Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Kwanza pole sana dada kwa kutofuatwa na mwanaume anaekufaa, ila usife moyo nakujiona kama we mdhaifu sana, cha msingi ni kuangalia vigezo muhimu sana vya mwenza anaekufaa na kuvipuuza vigezo dhaifu, kwa mfano kigezo cha elimu kuwa ndogo than yours co strong sana maana m2 anaweza kujiendeleza MAANA ELIMU NI BAHARI. God bless you.
Habari wana JF,
Mie ni mdada umri wangu ni abt 27yrs, nimekuwa nikipata shida hadi sometimes i feel bad and embarassed . Tatizp ni kuwa Wanaume wengi wanaonifuata kwaajili ya mahusiano siendani nao in every aspect mfano education, status and age. Imefikia mahali nashindwa hata kujielewa labda nipo selective sana for men , i dont know. wengi wanaonifuata akiwa na elimu kama yangu basi atakuwa mdogo kuliko mie this happen many times, akiwa sawa na mie au above my age basi atakuwa either shule ndogo au status yake na mie tofauti sana so we can't be!. Naomba ushauri maana its time for me to share my life with some one but the bible say mungu atanipa wa kufanana nami ila mie simuoni huyo wa kufanana na mie na siwezi kuamua kuwa na mtu yeyote tu kwasababu hajatokea wangu, aina ya wanaume ninao wa admire WAPO BUT HAWAJI and I can't approach them lo! sasa sijui mie ndo nina problem? yaani my heart is full of love and Iwant to share this with some one but wote wanaokuja ndo hivyo .
Nifanye nini ili nipate wa kufana na mie ?
The Boss kujitambua kwa namna gani? mie naona najitambua ndo maana siwezi kuwa na mtu yeyote ingawa this is the perfect time tena naona nimechelewa. Mimi nafikiri hivi my men anatakiwa awe rafiki yangu tufanane hata tuvyoona mambo na kufikiri yaani hata tuwe tunazungumza lugha moja mitazamo inaenda pamoja tusaidiane pamoja kufikia our vission. sasa kinachoni embarasse ni kufuatwa na watoto ! mtu yuko 3rd year and am working for more than a year ,nikifikiria sielewi au naonekanaje sijui.
Loading.......What i know ni kwamba mapenzi sio material things
na wala sio Age,status,urembo n.k
kuiendekeza ivyo utasubiri sana
hao wanaokufuata ndo level yako zats y wanakufuata...
Hao unaodhani ww kwamba wana status sio level yako ndo maana wanakupita km hawakuoni
What i can see here is Soledad huna mapenzi unayosema unataka kushare na mwanaume labda kama unataka kushare nae status!!
ngoja nirudi nikwambie nini maana ya mapenzi labda utabadilisha mtazamo
nakuja!
Habari wana JF,
Mie ni mdada umri wangu ni abt 27yrs, nimekuwa nikipata shida hadi sometimes i feel bad and embarassed . Tatizp ni kuwa Wanaume wengi wanaonifuata kwaajili ya mahusiano siendani nao in every aspect mfano education, status and age. Imefikia mahali nashindwa hata kujielewa labda nipo selective sana for men , i dont know. wengi wanaonifuata akiwa na elimu kama yangu basi atakuwa mdogo kuliko mie this happen many times, akiwa sawa na mie au above my age basi atakuwa either shule ndogo au status yake na mie tofauti sana so we can't be!. Naomba ushauri maana its time for me to share my life with some one but the bible say mungu atanipa wa kufanana nami ila mie simuoni huyo wa kufanana na mie na siwezi kuamua kuwa na mtu yeyote tu kwasababu hajatokea wangu, aina ya wanaume ninao wa admire WAPO BUT HAWAJI and I can't approach them lo! sasa sijui mie ndo nina problem? yaani my heart is full of love and Iwant to share this with some one but wote wanaokuja ndo hivyo .
Nifanye nini ili nipate wa kufana na mie ?
Binti anapokutana na kijana, kuna vitu kadhaa hutaka kijana abadilike ili amfae, kijana kwa upande wake, hutamani binti awe vile vile, asibadilike...but yote haya huwa vice versa wakiungana...Cha kufanya ni kumuumba wa kwako
Hellow Mdada,
Kwanza kunywa maji mdogo wangu alafu unisikilize,nataka nikupe perspective ya kike katika hili.Shost usichague sana but don't lower your self too much.You deserve the best baby girl,you are the flower and you have the power.
Mwanaume uliyemzidi umri na status (education,finances and social status)anaweza kukufaa ila anaweza kuwa na inferiority complex ikawa tabu tena.Inafika mahali unaogopa hata kum-introduce Mr. kwa mashost au kwa colleagues kazini unaona aibu kha nani anataka hy.Hii pia ina angalizo,unaweza kuwa na Mwanaume anakuzidi umri lakini zuzu hujapata kuona mfano wake,hana mtizamo wa kimaendele hata.Anaweza kuwa na financial status nzuri lakini selfish hutakaa uone cent yake.
Hakuna kuchelewa katika hii sector,endelea kumwomba Mungu akupe huyo wa kufanana nawe ila hata mkipishana isiwe saana. Nimesoma wengi wanakwambia eti ngoja ufike 30 sijui itakuwaje,hao bado wako karne za kale,katika developing world what matters ni happiness ya maisha sio kuoa/kuolewa katika umri flani kwa sababu ni destri.Wangapi wamefanya hivyo na ndoa zao ni kwishne sasa hv.
Tatizo la baadhi ya wanaume ni uoga wa kuoa mtu mwenye status flani,ila wako wanaume wa ukweli wanaojiamini hili kwao si tatizo.
Japo kuna watu humu wanasema elimu,fedha havina nafasi katika mapenzi sikubaliani nao asilimia zote.Kuna raha mnapokuwa confortable,mwanaume anaprovide inavyotakiwa,u speak the same language na mna mitazamo inayoendana.Kila la kheri shost.
Habari wana JF,
Mie ni mdada umri wangu ni abt 27yrs, nimekuwa nikipata shida hadi sometimes i feel bad and embarassed . Tatizp ni kuwa Wanaume wengi wanaonifuata kwaajili ya mahusiano siendani nao in every aspect mfano education, status and age. Imefikia mahali nashindwa hata kujielewa labda nipo selective sana for men , i dont know. wengi wanaonifuata akiwa na elimu kama yangu basi atakuwa mdogo kuliko mie this happen many times, akiwa sawa na mie au above my age basi atakuwa either shule ndogo au status yake na mie tofauti sana so we can't be!. Naomba ushauri maana its time for me to share my life with some one but the bible say mungu atanipa wa kufanana nami ila mie simuoni huyo wa kufanana na mie na siwezi kuamua kuwa na mtu yeyote tu kwasababu hajatokea wangu, aina ya wanaume ninao wa admire WAPO BUT HAWAJI and I can't approach them lo! sasa sijui mie ndo nina problem? yaani my heart is full of love and Iwant to share this with some one but wote wanaokuja ndo hivyo .
Nifanye nini ili nipate wa kufana na mie ?