryJamaa Pale Mjini (JPM) amepita seminari.
Naweka sawa kumbukumbu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] na husna muba mbn namsikiasikiaMie si nilikuambia mie aunty yako ukakataa, haya chacha leo nimetambulishwa wifi yangu kuwa ni bibi kasie, kwahiyo huyo ndio bibi yako, tena bibi haswaaaa.
Sio lazima u-comment kila kitu..Wengi nnao wajua mimi wamekua Mashoga
Husna alishaachwa, we kuwa tu mvumilivu na mwenye kumbukumbu, jiandae kutambulishwa bibi kila kukicha. Huyo ndio babu yako.[emoji15] [emoji15] [emoji15] na husna muba mbn namsikiasikia
[emoji15]
Lipumbavu hiliShika adabu yako.
Baada ya kumaliza seminary vipi mtaani kila demu ni mzuriSeminary imenisaidia sana kunipa reality of life,and how to be successful in life,,maisha ya Sala,kumuogopa Mungu na kuheshimu watu,so ikitokea nimepinda,uamuzi ni wangu,ila seminary waliniandaa haswa,,miaka sita yote sikuwahi kusikia tetesi mara ushoga,nikirudi likizo,mtaani ndo naskia wanasema,,ooh seminary ni hivi ni vile but never ever,hakuna aliyewahi kuwa na mawazo hayo kati yetu
Nini mwanangu....[emoji15]
Mungu anakuonaHusna alishaachwa, we kuwa tu mvumilivu na mwenye kumbukumbu, jiandae kutambulishwa bibi kila kukicha. Huyo ndio babu yako.
Nachojua mimi ni wapiga punyeto wa kutupwa.
No mkuu,hiyo ni attitude tu ya mtu,hauhusiki na seminary hata kidogo,jamaa wako very strictly,ukichelewa kufika shambani wakati wa kilimo,ukizubaa adhabu yake utalima shamba lote peke yako,,ukiongea kiswahili kama sio jumapili utaisoma number,,hizi ni issue ndogo ila kwao ni muder case,ndiyo ije kuwa punyeto,japo sikuwahi kusikia ila huwa hawavumilii uzembe wa aina yeyoteBaada ya kumaliza seminary vipi mtaani kila demu ni mzuri
Huu ukoo umeshaanza kunishindaaHusna alishaachwa, we kuwa tu mvumilivu na mwenye kumbukumbu, jiandae kutambulishwa bibi kila kukicha. Huyo ndio babu yako.
Babu inaelekea hukula ujana vzr......naona saivi kuna mwingine anaitwa kaise/kasieMungu anakuona
Naona unawachakazaNini mwanangu....
Na bahati nzuri mtu hawezi kuchagua ukoo.Huu ukoo umeshaanza kunishindaa
Mimi nitachagua maana huyu mme wako kwa spidi hiyo mwabiee aangalie asije akala na vitukuuNa bahati nzuri mtu hawezi kuchagua ukoo.
Wewe na shangazi yenu endeleni kushindana na kukataa vilivyo vyangu tu nyieNaona unawachakaza
Na bahati nzuri mtu hawezi kuchagua ukoo.