Wanaume wambea wanazidi kuongezeka kwa kasi ya 5G

Unayosema ni kweli kabisa mkuu πŸ˜€
 

Attachments

  • VID-20230808-WA0009.mp4
    14.7 MB
ukiwa na changamoto ya kimaisha Muombe Mungu wako akusaidie...kinyume na hapo utakua bango la matangazo either ofisini au mtaani kwako.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Innalillahi waiina illahi rajiun
Bro huu ni mtihani sana
Mume wa shamsa alikiri kabisa yeye ni mbea pamoja na mkewe na akasema hapa waalikwa mkitoka tu tunawateta
Mume wa shamsa alikiri kabisa yeye ni mbea pamoja na mkewe na akasema hapa waalikwa mkitoka tu tunawateta[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imetumwa kwenye kundi sogozi la kitaa lakini pia kuweka ushahidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
True mkuu lakini hilo silioni.
Washasema the future is female na dunia imeleta teknolojia ambayo imerahisisha almost kila kitu kiasi kwamba ni ngumu kumlea mtoto wa kiume kwa uanaume wake.

Ila nimefurahi pia kuwa siku hizi kuna kampeni zimeanza kuhusu boy child maana alisahaulika. Natumai kila mmoja kwa nafasi zetu tutafanya kitu
 
Imetumwa kwenye kundi sogozi la kitaa lakini pia kuweka ushahidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu. Na jamii ime entertain haya mambo kiasi kwamba karibia kila chombo cha habari kina segement ya umbea na watamgazaji wanalipwa pesa nyingi.
Mimi kwangu walikuwa wapenzi wa ICU ila niliwashawishi wameacha kutazama unless kama wanafanya hivyiw nikiwa sipo.
 

Exactly lakini nadhani pia mafaza wapunguze vikao vya bar ili wapate muda wa kuwafundisha watoto wa kiume kuwa wanaume. Zile zama za tamaduni na jamii kukulelea mtoto zimekwisha
 
Aisee teknolojia imefanya malezi ya watoto kuwa magumu.
Mimi nashangaa kuna information watoto wanakuwa nazo hadi unashangaa.
Haya ma insta yanafanya watoto hawataki shule kisa vitu wanavyoona mtandaoni
 
Aisee teknolojia imefanya malezi ya watoto kuwa magumu.
Mimi nashangaa kuna information watoto wanakuwa nazo hadi unashangaa.
Haya ma insta yanafanya watoto hawataki shule kisa vitu wanavyoona mtandaoni
Mkuu zamani tulifungiwa tusione vitu vya kikubwa ili tusipevuke akili kabla ya muda Ila siku hizi watoto wanajua vitu vingi mapema. Kheri uweke ukaribu na mtoto ili umpe elimu sahihi kuliko akaja kupata ya mtaa na ya mitandaoni ambayo itamuharibu. Hakuna njia nyingine salama
 
Malezi yamekuwa shida mkuu. Mimi mwanangu kuna nyimbo sipend azisikilize ila kuna muda nasikia anaimba nyimbo fulani ambazo nikawa najiuliza amezisikia wapi. Kumuuliza ananiambia kwenye school bus na huko shuleni kwenye talents
 
Watu hawataki kwenda kulima, wanataka hela ndio ibadilike iwe chakula, kwa hiyo wanatumia nguvu nyingi kupata hela bila kuangalia madhara ya njia wanazotumia kupata hela.

Suluhisho ni kila mmoja aanzishe ata bustani ya mchina ili aweze kuokoa hizo mia tano mia tano.​
 
Malezi yamekuwa shida mkuu. Mimi mwanangu kuna nyimbo sipend azisikilize ila kuna muda nasikia anaimba nyimbo fulani ambazo nikawa najiuliza amezisikia wapi. Kumuuliza ananiambia kwenye school bus na huko shuleni kwenye talents
Za zuchu hizo 😁😁😁
Ndio anthem za watoto

Mkuu usijiwazishe sana, hakikisha tu unawapa watoto taarifa sahihi ili wawe na uwezo wa kuchambua mambo mwenyewe lakini pia kufanya maamuzi kwa kukushirikisha bila hofu.
 
Mimi nawazaga sana huenda kwenye taulo za kike hizi za kisasa kutakua wanaweka kemikali inayomuingia mwanamke na kujificha kweye homoni zake ili siku akija kuzaa mtoto wa kiume awe na chembe chembe za ukike ndani yake.

Wewe angalia watoto wengi walio zaliwa kipindi cha hapa kati cha matumizi ya taulo nyingi za kisasa na P- 2 utaona kabisa kunautofauti mkubwa. Unakuta mtoto ni wakiume ila amekaa kike kike kabisa sasa umbea utaishaje.

Wanaume wa kike ni wengi sana siku hizi ,wanawake kuweni makini mnapo taka kuolewa angalia kabisa huyo ni mwanaume mwenye uanaume au ni mwanaume mweye ukike ndani yake.

Msiseme hamjaambiwa
 
Umeflow vzr ila hapo mwisho umeharibu kulikuwa na haja gani ya kuweka picha ya mshabiki wa yanga, tofauti ya ww na hao wanaume wa kike itakua ni ID tu Mr mshana
 
Hongera sana kwa kuwaza nje ya box
 
Usisingizie taulo hebu waza malezi mwanaume umemzalisha mwanamke huko halafu umekimbia mtoto wako wa kiume analelewaje na mama yake huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…