Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

Siku ukiutambua ukweli kamwe hutakaa uropoke. Hakuna mwanaume aliye na akili atataka kutelekeza mtoto, lakini inafikia mwanaume anasema hakuna namna.
Binafsi nina experience na hii kitu na sitakaa nilaumu mwanaume mwenzangu kisa katelekeza mtoto na hapa siwezi tetea ujinga... Tatizo linaanzia pale ustawi wa jamii na sheria zetu za 60's zisizoendana na wakati. Maboresho ya sheria yakifanyika mara kwa mara kamwe hutakaa uone mtoto wa mtaani.
 
Umesemaa kweli thus Mimi nikimuona mwanamke yeyeto anahangaika juani Huwa siombi hata chenji najua inakwenda kuokoa familia yake nyumbani kwake
 
Siku ukiutambua ukweli kamwe hutakaa uropoke. Hakuna mwanaume aliye na akili atataka kutelekeza mtoto, lakini inafikia mwanaume anasema hakuna namna.
Binafsi nina experience na hii kitu na sitakaa nilaumu mwanaume mwenzangu kisa katelekeza mtoto na hapa siwezi tetea ujinga... Tatizo linaanzia pale ustawi wa jamii na sheria zetu za 60's zisizoendana na wakati. Maboresho ya sheria yakifanyika mara kwa mara kamwe hutakaa uone mtoto wa mtaani.
Umenena vyema, 👌👌
 
Mtego wa mimba upo mkuu, hasa ukiwa wewe ndo mwanaume wa ndoto zake, alafu uyo mwanamke awe si mwanamke wa ndoto zako, anakuwahi kwa kukutegea mimba, akiamini kuwa atakufunga kwa kutumia mtoto, sasa kumbe wanajidanganya maskini, mwanaume afungwi kwa kutumia mtoto, Hii ni moja ya sababu kubwa katika nyingi inayopelekea wanawake wengi kulea watoto peke yao.
Unategewaje mimba ikiwa wewe mwanaume utavaa condom yako safi ,only in Africa ambapo huonekana kupatikana kwa mtoto hata kwa jinsi msiyo ihitaji huwa ni makosa ya mwanamke
 
Siku ukiutambua ukweli kamwe hutakaa uropoke. Hakuna mwanaume aliye na akili atataka kutelekeza mtoto, lakini inafikia mwanaume anasema hakuna namna.
Binafsi nina experience na hii kitu na sitakaa nilaumu mwanaume mwenzangu kisa katelekeza mtoto na hapa siwezi tetea ujinga... Tatizo linaanzia pale ustawi wa jamii na sheria zetu za 60's zisizoendana na wakati. Maboresho ya sheria yakifanyika mara kwa mara kamwe hutakaa uone mtoto wa mtaani.
Sheria za wazazi walioshindwana zitazamwe upya kwa maslahi ya mtoto.
 
Zipo, tena mwanamke akiamua lake, atakulaghai ata iyo condom usivae.
Kwamba mwanamke utakapovaa Condom atakukaba uivue ili yeye apate mimba ,
Hii ipo Afrika tu,kwamba kupatikana kwa mimba huwa ni makosa ya mwanamke,mwanaume hana cha kuwajibika kwenye hilo na ndio maana hatuna sheria kali za kuwabana wanao kimbia majukumu kwa sababu inaonekana sio makosa yenu kutokana na mfumo dume uliopo
 
Hii ndio mimi niliifanya kwa watoto wangu wote 5 wa mama tofauti. Niligoma kutoa matumizi, lakini nilikubali kuwalea na mwisho wa siku wanangu wote 5 niliwachukua na kuwalea mwenyewe, kabla sijaoa na tukapata watoto wengine 3😊😊
Mkuu uko really saana,😁
 
Umesemaa kweli thus Mimi nikimuona mwanamke yeyeto anahangaika juani Huwa siombi hata chenji najua inakwenda kuokoa familia yake nyumbani kwake
Nakutana nao kibao Sana ! Unakuta mdada kabeba mtoto mgongoni anauza maji ya kandoro na mihogo kichwani dah naumiaga sana
 
Habari!? Kumekuwepo na ongezeko la wadada wengi ambao hawako kwenye ndoa ila tayari wana watoto, wengine wanaishi nao na wengine wamewapeleka vijijini kwa wazazi, unakuta anayehusika kwa malezi ya mtoto ni Dada peke yake (single mom) unakuta mdada hana kipato Cha maana Matokeo yake anaamua kujikita kwenye biashara mbalimbali haramu Kama ukahaba ili aweze kukidhi mahitaji ya mtoto.

"Wanaume wenzangu hii tabia sio nzuri tumewafanya wanawake waishi mazingira Magumu na unajua mtu Mpaka anaamua kukuzalia amekuheshimu na kukupenda Sana kwa hyo suala la kumtelekeza si Jambo jema hata Kama alikukosea lakini mtoto anakua hana hatia unatakiwa umpe huduma zote. Ukikutana na wanawake waliotelekezwa hawatamaniki, kucha kwa waganga, kwenye maombi nk lengo kutafuta unafuu wa Maisha then anatokea mwanaume anasema "Tusioe single mother" wakati sisi ndio Main cause!

Na badae tuseme wadogo zetu hawaolewi na bra bra! Malipo duniani ndugu zangu! Naumiaga sana nikiona Mama anahangaika na mtoto kwenye hali ya uduni wakati muhusika wa mtoto yupo. Tubadilike.
Nyege zinawaponza na kupenda maisha ya Bongo movie
 
Hii ndio mimi niliifanya kwa watoto wangu wote 5 wa mama tofauti. Niligoma kutoa matumizi, lakini nilikubali kuwalea na mwisho wa siku wanangu wote 5 niliwachukua na kuwalea mwenyewe, kabla sijaoa na tukapata watoto wengine 3😊😊
Ulianza mechi tayari una 5 bila
 
Hii kitu hua napingana nayo siku zote (usimpe mwanamke pesa akutunzie mwanao). Maana mwanao akilelewa na mtu mwingine, siku akikua mkubwa atakuja kwako akiwa mtu mwingine, mwenye fikra tofauti na zakwako pia atakuja na tabia za watu wengine kabisa tofauti na ulivyo tamani wewe awe.

Unapo toa pesa kwa mama wa mtoto amtunze, unauhakika gani kama zinatumika kama ulivyo taka?? Na jeunapo toa pesa kwa mama wa mtoto wako amtunze mwanau, unauhakika na maneno anayo ambiwa ni mema juu yako kama baba anae wajibika??
Unakuwaje Baba unayewajibika wakati mtoto hukai naye?
 
Inaonekana Afrika ni kama vile ndipo mahali palipo zaliwa zinaa ,dhulma na ujinga
Na kwa kua viongozi wetu pia ni wahanga wa hayo yote basi tumejikuta hatuwezi hata kutunga sheria kali za kuwawajibisha wazazi wanaokimbia wajibu wao kwa sababu dhaifu dhaifu sana ,
Hili tatizo la kutelekeza malezi lipo zaidi Afrika kuliko mahali popote Duniani ,je wanawake wa Afrika ndio kusema kwamba ni wakosefu ,sio wasikivu na wakorofi wasio faa kuliko wanawake wengine wowote Duniani !?
 
Baba hapaswi mutoa matumizi aiseee....Baba anae mpenda mtoto wake anapaswa amlee mwanae. Kama ni matumizi tunatoaga wajomba, mashangazi, babu na bibi
Naunga mkono hoja. Utamkuta braza men anajidai anapenda watoto wakati anao watatu amewatelekeza kijijini kwa Bibi na Babu anajidai kutuma hizo mia mia zake
 
Inaonekana Afrika ni kama vile ndipo mahali palipo zaliwa zinaa ,dhulma na ujinga
Na kwa kua viongozi wetu pia ni wahanga wa hayo yote basi tumejikuta hatuwezi hata kutunga sheria kali za kuwawajibisha wazazi wanaokimbia wajibu wao kwa sababu dhaifu dhaifu sana ,
Hili tatizo la kutelekeza malezi lipo zaidi Afrika kuliko mahali popote Duniani ,je wanawake wa Afrika ndio kusema kwamba ni wakosefu ,sio wasikivu na wakorofi wasio faa kuliko wanawake wengine wowote Duniani !?
Ni Tatizo la kimaadili ingawa wafrika wenyewe wanaamini wana maadili mema kuliko watu woote duniani
 
Kwamba mwanamke utakapovaa Condom atakukaba uivue ili yeye apate mimba ,
Hii ipo Afrika tu,kwamba kupatikana kwa mimba huwa ni makosa ya mwanamke,mwanaume hana cha kuwajibika kwenye hilo na ndio maana hatuna sheria kali za kuwabana wanao kimbia majukumu kwa sababu inaonekana sio makosa yenu kutokana na mfumo dume uliopo
Punguza Upumbavu dada % ndogo sana ya singo maza wamebakwa wengi wao wamezalishwa kwa kujitakia wenyewe,


Wao si wanaendekeza mapenzi tena wanavyopenda kukojolewa ndani sasa, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aseee,
 
Una fikra finyu sana ,hakuna ulichonijibu zaidi ya kujitukuza
Sawa endeleeni kuongezeka tu, sasa sisi tufanyaje mmeamua wenyewe kukojolewa na madunga embe hayo ndo matokeo yake

Ama kama vipi na nyie tafuteni hela zenu muache kulia lia humu kama mitoto ya shule
 
Kwamba mwanamke utakapovaa Condom atakukaba uivue ili yeye apate mimba ,
Hii ipo Afrika tu,kwamba kupatikana kwa mimba huwa ni makosa ya mwanamke,mwanaume hana cha kuwajibika kwenye hilo na ndio maana hatuna sheria kali za kuwabana wanao kimbia majukumu kwa sababu inaonekana sio makosa yenu kutokana na mfumo dume uliopo
ndio atakwambia uvue na utavua tu, unaongelea mfumo dume tena! kama ulinielewa , hapo akuna suala la mfumo dume, ni harakati za mapenzi tu.
 
Back
Top Bottom