Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kumbe Amerika waligundua mapema sana.Fikiria kuwa pale mnafurahishana na kuburudishana wote lakini baada ya pale mwanaume ndiye atalipa hela yote ya guest, chakula, vinywaji, usafiri na kumhomga tena pesa ya matumizi. Nenda mahotelini, baa, kumbi za starehe, ni wanaume ndio wanatoa pesa kugjaramia kila kitu. Ndio maana ukifika Marekani wanaume ndio wanaolipwa zaidi tangu zamani hadi Sasa.
Yeye amewaza kimataifa wewe unawaza kikataWewe kama umeshindwa kumkontroo huyo mke wako ni wewe...sisi wengine ATM card zao tunatembea nazo mfuko wa shati daily
Ona, mwanamke anakwenda kwa mganga ili apate mchumba, lakini mchumba akija anamtaka atoe mahari (pesa) kumuoa. Jiulize kwanini mwanaume atoe mahari wakati wote Wana wazazi waliowazaa na kuwalea? Kwanini mume atoe mahari wakati wote wanakwenda kutunzana, kufurahishana na kuzaa watoto wao wote?. Nadhani mahari ni ujinga TU wa wanaume kudhani kuwa wao wanafaidi zaidi wakati wa tendo la ndoa, kumbe ni kinyume chake. Kwenye tendo la ndoa wanawake ndio wanaofaidi na kufurahi sana, walioaswa kuwalipa wanaume kwa kuwafurahisha.Salon na kwa waganga kutafuta nyota
Kama ukiongea upande wa dini, dini zote zinamkataza mwanamke kufanya kazi za kiuchumi, anatakiwa abaki nyumbani azae kwa uchungu na kulea watoto na mwanaume ale kwa jasho na kuitunza familia. Lakini Sasa hivi mwanamke hakai nyumbani tena, hapiki, hafui wala hanyonyeshi Wala kutumza familia maana na yeye anatoka kwenda kazini, masomoni, kwenye siasa, nk. Hata kama wakilipwa kidogo hawalalamiki kwakuwa Wana vyanzo vingine vya mapato (wanaume) vinavyohakikisha kuwa wanakula, wanalala, wanakunywa, wanatibiwa na wanaopata nauli ya kwenda kazini.Hakuna usawa wa mwanaume na mwanamke duniani (Mungu kwenyewe ndiye muasisi wa hilo).
Wanaume wanatakiwa waishi na wanawake kwa akili.
Mwanaume ni wa kumhudumia mwanamke kiasili hata kama ana kazi au cheo kumzidi (kazi au cheo chake kinatakiwa kitumike kumdhibiti kwa akili),
Wanawake wote wanadhibitika kufuata maelekezo ya mwanaume kiasili. Ukiongozwa na mwanamke (kifamilia au kikazi) kuna uwezekano mkubwa sana wa kuwepo maelekezo ya mwanaume mwingine.
Mwanaume na mwanamke hutofautiana kuanzia maumbile, fikra (akili) na nguvu.Na tuache ubaguzi wa Kijinsia.
Ushoga, mimba za utotoni, utumiaji madawa ya kulevya na uhuni kwa watoto inawezekana vikawa vinasababishwa na wanawake kuacha jukumu lao mama la kuwa karibu na familia kwa masaa 24 kila siku kila wiki, kila mwezi mwaka mzima na milele. Baada ya wanawake kujiunga na makundi ya wanasiasa, wafanyakazi na wafanyabiashara wamejiondoa kwenye ulinzi madhubiti wa watoto wao.Mwanaume na mwanamke hutofautiana kuanzia maumbile, fikra (akili) na nguvu.
Hali hiyo ndiyo inayofanya jamii iwe kama ilivyo. Kujidanganya kuwa wapo sawa ni kupingana na Mungu mwenyewe.
Hii dhana ya usawa yaweza kuwa na malengo ya kisiasa na kiuchumi katika kutawala jamii nyingine duniani kama utakavyotumika ushoga.
Jamii na mataifa yenye nguvu haiwezi kukubali dhana hii hata kidogo.
Wanawake hutumiwa kwa malengo maalum katika majeshi na siasa, na ni wachache,
Jukumu kubwa na la msingi kwa wanawake ni kuendeleza kizazi na kuilinda jamii katika ngazi ya familia.
Kuna Bi.Mkubwa mmoja ana Watoto wake wanaishi Marekani,amewai kwenda uko akaishi kama miaka 3,nakumbuka alisema kuwa Marekani Wanaume walioajiriwa wanalipwa zaidi ya Wanawake ata kama cheo ni ichoicho.Mke wangu ni mwalimu lakini hela yake anaona haistahili kutumika yote kwenye familia. Kule jeshini wakati tuko kwa mwaka mmoja kwa mujibu wa sheria baada ya kumaliza form 6 tulikuwa tukilipwa wote wake kwa wanaume sh, 300 (kichele) kila mwezi, lakini siku ya malipo wanawake wanaomba matumizi kutoka kwa wanaume. Nilikwenda nje ya nchi kusoma pamoja na wanafunzi wengine wa kike, tulikuwa tunapewa wote pesa ya kujikimu (stipend) kila mwezi, lakini baada ya kulipwa wanafunzi wa kike wanataka uwape hela yako pia kusaidia hiki na kile. Hali hii inawafanya wanaume wajiingize kwenye rushwa, wizi, na uhalifu mwingine au kufanyakazi zaidi za ziada na hatarishi kuliko wanawake ili kuziba pengo linaloporwa na wanawake.
Hali hii inashangaza sana wanaume wengi, sio mimi tu lakini dunia nzima. Hata ulaya na marekani nimeikuta hali hii pia. Kule Marekani hata leo hii kwa kazi hiyohiyo mwanaume huwa analipwa zaidi kuliko mwanamke, nikawauliza kwanini wanawake wenye sifa sawa (elimu, ujuzi) za kazi walipwe pungufu kuliko wanaume? Professor wangu akanijibu kuwa wanawake huwa wanafidiwa na wanaume kwa njia mbalimbali, hivyo ili kupunguza uhalifu kazini wanaume wanalipwa zaidi kuliko wanawake.
Hapa Tanzania, mwalimu analipwa shilingi ngapi kwa mwezi? je, pesa hiyo anayolipwa inamfikisha mwisho wa mwezi? kama haimfikishi anatoa wapi pesa ya ziada? Jibu ni kwamba, wafanyakazi wa kike wanafika mwisho wa mwezi kwa kuwategemea wanaume wao na wanaume wao wanafika mwisho wa mwezi kwa wizi, rushwa, ufisadi au kufanyakazi za ziada. Hii ni sawa na kusema wanaume wanaumia zaidi, ni wezi zaidi, ni wala rushwa zaidi na hawafanyi kazi za mwajili wao zaidi kuliko wanawake. Kwa njia nyingine wanawake ni waaminifu zaidi kazini na ni wachapakazi zaidi kuliko wanaume makazini. Mwl wa kike anaeuza karanga na pipi darasani amekosa mwanaume wa kumfidia alichopungukiwa.
Wanaume walipwe zaidi kazini kama tunataka kuzuia rushwa, wizi, ufisadi na kuboresha uchapakazi mahali pa kazi. Vinginevyo polisi wa kiume hata ufanye nini atajiingiza kwenye vitendo vinavyokatazwa na mafundisho ya kazi yake tu hata umfanyeje. Ni upuuzi kuacha kula rushwa wakati hujui watoto watakula nini, watasomaje, watavaaje, na mkeo atakuomba nini umsaidie.
Kama ni kweli,waliwaza mbali.Kuna Bi.Mkubwa mmoja ana Watoto wake wanaishi Marekani,amewai kwenda uko akaishi kama miaka 3,nakumbuka alisema kuwa Marekani Wanaume walioajiriwa wanalipwa zaidi ya Wanawake ata kama cheo ni ichoicho.
Kuna mtu ana experience na hili Wakuu?
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Wazazi wako wangekuwa wamekulea vizuri ungekuwa unajua nini maana ya mahari, kifupi mahari inatolewa kwa sababu mwanamke akiolewa familia yake inahesabika imelose while ya mwanaume inahesabika imegain, hao watoto mtakaowazaa watachukua majina ya mme na si ya mke so mahari ni kama fidia kwa familia ya mke kwa kupotezaOna, mwanamke anakwenda kwa mganga ili apate mchumba, lakini mchumba akija anamtaka atoe mahari (pesa) kumuoa. Jiulize kwanini mwanaume atoe mahari wakati wote Wana wazazi waliowazaa na kuwalea? Kwanini mume atoe mahari wakati wote wanakwenda kutunzana, kufurahishana na kuzaa watoto wao wote?. Nadhani mahari ni ujinga TU wa wanaume kudhani kuwa wao wanafaidi zaidi wakati wa tendo la ndoa, kumbe ni kinyume chake. Kwenye tendo la ndoa wanawake ndio wanaofaidi na kufurahi sana, walioaswa kuwalipa wanaume kwa kuwafurahisha.
Binadamu wote wako sawa na Katiba yetu imesisitiza hilo.Kujidanganya kuwa wapo sawa ni kupingana na Mungu mwenyewe
Yani wanaishia kujiita wanawake wapambanajiKitu nashangaa hawa wanawake hata hapa bongo wapo wanaopata pesa labda wabunge au wanafanya kazi mpaka nje ya nchi ,pamoja na wingi wao ila hawana maendeleo kuanzia kuwa mabillionea .
Utasikia wanawake wapambanaji ila hamna cha maana na wala maendeleo hayaonekani zaidi ya nyodo tu.
Naunga mkono hoja yani wanawake hawastahili hata kurithiMkuu hoja yako inanikumbusha siku Moja nilikuwa napita sehemu wanapojenga mafundi, mara wakakatisha mabinti watatu wanao saidia kugawa vinywaji baa, maarifu kama barmedi. Wale vijana wakaanza kuimba "Bora nijipende mwenyewe, bora nimpende mama yangu" sijui msanii gani ameimba mwimbo huo.
Wale akina dada waliposikia mwimbo huo kutoka kwa vijana hao, haraka wakajibu kwa wimbo mwingine, wakaimba kwa sauti ya juu wakasema: "Wanaume wameumbwa mateso kuhangaika". Ilikuwa ni burudani ya aina yake, lakini ilinipa ujumbe mzito.
Karne ya saba Uislamu ulikuja na maoni kama hayo, japo watu wamagharibi kwa muda mrefu wamepiga kampeni kupuuza sheria ya mirathi katika Uislamu.
Katika sheria ya mirathi ya Kiislamu anapofariki mzee kijana wa kiume anapata mara mbili, na dada yake anapata mara moja. Ukiangalia sheria hiyo kwa jicho la kengeza utaona mwanamke ananyimwa haki katika mirathi, swali ambalo watu wengi wanauliza kwa nini mtoto wa kiume apate mbili na dada yake apate moja?
Wasomi katika dini hiyo mara kadhaa hujibu, anapofariki baba jukumu la uangalizi wa dada hubaki kwa kaka yake, hata kama dada ameolewa, au ana kazi yenye mshahara mkubwa kuliko kaka yake, lakini uangalizi wa dada bado upo chini ya kaka yake mwenye kipato kidogo. Dada anapoachwa na mumuwe jukumu la uangalizi humuangukia kaka. Ni wajibu wa kaka ahakikishe dada amekula, amevaa na amelala sehemu nzuri mpaka atakapo olewa.
Utaona kwa uwazi kabisa kuwa iwapo kaka na dada watagawana sawa katika mirathi, kaka ndiye atakayepunjwa. Ili wawe sawa sheria ikaona bora kaka aongezewe kiasi, utaona kiasi kilichozidi kaka amekihifadhi tu kwa ajili ya matunzo ya dada yake.
Huu ujinga inatakiwa tuufute harakaOna, mwanamke anakwenda kwa mganga ili apate mchumba, lakini mchumba akija anamtaka atoe mahari (pesa) kumuoa. Jiulize kwanini mwanaume atoe mahari wakati wote Wana wazazi waliowazaa na kuwalea? Kwanini mume atoe mahari wakati wote wanakwenda kutunzana, kufurahishana na kuzaa watoto wao wote?. Nadhani mahari ni ujinga TU wa wanaume kudhani kuwa wao wanafaidi zaidi wakati wa tendo la ndoa, kumbe ni kinyume chake. Kwenye tendo la ndoa wanawake ndio wanaofaidi na kufurahi sana, walioaswa kuwalipa wanaume kwa kuwafurahisha.
Ni kweli tupu.Kuna Bi.Mkubwa mmoja ana Watoto wake wanaishi Marekani,amewai kwenda uko akaishi kama miaka 3,nakumbuka alisema kuwa Marekani Wanaume walioajiriwa wanalipwa zaidi ya Wanawake ata kama cheo ni ichoicho.
Kuna mtu ana experience na hili Wakuu?
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Origin ya mahari ni bei halali ya kuuza mtoto wa kike kwa mwanaume wa ukoo mwingine. Wanazuga kwa kuita mahari lakini ukweli ni kuuza na kununua na bargaining inaruhusiwa kama vile unavyonunua bidhaa nyingine. Na Binti akishanunuliwa mwanaume amepata kabisa na anahiari amtumieje. Hata mume akifa familia inaendelea nae.Wazazi wako wangekuwa wamekulea vizuri ungekuwa unajua nini maana ya mahari, kifupi mahari inatolewa kwa sababu mwanamke akiolewa familia yake inahesabika imelose while ya mwanaume inahesabika imegain, hao watoto mtakaowazaa watachukua majina ya mme na si ya mke so mahari ni kama fidia kwa familia ya mke kwa kupoteza