Mke mdogo.. Depal naomba usiniingize kundi la wambea [emoji23] [emoji1544][emoji1550]Hee
Tuone muendelezo.
Baada ya kuambiwa ye chakula cha watu, alijiteteaje?
Hakika inapaswa kuwa hivyo ila kama ulivyosema kwa sasa wengi wanaona ni kawaida kufanya mambo ya hovyo kisa maslahi.Kwenye utafutaji hakikisha hadhi yako ya jinsia unailinda vilivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeandikwa wapi ?Lakini ni shabiki kindakindaki wa Yanga 🤣
Na leo cha moto mtakipata na mlaaniwe kabisa
We banaMke mdogo.. Depal naomba usiniingize kundi la wambea [emoji23] [emoji1544][emoji1550]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dua la kukuNa leo cha moto mtakipata na mlaaniwe kabisa
Njema kabisa, mashaka ulipo na uwapendao.Habari za asubuhi dada
SIMBA 3-1 mark this post[emoji419][emoji375][emoji173]Na leo cha moto mtakipata na mlaaniwe kabisa
We unakuwa sio mmbea, bali mleta habari [emoji23][emoji23]We bana
Umbea sunna ujue?
Fanya namna tupate muendelezo.
We unakuwa sio mmbea, bali mleta habari [emoji23][emoji23]
Kwa nini msijisakame wazazi wa siku hizi kwa kushindwa malezi na si kuwatupia lawama zote vijana wa siku hizi[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]Hii ya umbeya nadhani kimtaa imekuwepo siku zote maana ukifuatilia vijiwe vya kahawa au mabar, zinazoongelewa nyingi ni habari za watu.
Tofauti na wanawake, wanaume hakuna kawaida ya kufitinishana na kuzungukana lakini pia dhima ya story huwa ni kwenye kujenga Ila kwa wanawake mfano masaloon, huwa wanasengenya kama sehemu ya kujifurahisha lakini pia kubomoana ndio maana kuzushiana na kuzungukana huwa kwingi.
Mwisho wa yote badala ya kusakama hiki kizazi kipya, lazma mjiulize nyie vizazi vilivyopita, je, mlivyokuzwa ndivyo mlivyowakuza hawa mnaowasema leo hii. Kama mlishindwa, hamuoni kuwa mnapaswa kuona aibu kwa kushuhudia kufeli kwa malezi yenu kama mababa na makaka kuliko kujificha kwenye kichaka cha lawama..
Kwa nini msijisakame wazazi wa siku hizi kwa kushindwa malezi na si kuwatupia lawama zote vijana wa siku hizi
Baadae ntakuja kucheka sana
Sisi kama wazazi na wazazi tarajiwa natoa rai tuwajenge vijana wetu katika njia sahihi za kimaisha kulingana na jinsia zaoHii ya umbeya nadhani kimtaa imekuwepo siku zote maana ukifuatilia vijiwe vya kahawa au mabar, zinazoongelewa nyingi ni habari za watu.
Tofauti na wanawake, wanaume hakuna kawaida ya kufitinishana na kuzungukana lakini pia dhima ya story huwa ni kwenye kujenga Ila kwa wanawake mfano masaloon, huwa wanasengenya kama sehemu ya kujifurahisha lakini pia kubomoana ndio maana kuzushiana na kuzungukana huwa kwingi.
Mwisho wa yote badala ya kusakama hiki kizazi kipya, lazma mjiulize nyie vizazi vilivyopita, je, mlivyokuzwa ndivyo mlivyowakuza hawa mnaowasema leo hii. Kama mlishindwa, hamuoni kuwa mnapaswa kuona aibu kwa kushuhudia kufeli kwa malezi yenu kama mababa na makaka kuliko kujificha kwenye kichaka cha lawama..
Kwa nini msijisakame wazazi wa siku hizi kwa kushindwa malezi na si kuwatupia lawama zote vijana wa siku hizi
NominoUmbea ni nini.?