wanaume wanao ni-approach hawafanani na mimi nisaidieni jamani!

wanaume wanao ni-approach hawafanani na mimi nisaidieni jamani!

cacico nani anataka mambo ya kupimana status,mwache akae benchi kwanza, akigusa thirty atapunguza vigezo na masharti lolest!!

Kuja bi dada mmoja anakaribia 40 sasa. Bado anaweka vigezo na mashart utafikiri kigoli wa miaka 24 minus. Cha ajabu wenzie hapa ofisini wakiolewa analia hadi kamasi na kwenye harusi haendi kwa uchungu.
 
Habari wana JF,
Mie ni mdada umri wangu ni abt 27yrs, nimekuwa nikipata shida hadi sometimes i feel bad and embarassed . Tatizp ni kuwa Wanaume wengi wanaonifuata kwaajili ya mahusiano siendani nao in every aspect mfano education, status and age. Imefikia mahali nashindwa hata kujielewa labda nipo selective sana for men , i dont know. wengi wanaonifuata akiwa na elimu kama yangu basi atakuwa mdogo kuliko mie this happen many times, akiwa sawa na mie au above my age basi atakuwa either shule ndogo au status yake na mie tofauti sana so we can't be!. Naomba ushauri maana its time for me to share my life with some one but the bible say mungu atanipa wa kufanana nami ila mie simuoni huyo wa kufanana na mie na siwezi kuamua kuwa na mtu yeyote tu kwasababu hajatokea wangu, aina ya wanaume ninao wa admire WAPO BUT HAWAJI and I can't approach them lo! sasa sijui mie ndo nina problem? yaani my heart is full of love and Iwant to share this with some one but wote wanaokuja ndo hivyo
.

Nifanye nini ili nipate wa kufana na mie ?

Hebu anika hapa sifa zako zote tuone kama kweli hakuna wa kufanana na wewe humu!! Naamini tupo wengi tu.
 
STATUS namaanisha rank, kwasababu mtu mkitofautiana sana lazima kutakuwa na shida ktk maisha yenu, any way mimi nipo cool by appearance na huwa sibagui mtu wa kuongea nae na always huwa napenda kuwasaidia watu wa hali ya chini in short sio mtu wa kutaka kuwa recognised may be that the problem.

Mbona sikuelewi wewe una rank gani? mhh unaanza kunitisha kuwa huelewi unachotaka wewe bibie... hivi unaweza hata kuainisha sifa zako na za mwanaume unayemtaka kwa ufasaha? Manake kwa unavyojidai unataka eliyesoma unanitisha ikiwa huwezi hata kusema wewe ukoje na unayemtaka aweje.
 
Naona mnapata tabu na mishipa inawatoka kumpa mtu ushauri wakati hamjui kuna kina Dada wakishapata kazi na wakamudu kukopa au kununuwa kwa Cash Vitz yake na akiwa na ile miwani yao wewe The Boss hata uwe na busara vipi kama huna gari wewe siyo status yake. mimi nimemuelewa vyema, ila asubiri afikishe miaka 40 atapata jibu lake.

Mbona sikuelewi wewe una rank gani? mhh unaanza kunitisha kuwa huelewi unachotaka wewe bibie... hivi unaweza hata kuainisha sifa zako na za mwanaume unayemtaka kwa ufasaha? Manake kwa unavyojidai unataka eliyesoma unanitisha ikiwa huwezi hata kusema wewe ukoje na unayemtaka aweje.
Mie sijaandika hii thread kwaajili ya kutafuta mpenzi hapa JF nimeomba ushauri nimepata so ntautumia ushauri huo huku nilipo , thanks
 
The Boss kujitambua kwa namna gani? mie naona najitambua ndo maana siwezi kuwa na mtu yeyote ingawa this is the perfect time tena naona nimechelewa. Mimi nafikiri hivi my men anatakiwa awe rafiki yangu tufanane hata tuvyoona mambo na kufikiri yaani hata tuwe tunazungumza lugha moja mitazamo inaenda pamoja tusaidiane pamoja kufikia our vission. sasa kinachoni embarasse ni kufuatwa na watoto ! mtu yuko 3rd year and am working for more than a year ,nikifikiria sielewi au naonekanaje sijui.

Umekiri kuwa kuna wanaume ambao unadhani ni wa status yako lakini hawaji kukutokea, ushauri wangu-'Just make a move towards them' its the time to fight for your love! Unaweza ukawa na qualities ambazo hao wanaume wa status yako hawawezi kuziona kwa mbali. Just make a move for friendship, then over time I hope atatokea ambaye amekuwa interested na wewe na atakutokea. Ukijifanya matawi ya juu, ukajitenga na kusubiri utokewe utadoda!
 
Kuja bi dada mmoja anakaribia 40 sasa. Bado anaweka vigezo na mashart utafikiri kigoli wa miaka 24 minus. Cha ajabu wenzie hapa ofisini wakiolewa analia hadi kamasi na kwenye harusi haendi kwa uchungu.
ha!ha! umenichekesha eti haendi ktk haruc.
 
emu simamia hivyo kama kwel unaona vina tija kwako na lazima uwe na mtazamo wa kuthamini na kiilewa jamii inavyobadilika
 
Ngoja mimi muuza madafu nikae kimyaaaa manake inaonekana huyu mwanadada ana phd ya kusongea ugali ,
 
wanaume wengi wa siku hizi shule matatizo, ambayo inadhuru hata thinking.....
eboo kama ni hivii mimi muuza madafu ngoja nikamtafute demu muuza hoteli manake nilikuwa nataka nioe mwanamke msomi ila mimi muuza madafu stdseven
 
Hana lolote huyo ni nunganyembe tu anajifanya kutaka ushauri kumbe ndo anatafva mwanaume ungekuwa m'ke wa maana ungekuwa ushapana bwana subiri w'me wasiojua kutongoza wataku pm

Chinga boy, mbona umewaka ivo!?
na wewe ni mmojawapo wa wasio level yake nini
maana mmmh! umewakaje?

itakua Soledad alikutema:tongue:
 
vema umesema mwenyewe kuwa Mungu humpa mtu mke/mume afananaye naye. kwa nyongeza Mungu haharakishwi au kulazimishwa. kuna mawili, anaweza akakupa kwa kuchelewa au asikupe kabisa. je mtamgeukia shetani ili aharakishe matakwa yako au uko tayari kusubiri uamuzi wa Mungu?
u

Ulichosema hapa ni kweli kwamba Mungu umpa mtu mke/mme wa kufanana nae,
Tatizo la Soledad akipewa huyo wa kufanana nae,ye anadai huyo sio wa status yake
What i believe is kinachotoka kwa Mungu kwa maana ya kufananishwa na mwenzi wake
sio hizo sifa anazozitaja bi shost,
bali ni utu,ucha Mungu,kiasi,na mambo yanayofanana na hayo
sio material km status,i don know uhandsome, utajiri n.k

Mungu hawezi mpa mtu alietulia au mcha Mungu akampa mzinzi,mlevi n.k
Bali atamchagulia wa kufanana nae katika hayo....

viangalieni hivi vitu kwa umakini sana
Mtu asijeona ana Elimu, kazi, ni mzuri wa sura na umbo zen akamforce Mungu ampe mtu wa hivyo km atakavyo
Utaishia kusubiri na kujiona una mkosi milele..

ntarudi tenaa!
 
Kuna dada mmoja alisema yeye anataka mwanaume handsome, tall, famous hapa mjini, mwenye masters, nyumba mbezi beach na mkwanja wa maana hhahahaha mpaka leo anaendelea kugawa one night stand tu akiendelea kuchagua huyo handsome! sasa na wewe naona unaelekea huko huko kila la kheri na status yako!!!
 
Tatzo vgezo mingi, things kama eliimu na umri ww poteza tu coz life cyo hayo tu ni akili ya kawaida...xory 4dat..
 
The Boss kujitambua kwa namna gani? mie naona najitambua ndo maana siwezi kuwa na mtu yeyote ingawa this is the perfect time tena naona nimechelewa. Mimi nafikiri hivi my men anatakiwa awe rafiki yangu tufanane hata tuvyoona mambo na kufikiri yaani hata tuwe tunazungumza lugha moja mitazamo inaenda pamoja tusaidiane pamoja kufikia our vission. sasa kinachoni embarasse ni kufuatwa na watoto ! mtu yuko 3rd year and am working for more than a year ,nikifikiria sielewi au naonekanaje sijui.
Samahani kwa ku-interrupt.
Ukitaka kupata mnaefanana sanaaa ki-fikra n.k. kuanzia sasa anza kutafuta mwanamke mwenzako.
 
Hao wanaokufata wanakuona wewe ni sawa yao na ni wa status yao kabisaaaa! Ila wewe ndio hujitambui kama status yako inafanana nao! Jiangalie na ujipange upya!

huyu anaweza akawa kama huyu paka kwenye avatar yangu, akijiangalia kwenye kioo anajiona yeye ni simba.(hajitambui yeye ni nani)
 
samahani kama nitakuudhi unasema hujapata mnaoendana na wao ujue wenye status kama yako wameona huwafai tatizo umekuwa mchaguaji sana ata ukitongoza wewe inaonyesha hamtadumu miaka 27 hujaona mtu alafu ukute elimu yenyewe degree tu sifa nyingi kwa ushauri tafuta mwanaume ambaye sio tegemezi yani mchapakazi angalia na umri tu vingine sio issue utazeekea home wenzio siku izi umri uo ndo wakuwa na familia yako unazaa unapumzika subiri sana shosti
 
Back
Top Bottom