Wanaume waliowahi date na wanawake wenye shape hii mje mnipe uzoefu

Aloo nikimpata mdada mwenye shape kama hii hata million 2 kama ninayo natoa, sio kwa mzigo huu, eti wazee mzabzab mshamba_hachekwi Mzee wa kupambania
View attachment 2796778
Utakapo kuta anaingia Period mara tatu kwa mwezi ndio utajua Ukubwa ni nini.

Sisi Wahenga tumepitia mengi. Tunajua siri ya wanawake ndio maana unakuta hatubabaiki.

Mtu ana Kiuno kama Mtungi lakini Kutwa yuko hospitali amelazwa kwa kubleed bila mpangilio.

Hapa nimeeleza tu mambo ya kibaiolojia sasa kutana na yule anayeamini Matako yake ndio Mtaji wake utalala naye siku mbili tu siku ya pili unamuona hana maana yoyote.
 
Nipe huyo wa dodoma nimshuhulikie leo leo
 
Ukimwi upo pia.
 
Dah! Miaka miwili nyuma nilikua mhuni nilikua namla dada mmja Tako kama Hilo na zaidi....nilipo Mla sana nikawanamwona kawaidaaa sana! Alikua anajituma sana kwangu yaani ad huruma.Lakini mwamba sikutaka kumuoa kabisa hata bulee.

Mzuri shepu safi mrefu,kichwani 0 yaani mkipiga story tu unajua hamna kitu hapa...nitatesa wanangu. Nilimuacha alinichukia sanaaa,mpaka Leo single ila nishamfungia viooo! Anamatusi balaaa.Hivyo matako ni kwajili ya kula na kuacha alietuli kichwani na mke.
 
Daah umemnyanyasa kisaikolojia....na wengi wanaishia hivyo tu.

Wao wanachukulia Tako kama mtaji.
 
Mkuu mbona wapo wengi tu, unakula kwa 100k tu night nzima, wewe unataka kutoa 2m! Mkuu mbona unasaliti kambi
Nna mmoja yupo mbezi aisee huwez kutembea nae on foot sehemu za wahuni watapiga miluz mpaka uchanganyikiwe hii kitu nliifukuzia kinomaa kuja kuibonda mara kadhaaa hamna kitu aisee alafu kichwani ni 0 kabisaaaaaaaaaaa
 
Nna mmoja yupo mbezi aisee huwez kutembea nae on foot sehemu za wahuni watapiga miluz mpaka uchanganyikiwe hii kitu nliifukuzia kinomaa kuja kuibonda mara kadhaaa hamna kitu aisee alafu kichwani ni 0 kabisaaaaaaaaaaa
Sindiza comment yako na picha yake tafadhali 🙂
 
mwanamke ni kiumbe asiyetabirika kabisa. anaweza akakuvutia kwa mwonekano km uyu alivyovutiwa na uyo mdada apo.

lakn unaeza kukuta uyo mdada kitandani ni mvivu/gogo/mchafu yani ni sifuri kubwa ya mviringo.

tena mwingine ukikaa nae hata dakika 5 mbali unamtimua kabisa usitake hata kumwona tena licha ya huo uzuri wa kuonekana.

sasa kuna dem mwingine unakuta wa kawaida tu hana mambo mengi ila balaa lake kunako 6*6 si la kitoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…