Wanaume wanaofakamia fasheni za kike ni dalili za ushoga?

Vpochi imekuw fashion san , vjan wanavbena hadi unajiulz wamewek nn zaid ya smartphone na kitambaa cha mafua , mwingine anawek na pyfyum asee kizaz kinaisha
 
Hiyo ya vipens nimeiona dar looh hata kama ni uzungu ni too much tamaduni za kipuuuz unakuta mtu yupo kwenye gar safiii akishuka Yuko na boxer [emoji2959]
Kuna sijui niseme kijana au baba ila hakosi 37 alipeleka kioo chake kwa mafundi wa aluminum basi pale kashuka kwenye gari lake kipensi kiko juu ya mapaja huku kuinama akitoel kila kioo wasaidiane na yule fu do mstari wa makalio unaonekana, Yan kiukweli yule jamaa nilimuona wa ovyo mpk basi, yule fundi alibaki kumuangalia tu yule jamaa, kiufupi kuna wanaume wana ujinga na hapo akiongozana na kidem chake mapaja wazi unawaona wenda wazimu
 
Hata Mimi nashangaa, jamaa Mmoja kavaa boxer anaendesha baisikeli,kasimamia anaongea na simu, Noma wakina dogo.
 
Ila sasa wanavyotukana wanawake kuwa hawana maadili! Unaweza fikiri upo wanawake watupu kumbe eti na wanaume wapo kapiga hereni kabisa 😭😭 duu
 
Hawa wahuni tusipowadhibiti wataanza kutuvalia sketi. Bora tuwabane mapema kabla hawajaharibu kizazi kizima.
Umewahi fika katavi na usukumani? Wale jamaa wanavaa sketi za kanga au vitenge, banging etc . Na jamaa hawana habari kabisa, na jamii inaona kawaida tu. Fiji wanaume wanavaa sketi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…