Wanaume wanaofakamia fasheni za kike ni dalili za ushoga?

Mkuu huwezi kumaliza tatizo bila kuondoa chanzo cha tatizo. Hawahawa wanaume wenye tabia za kishoga ndio wa kushughulika nao barabara kabla hawajawaambukiza wengine.
Anza wewe kuchukua hatua. Sio kwenye keyboard.
 
Hayo mambo zaidi ya kwenye mtandao na tv sijawahi yaona.. siishai huko Daslamu
 
Ok makutupora uko wap mzee?

Hapo pensi Haina shida jua mwili wako basi, sio una haga kumzidi ashura unatuvalia vinjunga,

Lazima uwe mkali arifu watoto walelewe kwenye maadili
Nachoweza kusema ni kuwa una maisha marefu sana. Nimekuwaza sana usiku huu wa Leo!

Nikasema ndugu yangu yupo?
 
Umewahi fika katavi na usukumani? Wale jamaa wanavaa sketi za kanga au vitenge, banging etc . Na jamaa hawana habari kabisa, na jamii inaona kawaida tu. Fiji wanaume wanavaa sketi.
Katavi wavaa sketi hakuna acha kuongopa, labda ulienda Kwa wasukuma , wachunga ng'ombe,lakini asili yakule hakuna watu wahivyo , labda wageni
 
Kwa joto la Dar mnataka kaka zetu wavae majeans na makadeti baadae mnakuja kuwasema wananuka korodani, waacheni wapigwe na upepo jamani joto kali
 
Hivi huyu Aliyevaa pochi si Diamond kweli jamani?
 
Ndio Mkuu mleta uzi anamaanisha kuwa marashi ya Mwaname ni harufu itokanayo na kwapa lake mwenyewe huyo ndiyo mwanaume kamili🤣
 
Mtoto wakiume unavaaje mkoba? unavaaje pensi iko juu ya magoti? Unavaaje bangili na hereni? kama unataka tukuite Aziza cheupe si useme
Tena wanajiona wanaenda na muda na vijana wasiotoga pua na kutia vipini wanaonekana washamba. Nchi hii ina vijana wa ovyo sana.
 
37 huyo ni baba sio kijana mkuu. Ana watoto nyumbani wana ndevu kabisa huku yeye akifanya vituko mtaani. Nchi hii ina wanaume wa ajabu sana. Kwangu mimi ni afadhali kijana avalie suruali matakoni kuliko kuvaa kipochi na kutoga masikio na tatoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…