Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

Kama wewe.
Kwahiyo dada, kumbe kuwakubali watoto wangu wasi tolewe wakingali tumboni na kisha leo kuwalea ni umalaya kumbe...🤣🤣
Umewahi kujiuliza wapo wangapi humu ambao wamewakataa hata kuwalea watoto wao wenyewe..🤔
Ama wangapi humu wamewatelekeza watoto wao huko wakiishi na bibi na babu zao...🤣
Gichando wajomba gi nyithin gi kagin to giliero mende gi ei longe daslam..😂
 
Kwahiyo dada, kumbe kuwakubali watoto wangu wasi tolewe wakingali tumboni na kisha leo kuwalea ni umalaya kumbe...🤣🤣
Umewahi kujiuliza wapo wangapi humu ambao wamewakataa hata kuwalea watoto wao wenyewe..🤔
Ama wangapi humu wamewatelekeza watoto wao huko wakiishi na bibi na babu zao...🤣
Gichando wajomba gi nyithin gi kagin to giliero mende gi ei longe daslam..😂
Ute uchalru🤣🤣
 
Its better to tell some one truth and make him or her cry than a lie and make him smile
Wanaume wan
Kulea mtoto au watoto peke yako ni kazi sana ndugu zangu ,hasa kwa wanawake wanaoishi dar es salaam ,Maisha ni magumu Sana mfano hawa wamama ambao wanafanya biashara ndogo ndogo tena kwa kukimbizwa mijini ,Then imagine per day mtoto wa shule anatakiwa apewe hata 1000 anao watoto wawili na anawalea peke yake ,Kodi ,wale na wavae,na ahudumie matumizi yote ya shule na asiwe na mabwana kweli ? Vaa hivyo viatu.
Si mama tu kuna wanaume wameachiwa watoto na wake zao baada ya kufariki watuambie changamoto zake

Mtu kama ujaamua kuzaa vaa kondom na kama utaki basi akojoe nje ongezeko la single. Mother source ni sisi wanaume
 
Habari!? Kumekuwepo na ongezeko la wadada wengi ambao hawako kwenye ndoa ila tayari wana watoto, wengine wanaishi nao na wengine wamewapeleka vijijini kwa wazazi, unakuta anayehusika kwa malezi ya mtoto ni Dada peke yake (single mom) unakuta mdada hana kipato Cha maana Matokeo yake anaamua kujikita kwenye biashara mbalimbali haramu Kama ukahaba ili aweze kukidhi mahitaji ya mtoto.

"Wanaume wenzangu hii tabia sio nzuri tumewafanya wanawake waishi mazingira Magumu na unajua mtu Mpaka anaamua kukuzalia amekuheshimu na kukupenda Sana kwa hyo suala la kumtelekeza si Jambo jema hata Kama alikukosea lakini mtoto anakua hana hatia unatakiwa umpe huduma zote. Ukikutana na wanawake waliotelekezwa hawatamaniki, kucha kwa waganga, kwenye maombi nk lengo kutafuta unafuu wa Maisha then anatokea mwanaume anasema "Tusioe single mother" wakati sisi ndio Main cause!

Na badae tuseme wadogo zetu hawaolewi na bra bra! Malipo duniani ndugu zangu! Naumiaga sana nikiona Mama anahangaika na mtoto kwenye hali ya uduni wakati muhusika wa mtoto yupo. Tubadilike.
chanzo kikubwa utakuta ni wanawake. kwanza single mothers au hata wale wa kwenye ndoa kuendekeza migogoro, pili wamama wa kambo kuzuia waume zao wasinze watoto waliozaa nje. audi wa mwanamke ni mwanamke mwenzie. hata hivyo, sheria ipo kali sana, ukiamua kumburuta mwanaume huyo makahakani anashitakika vizuri tu.
 
Habari!? Kumekuwepo na ongezeko la wadada wengi ambao hawako kwenye ndoa ila tayari wana watoto, wengine wanaishi nao na wengine wamewapeleka vijijini kwa wazazi, unakuta anayehusika kwa malezi ya mtoto ni Dada peke yake (single mom) unakuta mdada hana kipato Cha maana Matokeo yake anaamua kujikita kwenye biashara mbalimbali haramu Kama ukahaba ili aweze kukidhi mahitaji ya mtoto.

"Wanaume wenzangu hii tabia sio nzuri tumewafanya wanawake waishi mazingira Magumu na unajua mtu Mpaka anaamua kukuzalia amekuheshimu na kukupenda Sana kwa hyo suala la kumtelekeza si Jambo jema hata Kama alikukosea lakini mtoto anakua hana hatia unatakiwa umpe huduma zote. Ukikutana na wanawake waliotelekezwa hawatamaniki, kucha kwa waganga, kwenye maombi nk lengo kutafuta unafuu wa Maisha then anatokea mwanaume anasema "Tusioe single mother" wakati sisi ndio Main cause!

Na badae tuseme wadogo zetu hawaolewi na bra bra! Malipo duniani ndugu zangu! Naumiaga sana nikiona Mama anahangaika na mtoto kwenye hali ya uduni wakati muhusika wa mtoto yupo. Tubadilike.
Kwa kweli inatia huruma sana! Mimi nashangaa mwanamme unazalisha harafu unatelekeza hata mtoto,damu yako?
 
Sheria pia zipo wadada wengi hawajui kama kuna utaratibu wa kwenda kudai stahiki zao ustawi wa jamii na vyombo vya sheria za kulinda haki za watoto. tuhamasishane. Hii tabia ya kutelekeza watoto ikomeshwe..
 
Naona wengi wanawashutumu wanaume utadhani wakati uzinifu au wanajamiiana alikuwa muhusika mmoja au alipewa mayai atumbukize huku akipewa ubini wa baba mwenye mayai.

Naomba tuache hiyo tabia why, sababu wengi wanazalishana pasipo malengo au kujiandaa pia mahusiano mabaya kati ya wanaopeana ujauzito na kingine ushirikishwaji wa wazazi wa pande zote ni zero.

Nini kifanyike?
Wakati wazee wa miaka ya nyuma waliweza kutulea hadi kufika hapa, bado hata sisi tunaweza kutumia mbinu zao walizoishi na kutulea kufanikisha malezi ya watoto.

By now wanawake, mabinti wana ubabe sana, issue ya haki sawa wameshindwa kuielewa matokeo yake inawanyanyua masikio na kujiona wananweza kila kitu so vijana wanasepa na kung'oa nanga.

Angalia sasa hawa vijana wa kiume, anamtongoza binti na hata wakikutana kwenye giza la kujificha hajui kumlinda au kujilinda na mimba zisizotarajiwa.

Si hapo tu, huyu boy anashindwa kujua jukumu la kuwa baba anaamua kutoroka na kumuacha binti alone na ndiyo haya mnayoyaona huko mitaani.

Wale wababa kama mimi mzee wenu ukiona situnzi familia usinilaumu, unapaswa kujiuliza why this?.
Unaweza ukapata muda uniulize why this uncle, Bro or Camaraderie happen? NITAKWAMBIA TU!.
 
Kulea mtoto sio pesa tu ndugu yangu,mimi nazungumzia ushiriki wa wazaz katika malezi ya watoto
Pesa ni ziada sana katika Malezi , hata ukilea baba bado mama atahitajika katika malezi mema ya mtoto,ni ustawi mzuri wa mtoto anapomuona baba na mama katika malezi yake hata kama ikiwa sio siku zote ila anajua wazazi wangu wapo

Wanawake wenzako asilimia 99% wanajua Kulea mtoto ni Pesa Kutoka Kwa mwanaume.
Hayo maelezo yako ni mazuri Ila unatakiwa uwaambie Wanawake wenzako
 
Mind set za wanaume wa Kiafrika hufikiri Mimba ni kosa la Mwanamke na sio mimba tu hata kuzaa watoto wa kike hudhaniwa kua ni makosa ya mwanamke ,baki hapo hapo Bro

Hata Ulaya iko Hivyo hivyo. Mwanaume kama Hana Mpango na wewe unambebea mimba ya nini?
Ndio maana Huko Ulaya kuna option ya abortion.
Kama mimba imeingia bila kukusudia Kwa nini msiitoe?
 
Sheria pia zipo wadada wengi hawajui kama kuna utaratibu wa kwenda kudai stahiki zao ustawi wa jamii na vyombo vya sheria za kulinda haki za watoto. tuhamasishane. Hii tabia ya kutelekeza watoto ikomeshwe..
Siku wakizijua, waambie wampeleke huyo baba halisi wa mtoto sasa[emoji23][emoji23][emoji23] sio mababa. Watu wenyewe hawamjui nani kawabebesha mimba ndio ajiloge kwenda huko ustawi, wakiambiwa DNA wanazikataa. Let them take accountability of their actions!
 
Back
Top Bottom