Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,473
- 10,426
Ilooo babu wew espy siuliwahi nitambulisha ni bibi yangu weweNirudiane na dada yangu...wewe mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilooo babu wew espy siuliwahi nitambulisha ni bibi yangu weweNirudiane na dada yangu...wewe mtoto
Eti babu Daby alikuwa nani kwako kabla ya Mo 11[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hebu mjibu mtoto huko.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji6]We mtoto umetumwa? Kaone!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nirudiane na dada yangu...wewe mtoto
Babuu mbn sielewiii???Tatizo wewe unatuchuna hadi ndugu zako sijui hao wanaume wa watu huwa unawachinja maana kama kaka zako unatuchuna hivi duuh
Hebu tuma pesa bwana acha maneno mengi.Tatizo wewe unatuchuna hadi ndugu zako sijui hao wanaume wa watu huwa unawachinja maana kama kaka zako unatuchuna hivi duuh
Hapana ulinielewa vibaya mjukuu... huyu ni dada yangu wa damuIlooo babu wew espy siuliwahi nitambulisha ni bibi yangu wewe
Alikuwa mdogo wangu(kaka yangu).Eti babu Daby alikuwa nani kwako kabla ya Mo 11
Dada ulipoaga unaenda kwa mmeo aliahidi kukuhudumia kila kitu labda kama kaishiwa rudi tu nyumbani tujue mojaHebu tuma pesa bwana acha maneno mengi.
Kumuelewa babu yako inahitaji uwe na akili kama za bashite.Babuu mbn sielewiii???
Kwani katika hili mume wangu anahusikaje? Hili halimuhusu hata kidogo, we umesema ili hili liishe unilipe nini, au sio wewe? Tuma pesa bwana.Dada ulipoaga unaenda kwa mmeo aliahidi kukuhudumia kila kitu labda kama kaishiwa rudi tu nyumbani tujue moja
Kumuelewa babu yako inahitaji uwe na akili kama za bashite.
Sister hizi tabia za kupenda pesa umezirithi wapi lakiniKwani katika hili mume wangu anahusikaje? Hili halimuhusu hata kidogo, we umesema ili hili liishe unilipe nini, au sio wewe? Tuma pesa bwana.
Ni kwel, wengi wao mapunga, mi mwanangu hatakuja asome shule za single sex hata mara mojaWanaume wengi waliosoma huko wanatabia ya kutoa 0715
Kumbe kuna na bashite wa kilimanjaro.Naombea tu awe bashite wa kilimanjaro sio yule wa Dar
Yupo tena ni wakike yeye hahahaKumbe kuna na bashite wa kilimanjaro.
Kwako kaka.Sister hizi tabia za kupenda pesa umezirithi wapi lakini
Mmh, futa tu kabla mjukuu na mpwa hawajasoma hapoKwako kaka.