Wanaume wambea wanazidi kuongezeka kwa kasi ya 5G

Wanaume wambea wanazidi kuongezeka kwa kasi ya 5G

Hii ya umbeya nadhani kimtaa imekuwepo siku zote maana ukifuatilia vijiwe vya kahawa au mabar, zinazoongelewa nyingi ni habari za watu.

Tofauti na wanawake, wanaume hakuna kawaida ya kufitinishana na kuzungukana lakini pia dhima ya story huwa ni kwenye kujenga Ila kwa wanawake mfano masaloon, huwa wanasengenya kama sehemu ya kujifurahisha lakini pia kubomoana ndio maana kuzushiana na kuzungukana huwa kwingi.

Mwisho wa yote badala ya kusakama hiki kizazi kipya, lazma mjiulize nyie vizazi vilivyopita, je, mlivyokuzwa ndivyo mlivyowakuza hawa mnaowasema leo hii. Kama mlishindwa, hamuoni kuwa mnapaswa kuona aibu kwa kushuhudia kufeli kwa malezi yenu kama mababa na makaka kuliko kujificha kwenye kichaka cha lawama..

Kwa nini msijisakame wazazi wa siku hizi kwa kushindwa malezi na si kuwatupia lawama zote vijana wa siku hizi
 
Hii ya umbeya nadhani kimtaa imekuwepo siku zote maana ukifuatilia vijiwe vya kahawa au mabar, zinazoongelewa nyingi ni habari za watu.

Tofauti na wanawake, wanaume hakuna kawaida ya kufitinishana na kuzungukana lakini pia dhima ya story huwa ni kwenye kujenga Ila kwa wanawake mfano masaloon, huwa wanasengenya kama sehemu ya kujifurahisha lakini pia kubomoana ndio maana kuzushiana na kuzungukana huwa kwingi.

Mwisho wa yote badala ya kusakama hiki kizazi kipya, lazma mjiulize nyie vizazi vilivyopita, je, mlivyokuzwa ndivyo mlivyowakuza hawa mnaowasema leo hii. Kama mlishindwa, hamuoni kuwa mnapaswa kuona aibu kwa kushuhudia kufeli kwa malezi yenu kama mababa na makaka kuliko kujificha kwenye kichaka cha lawama..

Kwa nini msijisakame wazazi wa siku hizi kwa kushindwa malezi na si kuwatupia lawama zote vijana wa siku hizi
Kwa nini msijisakame wazazi wa siku hizi kwa kushindwa malezi na si kuwatupia lawama zote vijana wa siku hizi[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Makuzi na utandawazi, elimu ya jinsia( jando na unyago) iliyopewa kisogo, elimu ya utambuzi isiyopewa umuhimu, kuiga na kutamani kujaribu vyaweza kuwa sababu kuu ya haya matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ya umbeya nadhani kimtaa imekuwepo siku zote maana ukifuatilia vijiwe vya kahawa au mabar, zinazoongelewa nyingi ni habari za watu.

Tofauti na wanawake, wanaume hakuna kawaida ya kufitinishana na kuzungukana lakini pia dhima ya story huwa ni kwenye kujenga Ila kwa wanawake mfano masaloon, huwa wanasengenya kama sehemu ya kujifurahisha lakini pia kubomoana ndio maana kuzushiana na kuzungukana huwa kwingi.

Mwisho wa yote badala ya kusakama hiki kizazi kipya, lazma mjiulize nyie vizazi vilivyopita, je, mlivyokuzwa ndivyo mlivyowakuza hawa mnaowasema leo hii. Kama mlishindwa, hamuoni kuwa mnapaswa kuona aibu kwa kushuhudia kufeli kwa malezi yenu kama mababa na makaka kuliko kujificha kwenye kichaka cha lawama..

Kwa nini msijisakame wazazi wa siku hizi kwa kushindwa malezi na si kuwatupia lawama zote vijana wa siku hizi
Sisi kama wazazi na wazazi tarajiwa natoa rai tuwajenge vijana wetu katika njia sahihi za kimaisha kulingana na jinsia zao
Tuwakemee waziwazi na kuwaonya kwamba hilo halipaswi kufanywa na wewe kutokana na jinsia yako! Lakini tusiishie hapo tu bali tuwajenge kulingana na jinsia zao ili wasije kujuta tukiwa hai uzeeni tukajuta nao ama tukiwa hatupo tena!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachokiripoti na means ulizotumia kupata hiyo ripoti ni very contradictory
 
Mwijaku akianza mdomo tu wanamwambia unatafunwa,Alisema Nay wa Mitego sasa hivi Amina,inawezekana jamaa ni mashine yenye injin nyuma kweli
 
Back
Top Bottom