wanaume wanao ni-approach hawafanani na mimi nisaidieni jamani!

Mchagua jembe si mkulima
 
Upo kwenye Mahangaiko unasubiri mafunuo!
 

Kwa Afrika hii au Tz AGE matters a lot... am telling you..
 
Jamani wadada hivi vigezo vya shule sio maisha bora,,, I am talking through my family experience my mother is a lecture udsm with a phd my late father alikuwa form 4 leaver with technician certificate but toka tunazaliwa hadi tunaanza kujitegemea mama akuwah kumzidi mzee kipato kias hata kipindi anasoma nje mzee alikuwa anamtumia hela na kufanya kila kitu.. B mkubwa ilikuwa kununua vyombo tu na mboga na phd yake lakin form 4 lever ndo kila kitu,,, kiasi hadi b mkubwa alikuwa anasema shule zetu ni vyeti tu hamumuon baba yenu... Na kweli mzee alikuwa akiongea au kujenga hoja unasema b mkubwa ndo kilaza kuhusu upeo hata yeye mambo yake ya chuo huko anaomba ushauri kwa mtu mzima na mtu mzima anamuweka sawa.. Kias hata alipofariki sisi tuliumia but b mkubwa aliumia sana na sana hadi tukamuonea huruma as kichwa kimeondoka..

Wadada elimu ni vyet hivyo ipo siku mtaugundua ukweliii tena around 40 mkiwa na familia zenu ndo mtajua shule mlizoona kigezo za kumchagua mtu zikoje...
 
STATUS namaanisha rank, kwasababu mtu mkitofautiana sana lazima kutakuwa na shida ktk maisha yenu, any way mimi nipo cool by appearance na huwa sibagui mtu wa kuongea nae na always huwa napenda kuwasaidia watu wa hali ya chini in short sio mtu wa kutaka kuwa recognised may be that the problem.
 
bora ya kibaj ndugu yangu!!!!!lakin umalaya uache,we kama unapenda nanii sana,kamdadek aliyekuleta duniani,

mbna unafika mbali saaana.....sasa hyo kaingia aje hapa na nani kakwambia mimi malaya uwe na staha joh....lugha chafu huwa sipendi hasa kwa watu kama hao nitukane mimi usinitukanie aliyenileta duniani.....jiheshimu mkuu
 

Upo selective sana kwasababu vigezo vyote ulivyovisema havihusiani na mapenzi, kwa mfano Elimu has nothing to do with love similarly to age, sasa utasaidikaje basi wa-aproach unaowataka ndiyo utajua mapenzi ni equation tata usiyo weza kui-solve kwa kanuni zako. Hapa nilichokustukia unaonyesha unapata watu uwapendao wao kama wao lakini tatizo linakuwa Elimu, Age au Status zao ambazo zaweza kuwa financial status.
 
sasa kinachoni embarasse ni kufuatwa na watoto ! mtu yuko 3rd year and am working for more than a year ,nikifikiria sielewi au naonekanaje sijui.

Kumbuka 3rd year ni above18yrs
 
mbna unafika mbali saaana.....sasa hyo kaingia aje hapa na nani kakwambia mimi malaya uwe na staha joh....lugha chafu huwa sipendi hasa kwa watu kama hao nitukane mimi usinitukanie aliyenileta duniani.....jiheshimu mkuu

Pole ujumbe umefika!!!prevalence ya hiv tunataka tuipunguze,we unadhan soledad akikupm,alafu ikatokea mko bongo wote,halafu mzuri na we ata kama una mke utahacha kumnanii akikubali?tulia!!!!kama kidume nanii ulipotoka!!!!
 
Naona mnapata tabu na mishipa inawatoka kumpa mtu ushauri wakati hamjui kuna kina Dada wakishapata kazi na wakamudu kukopa au kununuwa kwa Cash Vitz yake na akiwa na ile miwani yao wewe The Boss hata uwe na busara vipi kama huna gari wewe siyo status yake. mimi nimemuelewa vyema, ila asubiri afikishe miaka 40 atapata jibu lake.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza pole sana dada kwa kutofuatwa na mwanaume anaekufaa, ila usife moyo nakujiona kama we mdhaifu sana, cha msingi ni kuangalia vigezo muhimu sana vya mwenza anaekufaa na kuvipuuza vigezo dhaifu, kwa mfano kigezo cha elimu kuwa ndogo than yours co strong sana maana m2 anaweza kujiendeleza MAANA ELIMU NI BAHARI. God bless you.
 
pole ujumbe umefika!!!prevalence ya hiv tunataka tuipunguze,we unadhan soledad akikupm,alafu ikatokea mko bongo wote,halafu mzuri na we ata kama una mke utahacha kumnanii akikubali?tulia!!!!kama kidume nanii ulipotoka!!!!

kweli unahitaji kwenda milembe.....ukapimwe hivi unataka wewe ndo uolewe mbona unakihelehele kama mke wa balozi....au huyo soledad ni dada yako basi mnaninihh...ww mwenyewe asijetusumbua hapa sisi wanaume rijali
 
ninyi wanaume kwann mwamsakama huyu binti?mie nadhan wewe hujafaham unachokihitaj isitoshe maranying wanaume huwa wanamtokea mwanamke ambaye wanafaham fika ni wa level zao wakiona yuko level za juu yao bac huishia kula kwa macho hivyobasi hao wanaokuapproach wewe uko level moja nao ,kama wataka wa level ya juu nawe improve level yako
 
kweli unahitaji kwenda milembe.....ukapimwe hivi unataka wewe ndo uolewe mbona unakihelehele kama mke wa balozi....au huyo soledad ni dada yako basi mnaninihh...ww mwenyewe asijetusumbua hapa sisi wanaume rijali

Tuyahache hayo Baro!!!nilikuwa nakupa challenge tu!!!upunguze urijali!!!pole kama umekwazka!!
 

Pole sana kwa sababu una problem kubwa kuliko maelezo...in short problem uliyonayo ni kwamab hujui unachotaka kwa mwanaume...matokeo yake unattract wrong people. The fact is hauko tayari kuattract wamaume kwa ajili ya long term relationship aka marriage.

Ushauri wangu ni kwamba kaa chini ujue unachohitaji....are looking for emotional or material stuff?
 

Unataka mwenza kisha unajiwekea vigezo ambavyo awe navy😵K sasa sijui akiwa na hivyo vigezo tu basi inatosha hata kama hatakupenda kwa dhati? Si rahisi kumpata mtu atakayefiti kila kigezo utakachoainisha na awe anakupenda kwa dhati katika dunia hii yetu ya leo.Ila kama ni kumpata ndotoni,usiku ukilala mnaonana anakukiss unamkiss na mengineyo mengi hilo lawezekana..Bila shaka umri wako ukizidi kusogea utashtuka na kubadili vigezo..na pia bila shaka unaelewa waoaji si wengi,hivyo unafanya uchaguzi katika wale wachache! wengi ni wale anaweza kuwa na vigezo lakini akawa The Hitter!
 
Nimesoma hii nikajikuta nacheka kwanza ingawa kiukweli sikutakiwa kucheka, anyway kwa mtizamo wangu mimi nahisi wewe ndio hujajitambua kwahiyo ndio maana unashindwa ku match na hao watu wengine.

Pili Mungu aliposema atakupa wa kufanana nawe we ulifikiri alikuwa anaongelea age na kiwango cha elimu au perfume gani anatumia? Go beyond vigezo vyako, kama unamwachia Mungu then mwachie Mungu lakini kama unakwenda na vigezo vyako then go with your vigezo.

Remember when women turns 30 hawajaolewa huwa wanaanza kuwa desperate, na always desperate moments huwa zinakuja na desperate measures ambazo kwa hili ni kubeba yoyote anayekuja mbele yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…