Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

Fullfill your responsibility

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
What responsibility, unaposema responsibility lazima uwe wazi. Anamhudumia nani, mke, hawara nani?

Kwann unajijengea mfumo wa maisha nje ya ule ambao jamii imeshaujenga then unataka upate benifits sawa na za wale wanaoishi ndani ya mfumo rasmi?

Ulishaambia mtoto wa kike hatakiwi kutolewa bikra na mwanaume ambaye hatakuja kumuoa, ukakaidi.

Ukaambiwa usiwe na mahusiano nje ya ndoa, ukakaidi.

Ukaambiwa usijezaa nje ya ndoa, ukakaidi.

Sasa umeshaza na umeshavunja miiko yote hiii inatujia hapa na Nyoko nyoko nyoko nyoko nyoko nyoko nyoko responsibility nyoko nyoko nyoko fulfill responsibility.

Ungeyataka haya ya kufulfil responsibility ungeheshimu masharti ya jamii yaliyokutaka ujiheshimishe na kuwa ndani ya ndoa kama wenzako.

Wenzako wameolewa na wakitaka matunzo wanapata vizuri tu na hawapati shida za kulalamika utadhani wendawazimu. Beba msalaba wako kwa kutokuwa serious na Maisha yako tokea ukiwa binti mbichi.

Mtajifunza , kizazi hiki cha wanaume wa sasa hawana muda wa kutetea upumbavu kila mtu abebe mizigo yake kulingana na ujinga ujinga wake.
 
Sema inaonyesha unavyomgonga yy anawazaga dp world tu na Q'uran [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sipati picha unavyomkojoleaga [emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Tena nasikia alidomea electrical engineering itakuwa ana integrate X kwenye sex huko aseee noma sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mbona mnautani na bibi maushungi. FaizaFoxy njoo uone unavyochafuliwa na hawa waja.
 
Kulea mtoto sio pesa tu ndugu yangu,mimi nazungumzia ushiriki wa wazaz katika malezi ya watoto
Pesa ni ziada sana katika Malezi , hata ukilea baba bado mama atahitajika katika malezi mema ya mtoto,ni ustawi mzuri wa mtoto anapomuona baba na mama katika malezi yake hata kama ikiwa sio siku zote ila anajua wazazi wangu wapo
Kama mlianza na mahusiano Mwitu mnaanzaje kuwa na malezi bora kwa mtoto, unajua wewe acha vichekezo hivi?
 
Mabinti wa Zanzibar wapo tofauti atamuacha sharobaro ambaye haeleweki na kwenda kuolewa mke wa tatu kwa mbaba na anatulia tuli kwenye ndoa ila bongo ni kinyume chake. Hovyo kabisa mabinti wa kibongo
Ni swala la kukosa maadili tu. Wakikaa na mama zao huko vyumbani kazi kupeana kanuni za kudangia wanaume, yakiwakuta wanaanza piga makelele kuwa jamii imewatenda.
 
Wanaangaika Sana Mpaka najisikia vibaya wamekua wadangaji ,wanauzaa miili sababu unakuta ana watoto wawili Sasa imagine kwa Maisha ya Dar es salaam umetelekezewa watoto wawili? Unalipa Kodi, wale na uhakikishe wanapata mahitaji ya shule na nyumbani wanakutegemea utaweza!!? Si utaingia majaribuni tu
Habari!? Kumekuwepo na ongezeko la wadada wengi ambao hawako kwenye ndoa ila tayari wana watoto, wengine wanaishi nao na wengine wamewapeleka vijijini kwa wazazi, unakuta anayehusika kwa malezi ya mtoto ni Dada peke yake (single mom) unakuta mdada hana kipato Cha maana Matokeo yake anaamua kujikita kwenye biashara mbalimbali haramu Kama ukahaba ili aweze kukidhi mahitaji ya mtoto.

"Wanaume wenzangu hii tabia sio nzuri tumewafanya wanawake waishi mazingira Magumu na unajua mtu Mpaka anaamua kukuzalia amekuheshimu na kukupenda Sana kwa hyo suala la kumtelekeza si Jambo jema hata Kama alikukosea lakini mtoto anakua hana hatia unatakiwa umpe huduma zote. Ukikutana na wanawake waliotelekezwa hawatamaniki, kucha kwa waganga, kwenye maombi nk lengo kutafuta unafuu wa Maisha then anatokea mwanaume anasema "Tusioe single mother" wakati sisi ndio Main cause!

Na badae tuseme wadogo zetu hawaolewi na bra bra! Malipo duniani ndugu zangu! Naumiaga sana nikiona Mama anahangaika na mtoto kwenye hali ya uduni wakati muhusika wa mtoto yupo. Tubadilike.
Hayo mateso wengine ni ya kujitakia!!

Unakuta Binti anachanganya wanaume watatu hadi mmoja anaamua kuwaachia wengine!!

Mimba ikiingia anasema ya FULANI Kati ya watatu!!

SASA jamaa anakua mzito kukubali ujauzito coz ni ngumu kupona mimba ni ya nani!!

Jamaa akigoma na mtoto hatolea kabisa!!
 
Hapa hatuzungumzii mimba ya kutaka au kuto kutaka ,ili mradi tu umeshakua mzazi unatakiwa kuchukua majukumu yako
Hivi nchi kama za Ulaya kwani hayapo hayo unayoyasema?mbona wenzetu wanabanwa na sheria kali za malezi na mimba huwa haionekani kama ni makosa ya mwanamke pekee? Ni sisi tu Afrika mwanamke akipata mimba huonekana kua ndio mwenye kosa na sio wanaume
Unalinganisha nchi za Ulaya na nchi za Afrika kweli?! huku kwenye wanawake wababaishaji wenye wababa zaidi ya mmoja kwenye mimba moja na wote wanahudumia bila wao kujuana , wenzetu wa Ulaya wametuzidi kwenye majibu ya vipimo vya DNA huku kwetu hawachelewi kupika matokeo ukalea mtoto siyo damu yako na hiyo yote inatokana na wanawake wadangaji wasiyo waaminifu ndiyo maana huku Afrika single mama ni wengi .
 
Hah
Hawa ni kuwala na kudump tu mpaka wawe mabibi
Ahahaha we jamaa Kuna nyuma nyuma ya pazia si bure,naheal maumivu kidg so muda ntakua monster hahahah...nmekubali yaishe na mtoto nmemwachia wanawake muda mwingine Ni wapuuzi balaa Kama hujakutana nao kweny bilinge lazma utawatetea but Mimi hapana...kabla nliamini hutakiwi kumpiga mwanamke Ila Kuna wanawake wanakasheshe so kitoto.
Ntaoa Ila itanichukua muda mrefu Sana maanina
 
Hapa ndipo utaona unafiki wa hawa viumbe kuwa ndani ya malalamiko yao wamebeba ujumbe mwingine kwa siri. Wanawake wanajua by nature mahitaji yao yapo ndani ya ndoa. Na ndio maana wakishagundua wamezaa nje ya ndoa wanaanza kung'ang'ania watoto huku wakilazimisha kupewa matunzo ya mtoto kumbe wanachokitaka ni mwanaume atoe matunzo kuanzia ya mtoto na ya kwake binafsi.

Asikwambie mtu, hakuna mwanamke asiyependa kupewa matunzo na kujaliwa na mwanaume, tamaa hizi ndizo huwa zinawaponza na kuwaacha vibaya.

Mwanamke hata awe na kazi au kipato ili furaha yake ya kuishi na kuwa mwanamke ni lazima kuwepo mtu wa kumlinda na gharama za kimaisha. Wanaume halisi tumeumbwa kitofauti, huwezi furaia kutumia au kuspend ambacho haujatafuta au kukitengeneza, ndio maana hata wale wanaume wanaokubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mali zake then yeye anakuja huwa wanakosa ile male authority ndani ya nyumba, anapokuwa anapiga mkwara anajua hawezi pewa uzito.

Ila wewe mwanaume uwe ndie mlipa bili jicho lako tu likimtazama mwanamke anapokosea utaona anajistukia na kujirekebisha haraka hautatumia sauti maana ina mamlaka makali sana ndani yake.
Great
 
Tukisema hapa watu mnasema tumekulia kwenye single mother ila ukweli ni kwamba si busara kumzalisha mtu kisha ukasepa kisingizio ujajipanga mbona ulijipanga kumwagia ndani?
 
Unalinganisha nchi za Ulaya na nchi za Afrika kweli?! huku kwenye wanawake wababaishaji wenye wababa zaidi ya mmoja kwenye mimba moja na wote wanahudumia bila wao kujuana , wenzetu wa Ulaya wametuzidi kwenye majibu ya vipimo vya DNA huku kwetu hawachelewi kupika matokeo ukalea mtoto siyo damu yako na hiyo yote inatokana na wanawake wadangaji wasiyo waaminifu ndiyo maana huku Afrika single mama ni wengi .
Una uhakika kwamba single mothers wote waliotelekezwa na watoto ni waovu ?
Hivi unajua kua kuna wanawake wanaishi kwenye ndoa lakini ni single mothers by needs
 
Mwanaume hadi anafikia hatua ya kutelekeza watoto ujue ipo sababu, tunapenda sana kuishi na watoto zetu ila mama zao ndio sababu
 
Kulea mtoto au watoto peke yako ni kazi sana ndugu zangu ,hasa kwa wanawake wanaoishi dar es salaam ,Maisha ni magumu Sana mfano hawa wamama ambao wanafanya biashara ndogo ndogo tena kwa kukimbizwa mijini ,Then imagine per day mtoto wa shule anatakiwa apewe hata 1000 anao watoto wawili na anawalea peke yake ,Kodi ,wale na wavae,na ahudumie matumizi yote ya shule na asiwe na mabwana kweli ? Vaa hivyo viatu.
 
Kulea mtoto au watoto peke yako ni kazi sana ndugu zangu ,hasa kwa wanawake wanaoishi dar es salaam ,Maisha ni magumu Sana mfano hawa wamama ambao wanafanya biashara ndogo ndogo tena kwa kukimbizwa mijini ,Then imagine per day mtoto wa shule anatakiwa apewe hata 1000 anao watoto wawili na anawalea peke yake ,Kodi ,wale na wavae,na ahudumie matumizi yote ya shule na asiwe na mabwana kweli ? Vaa hivyo viatu.
Wewe utakuwa ni single mother.pole,pambana
 
Hii ndio mimi niliifanya kwa watoto wangu wote 5 wa mama tofauti. Niligoma kutoa matumizi, lakini nilikubali kuwalea na mwisho wa siku wanangu wote 5 niliwachukua na kuwalea mwenyewe, kabla sijaoa na tukapata watoto wengine 3😊😊
Kaka kumbe umalaya umeanza kitambo🙆🙆🙆🙆
 
Shida kubwa dada zetu mnajirahisisha sana sasa wewe mwanamke unabeba mimba ya mwanaume ambaye ata kwenu hajaja kujitambulisha hii inakaa vipi wengine mpo kimaslai zaidi hapa mjini unamkuta binti kazaa na mume wa mtu ili tu na yeye awepo kwenye mgawanyo wa mali ambazo hajui zilipatikana vipi
 
Kaka kumbe umalaya umeanza kitambo🙆🙆🙆🙆
Dada.....
Kwani malaya ni mtu wa aina gani....🙄🙄
Maana humu wapo watu wengi wanao zibadili kama nguo, na wanajua wana watoto lakini wamewatelekeza...😊
 
Back
Top Bottom