Wanaume wambea wanazidi kuongezeka kwa kasi ya 5G

Wanaume wambea wanazidi kuongezeka kwa kasi ya 5G

unaongelea umbea halafu wewe mwenyewe unatuletea umbea wako hapa?

auwewe sio mwanaume?

hoi screenshot ulioileta hapa inaashiri Kuwa wewe ndio mmbea nambamoja humu janvini

hebutueleze kwanza hio screnshot umeitoa wapi?tukikuita mmbea umetuletea kitu hakituhusu utakasirika?

kamawewe siommbea sikunyingine ukiona vitukamahivyo viache hukohuko usituletee humu ujinga wako

kwanza mwanaume unafatiliaje mambo yakindezi kama haya?
 
True mkuu lakini hilo silioni.
Washasema the future is female na dunia imeleta teknolojia ambayo imerahisisha almost kila kitu kiasi kwamba ni ngumu kumlea mtoto wa kiume kwa uanaume wake.

Ila nimefurahi pia kuwa siku hizi kuna kampeni zimeanza kuhusu boy child maana alisahaulika. Natumai kila mmoja kwa nafasi zetu tutafanya kitu
Hii boy child Campaign ni vema ikadhaminiwa na waafrika wenyewe wazungu ni washenzi na hawaaminiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeflow vzr ila hapo mwisho umeharibu kulikuwa na haja gani ya kuweka picha ya mshabiki wa yanga, tofauti ya ww na hao wanaume wa kike itakua ni ID tu Mr mshana
Kuna mahali nimeandika au imeandikwa huyo ni shabiki wa yanga!? Mimi sikuzingatia rangi hata kidogo.. Na je kama ni mwanaccm?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unaongelea umbea halafu wewe mwenyewe unatuletea umbea wako hapa?

auwewe sio mwanaume?

hoi screenshot ulioileta hapa inaashiri Kuwa wewe ndio mmbea nambamoja humu janvini

hebutueleze kwanza hio screnshot umeitoa wapi?tukikuita mmbea umetuletea kitu hakituhusu utakasirika?

kamawewe siommbea sikunyingine ukiona vitukamahivyo viache hukohuko usituletee humu ujinga wako

kwanza mwanaume unafatiliaje mambo yakindezi kama haya?
Huku hukuwezi kumekuzidi kimo baki huku ndio saizi yako



Hello wapendwa nipokeeni


Hii post ndio maana kumbe imekukwaza sana, mwanaume anayependa kuchat na mademu tayari hiyo ni shida kubwa sana



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bahati mbaya hata humu ukikaa vibaya you'll be branded as mbea, wanaume tujitahidi sana katika hili.
 
Huku hukuwezi kumekuzidi kimo baki huku ndio saizi yako



Hello wapendwa nipokeeni

Sent using Jamii Forums mobile app
unaona ulivyo jinga na mbea?

Sasa hizo nyuzi zinahusu nini hapa?acha utoto
Huku hukuwezi kumekuzidi kimo baki huku ndio saizi yako



Hello wapendwa nipokeeni


Hii post ndio maana kumbe imekukwaza sana, mwanaume anayependa kuchat na mademu tayari hiyo ni shida kubwa sana



Sent using Jamii Forums mobile app
 
unaona ulivyo jinga na mbea?

Sasa hizo nyuzi zinahusu nini hapa?acha utoto
Kwenye vita kuna kitu kinaitwa medani za vita sijui kama unazijua? Je umepitia walau mafunzo ya mgambo?
Kwenye boxing kuna tambo nyingi pia kwakuwa nayo ni mapigano na kwenye soka pia kwakuwa ni mashindano nknk

Sasa kwenye haya mambo yote akijitokeza mtu na tambo za kila aina mchunguze kwanza ili ujue ni mwepesi ama ni mzito kiasi gani!

Una post mbili zote zinazungumzia kuchat na mademu.... Ni lazima hii post ikuumize sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye vita kuna kitu kinaitwa medani za vita sijui kama unazijua? Je umepitia walau mafunzo ya mgambo?
Kwenye boxing kuna tambo nyingi pia kwakuwa nayo ni mapigano na kwenye soka pia kwakuwa ni mashindano nknk

Sasa kwenye haya mambo yote akijitokeza mtu na tambo za kila aina mchunguze kwanza ili ujue ni mwepesi ama ni mzito kiasi gani!

Una post mbili zote zinazungumzia kuchat na mademu.... Ni lazima hii post ikuumize sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
jewewe ulie tomb..a mamá mkwe tusemeje? chamdeko uliekuwa unafanya nae utapeli yukowapi?
 
jewewe ulie tomb..a mamá mkwe tusemeje? chamdeko uliekuwa unafanya nae utapeli yukowapi?
Asante kwa kuwa follower wangu naamini umejifunza mengi na una mengi ya kujifunza zaidi.. Hiyo post umbea wake ni upi sasa.. Na kubadilibadili ID ni dalili ya uoga ujue

Learn more young man
6f77459a70ea65dc15087cd89a2f2b2a.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
endelea kufatilia udaku insta na Twitter
sinachakujifunza kwako kizuri zaidi yakushangaa nakujiombea nikiwa Mzee nisiwe limbukeni wamitandao kama wewe
 
Asante kwa kuwa follower wangu naamini umejifunza mengi na una mengi ya kujifunza zaidi.. Hiyo post umbea wake ni upi sasa

Learn more young manView attachment 2768462

Sent using Jamii Forums mobile app
endelea kufatilia udaku insta na Twitter ili update content yakuleta humu

sinachakujifunza kwako zaidi yakukushangaa na kujiombea nikiwa Mzee nisije Kuwa limbukeni wamitandao kama wewe.

badala ushinde great thinker unashinda kwenye udaku.

hii ndio shida yakuijulia mitandao ukubwani

Asante👏
 
Mshana nakuheshimu sana lkn una ushabiki wa kishamba sana hapo umeweka picha ya shabiki wa YANGA sababu ya chuki zako za kishamba kuhusu YANGA mbona hujaweka video ya shabiki wa Simba yule shoga anaebamba sana kwenye mitandao ya kijamii?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Nimewauliza swali moja na wote mmeshindwa kulijibu ni kipi kinawafanya mdhani huyo ni shabiki wa yanga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom