Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Anza wewe kuchukua hatua. Sio kwenye keyboard.Mkuu huwezi kumaliza tatizo bila kuondoa chanzo cha tatizo. Hawahawa wanaume wenye tabia za kishoga ndio wa kushughulika nao barabara kabla hawajawaambukiza wengine.
kwanin hutak ivuke magoti?Bukta sijaona tatizo mana hata Mm hua navaa hasa nikiwa kitaa, ila siwezi kuvaa Bukta ambayo imeishia juu ya magoti yangu.
Kwa upande wangu naona sio sawa mwanaume kuvaa nguo inayoonyesha mapaja.kwanin hutak ivuke magoti?
Nachoweza kusema ni kuwa una maisha marefu sana. Nimekuwaza sana usiku huu wa Leo!Ok makutupora uko wap mzee?
Hapo pensi Haina shida jua mwili wako basi, sio una haga kumzidi ashura unatuvalia vinjunga,
Lazima uwe mkali arifu watoto walelewe kwenye maadili
Katavi wavaa sketi hakuna acha kuongopa, labda ulienda Kwa wasukuma , wachunga ng'ombe,lakini asili yakule hakuna watu wahivyo , labda wageniUmewahi fika katavi na usukumani? Wale jamaa wanavaa sketi za kanga au vitenge, banging etc . Na jamaa hawana habari kabisa, na jamii inaona kawaida tu. Fiji wanaume wanavaa sketi.
Hivi huyu Aliyevaa pochi si Diamond kweli jamani?Siku hizi imekuwa desturi kwa baadhi ya wanaume kuvamia fasheni na tabia za kike hadi inaleta wasiwasi. Unamkuta mwanaume kipande cha baba amevaa kipochi cha kike anazurura nacho mtaani hadi unashangaa huyu jamaa vipi? Amerogwa, ni shoga au amezidiwa na homoni za kike?
Hivi hawa wanaume wanaovaa vipochi, tena wanamechisha kabisa, na kutoka navyo mitaani wana nini lakini jamani? Kwanini mtu uvae vitu vya kike? Wengine wanafikia hatua ya kuvaa bangili mikononi mwao. Lakini kuna wanaoenda mbali zaidi hadi kutoga masikio na pua na kuvaa hereni na vipini, mtawalia. Au unamkuta mwanaume kajichafua tatoo mwili mzima utadhani mwali kajipamba kabla ya kuingia kwenye ukumbi wa ndoa. Je, tukisema kwamba hawa wanaume wana homoni za kike au ushoga tutakuwa tumekosea?
View attachment 3264764
Inashangaza na kusikitisha unakutana na mwanaume kajipaka marashi yananuka mtaa mzima. Yaani unapishana naye unakwenda hatua zaidi ya 100 bado unasikia harufu ya marashi? Ukiwabana watu wa aina hii watakuambia eti wamejipaka marashi ya kiume. Ebo!
Kana kwamba haya yote hayatoshi, kuna wimbi kubwa la wanaume wanaotaka kuhalalisha uvaaji wa bukta na boxer na kuingia nazo mitaani. Hivi mwanaume mzima unavaaje bukta unaenda nayo hadi sokoni na kwenye maeneo ya mikusanyiko ya watu na bado unajiona uko sawa? Kama kawaida yao, ukiwauliza kwanini wanafanya hivi watakuambia wanavaa bukta za kiume sio pensi za kike. Kama vipi basi watengenezewe papuchi za kiume wawe wanagawa uroda, isiwe taabu.
View attachment 3264765
Nchi hii ina baadhi ya wanaume wa ovyo na wenye tabia na akili za kike na kishoga kuliko kawaida. Serikali isipoingilia kati na kupiga marufuku huu ushenzi, miaka michache ijayo tutakuwa na taifa la ovyo sana.
Umeuliza kama vile ni pigo zako mkuu😂Hatari, ila hapo kwenye kuvaa pensi na kunukia nayo huwa ni kitu mbaya e😅😅😅
Hamna unachofanya hapo sasa unakemea wewe akiwa uko mtaani anakutana navyo kwenye TV na n.ksecretarybird siku hizi siangalii maisha ya watu, yaani mtu hata atembee uchi ama avue ngozi kabisa atembee huku viungo vya ndani ya mwili viko wazi wala mimi sikemei.
Lakini kwa watoto wangu nitakuwa mkali kama wembe.
Monetary doctor Mbaga Jr mzabzab Poor Brain
Hahahaaa hamna mkuu, labda hiyo kunukia mara moja moja huwa nanukiaga ingawa sidhani kama huwa inafika kwenye kiwango alichosema jamaa hapo juu.Umeuliza kama vile ni pigo zako mkuu😂
Naam nipo njema ndg yangu..... Sijui hapo segerea?Nachoweza kusema ni kuwa una maisha marefu sana. Nimekuwaza sana usiku huu wa Leo!
Nikasema ndugu yangu yupo?
Vaa pensi nyanya....Yaan nisivae pensi kisa nn kwaiyo unaenda Beach na suruali za mashineni
Kuna haja ya jando kurudishwa
😅💯uzungu ni too much tamaduni za kipuuuz
Tena wanajiona wanaenda na muda na vijana wasiotoga pua na kutia vipini wanaonekana washamba. Nchi hii ina vijana wa ovyo sana.Mtoto wakiume unavaaje mkoba? unavaaje pensi iko juu ya magoti? Unavaaje bangili na hereni? kama unataka tukuite Aziza cheupe si useme
37 huyo ni baba sio kijana mkuu. Ana watoto nyumbani wana ndevu kabisa huku yeye akifanya vituko mtaani. Nchi hii ina wanaume wa ajabu sana. Kwangu mimi ni afadhali kijana avalie suruali matakoni kuliko kuvaa kipochi na kutoga masikio na tatoo.Kuna sijui niseme kijana au baba ila hakosi 37 alipeleka kioo chake kwa mafundi wa aluminum basi pale kashuka kwenye gari lake kipensi kiko juu ya mapaja huku kuinama akitoel kila kioo wasaidiane na yule fu do mstari wa makalio unaonekana, Yan kiukweli yule jamaa nilimuona wa ovyo mpk basi, yule fundi alibaki kumuangalia tu yule jamaa, kiufupi kuna wanaume wana ujinga na hapo akiongozana na kidem chake mapaja wazi unawaona wenda wazimu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya yote ni trailler tu, subiri picha lianze...