molely molly
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 317
- 30
duh umenikumbusha mbali sana na usipo kua makini umri unazidi sogea na quality inazidi shuka aliekudanganya utapewa wa kufanana na wewe ni nani bhana unadhani umemtengeneza?
MWANAUME; ni kama shamba kiwanja yani daily soko lake linazidi panda VS MWANAMKE;ni kama sijui niseme soko la simu tena TECNO
saivi ukipata hata chizi we mchukue tu mtabadilishana huko mbele don waste time
MWANAUME; ni kama shamba kiwanja yani daily soko lake linazidi panda VS MWANAMKE;ni kama sijui niseme soko la simu tena TECNO
saivi ukipata hata chizi we mchukue tu mtabadilishana huko mbele don waste time