molely molly
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 317
- 30
duh umenikumbusha mbali sana na usipo kua makini umri unazidi sogea na quality inazidi shuka aliekudanganya utapewa wa kufanana na wewe ni nani bhana unadhani umemtengeneza?
MWANAUME; ni kama shamba kiwanja yani daily soko lake linazidi panda VS MWANAMKE;ni kama sijui niseme soko la simu tena TECNO
saivi ukipata hata chizi we mchukue tu mtabadilishana huko mbele don waste time
habari wana jf,
mie ni mdada umri wangu ni abt 27yrs, nimekuwa nikipata shida hadi sometimes i feel bad and embarassed . Tatizp ni kuwa wanaume wengi wanaonifuata kwaajili ya mahusiano siendani nao in every aspect mfano education, status and age. Imefikia mahali nashindwa hata kujielewa labda nipo selective sana for men , i dont know. Wengi wanaonifuata akiwa na elimu kama yangu basi atakuwa mdogo kuliko mie this happen many times, akiwa sawa na mie au above my age basi atakuwa either shule ndogo au status yake na mie tofauti sana so we can't be!. Naomba ushauri maana its time for me to share my life with some one but the bible say mungu atanipa wa kufanana nami ila mie simuoni huyo wa kufanana na mie na siwezi kuamua kuwa na mtu yeyote tu kwasababu hajatokea wangu, aina ya wanaume ninao wa admire wapo but hawaji and i can't approach them lo! Sasa sijui mie ndo nina problem? Yaani my heart is full of love and iwant to share this with some one but wote wanaokuja ndo hivyo .
nifanye nini ili nipate wa kufana na mie ?
ninyi wanaume kwann mwamsakama huyu binti?mie nadhan wewe hujafaham unachokihitaj isitoshe maranying wanaume huwa wanamtokea mwanamke ambaye wanafaham fika ni wa level zao wakiona yuko level za juu yao bac huishia kula kwa macho hivyobasi hao wanaokuapproach wewe uko level moja nao ,kama wataka wa level ya juu nawe improve level yako
Habari wana JF,
Mie ni mdada umri wangu ni abt 27yrs, nimekuwa nikipata shida hadi sometimes i feel bad and embarassed . Tatizp ni kuwa Wanaume wengi wanaonifuata kwaajili ya mahusiano siendani nao in every aspect mfano education, status and age. Imefikia mahali nashindwa hata kujielewa labda nipo selective sana for men , i dont know. wengi wanaonifuata akiwa na elimu kama yangu basi atakuwa mdogo kuliko mie this happen many times, akiwa sawa na mie au above my age basi atakuwa either shule ndogo au status yake na mie tofauti sana so we can't be!. Naomba ushauri maana its time for me to share my life with some one but the bible say mungu atanipa wa kufanana nami ila mie simuoni huyo wa kufanana na mie na siwezi kuamua kuwa na mtu yeyote tu kwasababu hajatokea wangu, aina ya wanaume ninao wa admire WAPO BUT HAWAJI and I can't approach them lo! sasa sijui mie ndo nina problem? yaani my heart is full of love and Iwant to share this with some one but wote wanaokuja ndo hivyo .
Nifanye nini ili nipate wa kufana na mie ?
Habari wana JF,
Mie ni mdada umri wangu ni abt 27yrs, nimekuwa nikipata shida hadi sometimes i feel bad and embarassed . Tatizp ni kuwa Wanaume wengi wanaonifuata kwaajili ya mahusiano siendani nao in every aspect mfano education, status and age. Imefikia mahali nashindwa hata kujielewa labda nipo selective sana for men , i dont know. wengi wanaonifuata akiwa na elimu kama yangu basi atakuwa mdogo kuliko mie this happen many times, akiwa sawa na mie au above my age basi atakuwa either shule ndogo au status yake na mie tofauti sana so we can't be!. Naomba ushauri maana its time for me to share my life with some one but the bible say mungu atanipa wa kufanana nami ila mie simuoni huyo wa kufanana na mie na siwezi kuamua kuwa na mtu yeyote tu kwasababu hajatokea wangu, aina ya wanaume ninao wa admire WAPO BUT HAWAJI and I can't approach them lo! sasa sijui mie ndo nina problem? yaani my heart is full of love and Iwant to share this with some one but wote wanaokuja ndo hivyo .
Nifanye nini ili nipate wa kufana na mie ?
pole sana, muda haukusubiri. BADO HUJAJUA UNACHOHITAJI.
Manamake mengine bana (kama hili) yaan full kujikweza utafiri ana nini cha maana kivilee ambacho ni so special wakati kinachompa kiburi ni hilo ripochi lake la manyoya ambalo nahisi kabisa hata huo utamu watu walishanyonya wote na rimebaki dude fulani hivi tu kwa ajili ya haja ndogo. Mashauzi kibao, utajua tu, eti status, elimu na mambo mengi tu ya kijingajinga, una elimu gani wewe ambayo wengine hawana?, vingereza vya gumbalu kibao, yaan umeniboa kinyama, na utabaki hivyo hivyo.
eee hongera! tuambie huyo shemeji yukoje maana wengine ndiyo tunaiona thread na tulitaka kurusha ndoano.Thanks for ua advice, now I know what I need, hii thread ya long time, I have already solved the issue
sasa mungu atakupaje wakati wewe msomi utaki walemavu wa elimu?????Mdada vp...suala zingatiaaa age elimu majaliwa/.....jitambue unataka nn?unataka ndoa au elimu?ndoa au umaarufu?ndoa au status?ndoa au mali?ndoa au majivuno?kipi wataka ww mtz...utasubiri sana mdada amua......acha kuomba kwa vigezoo upati ngoo..ila kama unataka ndoa nasio vingine amua leo na utaonaaaaa....zinduka ww bhana achana na maisha ya kuigaaaa bali igwaaaaaaaa:A S clock::A S clock::A S clock: