cacico nani anataka mambo ya kupimana status,mwache akae benchi kwanza, akigusa thirty atapunguza vigezo na masharti lolest!!
Habari wana JF,
Mie ni mdada umri wangu ni abt 27yrs, nimekuwa nikipata shida hadi sometimes i feel bad and embarassed . Tatizp ni kuwa Wanaume wengi wanaonifuata kwaajili ya mahusiano siendani nao in every aspect mfano education, status and age. Imefikia mahali nashindwa hata kujielewa labda nipo selective sana for men , i dont know. wengi wanaonifuata akiwa na elimu kama yangu basi atakuwa mdogo kuliko mie this happen many times, akiwa sawa na mie au above my age basi atakuwa either shule ndogo au status yake na mie tofauti sana so we can't be!. Naomba ushauri maana its time for me to share my life with some one but the bible say mungu atanipa wa kufanana nami ila mie simuoni huyo wa kufanana na mie na siwezi kuamua kuwa na mtu yeyote tu kwasababu hajatokea wangu, aina ya wanaume ninao wa admire WAPO BUT HAWAJI and I can't approach them lo! sasa sijui mie ndo nina problem? yaani my heart is full of love and Iwant to share this with some one but wote wanaokuja ndo hivyo .
Nifanye nini ili nipate wa kufana na mie ?
STATUS namaanisha rank, kwasababu mtu mkitofautiana sana lazima kutakuwa na shida ktk maisha yenu, any way mimi nipo cool by appearance na huwa sibagui mtu wa kuongea nae na always huwa napenda kuwasaidia watu wa hali ya chini in short sio mtu wa kutaka kuwa recognised may be that the problem.
Naona mnapata tabu na mishipa inawatoka kumpa mtu ushauri wakati hamjui kuna kina Dada wakishapata kazi na wakamudu kukopa au kununuwa kwa Cash Vitz yake na akiwa na ile miwani yao wewe The Boss hata uwe na busara vipi kama huna gari wewe siyo status yake. mimi nimemuelewa vyema, ila asubiri afikishe miaka 40 atapata jibu lake.
Mie sijaandika hii thread kwaajili ya kutafuta mpenzi hapa JF nimeomba ushauri nimepata so ntautumia ushauri huo huku nilipo , thanksMbona sikuelewi wewe una rank gani? mhh unaanza kunitisha kuwa huelewi unachotaka wewe bibie... hivi unaweza hata kuainisha sifa zako na za mwanaume unayemtaka kwa ufasaha? Manake kwa unavyojidai unataka eliyesoma unanitisha ikiwa huwezi hata kusema wewe ukoje na unayemtaka aweje.
The Boss kujitambua kwa namna gani? mie naona najitambua ndo maana siwezi kuwa na mtu yeyote ingawa this is the perfect time tena naona nimechelewa. Mimi nafikiri hivi my men anatakiwa awe rafiki yangu tufanane hata tuvyoona mambo na kufikiri yaani hata tuwe tunazungumza lugha moja mitazamo inaenda pamoja tusaidiane pamoja kufikia our vission. sasa kinachoni embarasse ni kufuatwa na watoto ! mtu yuko 3rd year and am working for more than a year ,nikifikiria sielewi au naonekanaje sijui.
ha!ha! umenichekesha eti haendi ktk haruc.Kuja bi dada mmoja anakaribia 40 sasa. Bado anaweka vigezo na mashart utafikiri kigoli wa miaka 24 minus. Cha ajabu wenzie hapa ofisini wakiolewa analia hadi kamasi na kwenye harusi haendi kwa uchungu.
thanks nimeona mwaya thanks al otcheck in box nimeku advise dada yangu!!
eboo kama ni hivii mimi muuza madafu ngoja nikamtafute demu muuza hoteli manake nilikuwa nataka nioe mwanamke msomi ila mimi muuza madafu stdsevenwanaume wengi wa siku hizi shule matatizo, ambayo inadhuru hata thinking.....
Hana lolote huyo ni nunganyembe tu anajifanya kutaka ushauri kumbe ndo anatafva mwanaume ungekuwa m'ke wa maana ungekuwa ushapana bwana subiri w'me wasiojua kutongoza wataku pm
uvema umesema mwenyewe kuwa Mungu humpa mtu mke/mume afananaye naye. kwa nyongeza Mungu haharakishwi au kulazimishwa. kuna mawili, anaweza akakupa kwa kuchelewa au asikupe kabisa. je mtamgeukia shetani ili aharakishe matakwa yako au uko tayari kusubiri uamuzi wa Mungu?
Samahani kwa ku-interrupt.The Boss kujitambua kwa namna gani? mie naona najitambua ndo maana siwezi kuwa na mtu yeyote ingawa this is the perfect time tena naona nimechelewa. Mimi nafikiri hivi my men anatakiwa awe rafiki yangu tufanane hata tuvyoona mambo na kufikiri yaani hata tuwe tunazungumza lugha moja mitazamo inaenda pamoja tusaidiane pamoja kufikia our vission. sasa kinachoni embarasse ni kufuatwa na watoto ! mtu yuko 3rd year and am working for more than a year ,nikifikiria sielewi au naonekanaje sijui.
Hao wanaokufata wanakuona wewe ni sawa yao na ni wa status yao kabisaaaa! Ila wewe ndio hujitambui kama status yako inafanana nao! Jiangalie na ujipange upya!