Shukrani mkuu 🙏🏽Hongera sana kwa kuwaza nje ya box
unaongelea umbea halafu wewe mwenyewe unatuletea umbea wako hapa?
Hii boy child Campaign ni vema ikadhaminiwa na waafrika wenyewe wazungu ni washenzi na hawaaminikiTrue mkuu lakini hilo silioni.
Washasema the future is female na dunia imeleta teknolojia ambayo imerahisisha almost kila kitu kiasi kwamba ni ngumu kumlea mtoto wa kiume kwa uanaume wake.
Ila nimefurahi pia kuwa siku hizi kuna kampeni zimeanza kuhusu boy child maana alisahaulika. Natumai kila mmoja kwa nafasi zetu tutafanya kitu
Kuna mahali nimeandika au imeandikwa huyo ni shabiki wa yanga!? Mimi sikuzingatia rangi hata kidogo.. Na je kama ni mwanaccm?Umeflow vzr ila hapo mwisho umeharibu kulikuwa na haja gani ya kuweka picha ya mshabiki wa yanga, tofauti ya ww na hao wanaume wa kike itakua ni ID tu Mr mshana
Huku hukuwezi kumekuzidi kimo baki huku ndio saizi yakounaongelea umbea halafu wewe mwenyewe unatuletea umbea wako hapa?
auwewe sio mwanaume?
hoi screenshot ulioileta hapa inaashiri Kuwa wewe ndio mmbea nambamoja humu janvini
hebutueleze kwanza hio screnshot umeitoa wapi?tukikuita mmbea umetuletea kitu hakituhusu utakasirika?
kamawewe siommbea sikunyingine ukiona vitukamahivyo viache hukohuko usituletee humu ujinga wako
kwanza mwanaume unafatiliaje mambo yakindezi kama haya?
Ni wapi yanga imetajwa kwenye uzi wangu?Kumbe Uzi mzima ulikuwa unataka kuisimanga yanga!..[emoji23]
Picha ya yanga inahusikaje hapa
Nioneshe penye hati miliki ya yanga [emoji23]Picha ya yanga inahusikaje hapa
Palepale...😅
unaona ulivyo jinga na mbea?Huku hukuwezi kumekuzidi kimo baki huku ndio saizi yako
Wale tunaotumia akaunti zaidi ya moja tukutane hapa
Inakuwa ngumusana kuzikontroo. Mana inahitaji muda uongo mwingi kutosahau kumbukukumbu nk Nilitongoza demu na akaunti tofauti akaomba picha nikampa tukazinguana kwenyehela anapenda sana hela nikamblock Nikamfata kwa akaunti nyingine kakubali freshi tuu alivyo niomba picha nikaachana nae mana...www.jamiiforums.com
Hello wapendwa nipokeeni
Mimi ni mgeni humu, naombeni mnikaribishe, naitwa Hafiz. Napenda kuchati na mademu wazuri, kama wapo njooni hapa tuchati na tubadilishane mawazo.www.jamiiforums.com
Hello wapendwa nipokeeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku hukuwezi kumekuzidi kimo baki huku ndio saizi yako
Wale tunaotumia akaunti zaidi ya moja tukutane hapa
Inakuwa ngumusana kuzikontroo. Mana inahitaji muda uongo mwingi kutosahau kumbukukumbu nk Nilitongoza demu na akaunti tofauti akaomba picha nikampa tukazinguana kwenyehela anapenda sana hela nikamblock Nikamfata kwa akaunti nyingine kakubali freshi tuu alivyo niomba picha nikaachana nae mana...www.jamiiforums.com
Hello wapendwa nipokeeni
Mimi ni mgeni humu, naombeni mnikaribishe, naitwa Hafiz. Napenda kuchati na mademu wazuri, kama wapo njooni hapa tuchati na tubadilishane mawazo.www.jamiiforums.com
Hello wapendwa nipokeeni
Hii post ndio maana kumbe imekukwaza sana, mwanaume anayependa kuchat na mademu tayari hiyo ni shida kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye vita kuna kitu kinaitwa medani za vita sijui kama unazijua? Je umepitia walau mafunzo ya mgambo?unaona ulivyo jinga na mbea?
Sasa hizo nyuzi zinahusu nini hapa?acha utoto
jewewe ulie tomb..a mamá mkwe tusemeje? chamdeko uliekuwa unafanya nae utapeli yukowapi?Kwenye vita kuna kitu kinaitwa medani za vita sijui kama unazijua? Je umepitia walau mafunzo ya mgambo?
Kwenye boxing kuna tambo nyingi pia kwakuwa nayo ni mapigano na kwenye soka pia kwakuwa ni mashindano nknk
Sasa kwenye haya mambo yote akijitokeza mtu na tambo za kila aina mchunguze kwanza ili ujue ni mwepesi ama ni mzito kiasi gani!
Una post mbili zote zinazungumzia kuchat na mademu.... Ni lazima hii post ikuumize sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kuwa follower wangu naamini umejifunza mengi na una mengi ya kujifunza zaidi.. Hiyo post umbea wake ni upi sasa.. Na kubadilibadili ID ni dalili ya uoga ujuejewewe ulie tomb..a mamá mkwe tusemeje? chamdeko uliekuwa unafanya nae utapeli yukowapi?
Mshana nakuheshimu sana lkn una ushabiki wa kishamba sana hapo umeweka picha ya shabiki wa YANGA sababu ya chuki zako za kishamba kuhusu YANGA mbona hujaweka video ya shabiki wa Simba yule shoga anaebamba sana kwenye mitandao ya kijamii?
endelea kufatilia udaku insta na Twitter ili update content yakuleta humuAsante kwa kuwa follower wangu naamini umejifunza mengi na una mengi ya kujifunza zaidi.. Hiyo post umbea wake ni upi sasa
Learn more young manView attachment 2768462
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewauliza swali moja na wote mmeshindwa kulijibu ni kipi kinawafanya mdhani huyo ni shabiki wa yanga?Mshana nakuheshimu sana lkn una ushabiki wa kishamba sana hapo umeweka picha ya shabiki wa YANGA sababu ya chuki zako za kishamba kuhusu YANGA mbona hujaweka video ya shabiki wa Simba yule shoga anaebamba sana kwenye mitandao ya kijamii?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
endelea kufatilia udaku insta na Twitter
sinachakujifunza kwako kizuri zaidi yakushangaa nakujiombea nikiwa Mzee nisiwe limbukeni wamitandao kama wewe