LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,642
Hapa hatuzungumzii mimba ya kutaka au kuto kutaka ,ili mradi tu umeshakua mzazi unatakiwa kuchukua majukumu yakoPunguza Upumbavu dada % ndogo sana ya singo maza wamebakwa wengi wao wamezalishwa kwa kujitakia wenyewe,
Wao si wanaendekeza mapenzi tena wanavyopenda kukojolewa ndani sasa, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aseee,
Hivi nchi kama za Ulaya kwani hayapo hayo unayoyasema?mbona wenzetu wanabanwa na sheria kali za malezi na mimba huwa haionekani kama ni makosa ya mwanamke pekee? Ni sisi tu Afrika mwanamke akipata mimba huonekana kua ndio mwenye kosa na sio wanaume