Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema inaonyesha unavyomgonga yy anawazaga dp world tu na Q'uran ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃHuyu ndie waubani wangu..๐ na niyeye ndie anautakatisha moyo wangu...๐
Punguzeni wivu basi...๐คจ
Mabinti wanachezea hisia za wanaume, wanaume wanacheza na miili yao. Mwanaume anaondoka na maumivu ya hisia mwanamke anaondoka na matatizo ya kimaisha.Tuache kuchezea mabinti Kama hatuna malengo nao!
Kulea mtoto sio pesa tu ndugu yangu,mimi nazungumzia ushiriki wa wazaz katika malezi ya watotoNdio ili achukue majukumu yake, Mpe mtoto Alee mwenyewe kama Mama unaona huwezi kumtunza mtoto.
Mbona Sisi wanaume tukiwalea Watoto pekeetu hatupigi kelele wala kuwasumbua matumizi.
Unataka Baba awajibike, Mpe mtoto wake Alee. Sio ung'ang'anie mtoto Wakati uwezo wa kumtunza huna. Huo ni uchizi.
Mind set za wanaume wa Kiafrika hufikiri Mimba ni kosa la Mwanamke na sio mimba tu hata kuzaa watoto wa kike hudhaniwa kua ni makosa ya mwanamke ,baki hapo hapo BroKwa Akili yako, unafikiri Kwa nini Mwanamke anakalenda Wakati mwanaume Hana? Kwa uelewa wako.
Yaani mwanaume awaze mimba ilhali mimba haikai kwake. Hivi hizi Akili mnazitolea wapi?
Hujiulizi ni kwanini kwenye zile Aina za uzuiaji mimba nyingi zimewekwa Kwa Wanawake kuliko wanaume. Hujiulizi tuu Kwa sababu ya ujinga.
Weka kitanzi, tumia vidonge, tumia Kalenda, tumia kijiti n.k
Yaani unataka mwanaume afikiri mambo ya Mimba unafikiri wanaume ni Wanawake?
Mmmmmmhmn condom, si bora kunyetuka.Vaa kondom, hakuna mimba inayo tegeshwa
Nimeyaona haya maneno yako kwa vitendo na ushahidi mzito kabisa ndugu. Nakielewa sana.Mtego wa mimba upo mkuu, hasa ukiwa wewe ndo mwanaume wa ndoto zake, alafu uyo mwanamke awe si mwanamke wa ndoto zako, anakuwahi kwa kukutegea mimba, akiamini kuwa atakufunga kwa kutumia mtoto, sasa kumbe wanajidanganya maskini, mwanaume afungwi kwa kutumia mtoto, Hii ni moja ya sababu kubwa katika nyingi inayopelekea wanawake wengi kulea watoto peke yao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na huwa wanajiona wapo sahihi kwa 100% hadi pale muda unapowaacha na kuanza kuzeeka ndipo wanajua kosa halafu anamrejea tena mwanaume yule yule ambaye alimletea ujuaji na akimkuta ana maisha na mwanamke mwingine anaanza kuleta fujo akitaka kurudi kwenye maisha ya huyo mwanaume, ujinga ni mzigo kwa wanawake wa kisasa ambao wanaubeba kwa hiyari kabisa.Mabinti wa kibongo hovyo sana yupo tayari kumuacha mwanaume aliyemzalisha eti kisa amecheat na mwanamke mwingine ili akadange na wanaume wengi ili alee mtoto. Huu ni ujinga wao acha wavune wanachopanda.
Kwa mwanamke yoyote ambaye anajitambua hawezi kutelekezewa mtoto au watoto except for a unique, rare and exceptional cases only.Habari!? Kumekuwepo na ongezeko la wadada wengi ambao hawako kwenye ndoa ila tayari wana watoto, wengine wanaishi nao na wengine wamewapeleka vijijini kwa wazazi, unakuta anayehusika kwa malezi ya mtoto ni Dada peke yake (single mom) unakuta mdada hana kipato Cha maana Matokeo yake anaamua kujikita kwenye biashara mbalimbali haramu Kama ukahaba ili aweze kukidhi mahitaji ya mtoto.
"Wanaume wenzangu hii tabia sio nzuri tumewafanya wanawake waishi mazingira Magumu na unajua mtu Mpaka anaamua kukuzalia amekuheshimu na kukupenda Sana kwa hyo suala la kumtelekeza si Jambo jema hata Kama alikukosea lakini mtoto anakua hana hatia unatakiwa umpe huduma zote. Ukikutana na wanawake waliotelekezwa hawatamaniki, kucha kwa waganga, kwenye maombi nk lengo kutafuta unafuu wa Maisha then anatokea mwanaume anasema "Tusioe single mother" wakati sisi ndio Main cause!
Na badae tuseme wadogo zetu hawaolewi na bra bra! Malipo duniani ndugu zangu! Naumiaga sana nikiona Mama anahangaika na mtoto kwenye hali ya uduni wakati muhusika wa mtoto yupo. Tubadilike.
Wanaume wengi wanalala na wanawake wakijua kuwa wanamahusiano na wanaume wengine. Na wana assume kuwa huyu mtu hawezi pay attention kwenye mahusiano ni kula bata na kupotezeana. Sasa binti anapoamua kwa akili zake kushika mimba ya mojawapo ya hawa wanaume ndipo vita vya 3 hutokea.Na wao waache kutegesha na kugawa gawa hovyo. Waulize wanaume zao, upo tayari kuwa na mtoto? Sio unatanua tu miguu halafu baadae unasema usimwage ndani nipo kwenye hatari.
WANAWAKE WAACHE UMALAYA NAO.
Halafu Wapo ambao mimba inampa kazi kuitambua kuwa ni ya nani. In one week katembea na watu watatu
NB: HII SI SABABU YA KUTELEKEZA MTOTO WAKO.
Unasema afrika, fuatilia kule Marekani habari ni hii hii. Ukitazama hili swala lina uhusiano na race ya watu weusi. Kwa wazungu, wachina, wahindi na waarabu hii issue sio kubwa sana na wanajua kuishi kwa kanuni.Inaonekana Afrika ni kama vile ndipo mahali palipo zaliwa zinaa ,dhulma na ujinga
Na kwa kua viongozi wetu pia ni wahanga wa hayo yote basi tumejikuta hatuwezi hata kutunga sheria kali za kuwawajibisha wazazi wanaokimbia wajibu wao kwa sababu dhaifu dhaifu sana ,
Hili tatizo la kutelekeza malezi lipo zaidi Afrika kuliko mahali popote Duniani ,je wanawake wa Afrika ndio kusema kwamba ni wakosefu ,sio wasikivu na wakorofi wasio faa kuliko wanawake wengine wowote Duniani !?
Wewe hebu kuwa serious basi. Unasemaje "Hapa hatuzungumzii mimba ya kutaka au kutokutaka"? Aliyekwambia kupata ujauzito ni jambo la kukurupuka ni nani?!Hapa hatuzungumzii mimba ya kutaka au kuto kutaka ,ili mradi tu umeshakua mzazi unatakiwa kuchukua majukumu yako
Hivi nchi kama za Ulaya kwani hayapo hayo unayoyasema?mbona wenzetu wanabanwa na sheria kali za malezi na mimba huwa haionekani kama ni makosa ya mwanamke pekee? Ni sisi tu Afrika mwanamke akipata mimba huonekana kua ndio mwenye kosa na sio wanaume
Mfumo dume ungekuwa unauwelewa usingeandika haya maneno hapa. Mfumo dume unahusiana vipi na uzembe? Hivi kwa akili zako na utashi unaamini kabisa kuna kitu kinaitwa mfumo dume na kuna taasisi zinausimamia na watendaji wake kuhakikisha zinawafunza wanaume namna za kuwaumiza wanawake na kuwadhuru like really?Yes ,mfumo dume
Mfumo uliopo haumuwajibishi mwanaume katika malezi ,malezi yanaonekana kua ni masuala ya wanawake na ndio maana sio ajabu hata wanawake wenye ndoa huwajibishwa kufanya majukumu ya malezi ya kuhakikisha watoto wanapata mahitaji ingawaje baba zao wapo humo humo na hawawajibiki.
Mabinti wa Zanzibar wapo tofauti atamuacha sharobaro ambaye haeleweki na kwenda kuolewa mke wa tatu kwa mbaba na anatulia tuli kwenye ndoa ila bongo ni kinyume chake. Hovyo kabisa mabinti wa kibongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na huwa wanajiona wapo sahihi kwa 100% hadi pale muda unapowaacha na kuanza kuzeeka ndipo wanajua kosa halafu anamrejea tena mwanaume yule yule ambaye alimletea ujuaji na akimkuta ana maisha na mwanamke mwingine anaanza kuleta fujo akitaka kurudi kwenye maisha ya huyo mwanaume, ujinga ni mzigo kwa wanawake wa kisasa ambao wanaubeba kwa hiyari kabisa.
Unataka mfumo umuwajibishaje mwanaume kwa lipi kwa mfano?!Yes ,mfumo dume
Mfumo uliopo haumuwajibishi mwanaume katika malezi ,malezi yanaonekana kua ni masuala ya wanawake na ndio maana sio ajabu hata wanawake wenye ndoa huwajibishwa kufanya majukumu ya malezi ya kuhakikisha watoto wanapata mahitaji ingawaje baba zao wapo humo humo na hawawajibiki.
Ukiona mwanamke kapata ujauzito jua aliamua kwa 90% hakunaga mwanamke anastukia tu ana mimba na hajui imeingiaje ni swala la kuamua.Kwa Akili yako, unafikiri Kwa nini Mwanamke anakalenda Wakati mwanaume Hana? Kwa uelewa wako.
Yaani mwanaume awaze mimba ilhali mimba haikai kwake. Hivi hizi Akili mnazitolea wapi?
Hujiulizi ni kwanini kwenye zile Aina za uzuiaji mimba nyingi zimewekwa Kwa Wanawake kuliko wanaume. Hujiulizi tuu Kwa sababu ya ujinga.
Weka kitanzi, tumia vidonge, tumia Kalenda, tumia kijiti n.k
Yaani unataka mwanaume afikiri mambo ya Mimba unafikiri wanaume ni Wanawake?
Hapa ndipo utaona unafiki wa hawa viumbe kuwa ndani ya malalamiko yao wamebeba ujumbe mwingine kwa siri. Wanawake wanajua by nature mahitaji yao yapo ndani ya ndoa. Na ndio maana wakishagundua wamezaa nje ya ndoa wanaanza kung'ang'ania watoto huku wakilazimisha kupewa matunzo ya mtoto kumbe wanachokitaka ni mwanaume atoe matunzo kuanzia ya mtoto na ya kwake binafsi.Ndio ili achukue majukumu yake, Mpe mtoto Alee mwenyewe kama Mama unaona huwezi kumtunza mtoto.
Mbona Sisi wanaume tukiwalea Watoto pekeetu hatupigi kelele wala kuwasumbua matumizi.
Unataka Baba awajibike, Mpe mtoto wake Alee. Sio ung'ang'anie mtoto Wakati uwezo wa kumtunza huna. Huo ni uchizi.
[emoji110][emoji110][emoji110] i'll drink [emoji482][emoji485] to this brother.Kwahio tusiseme usioe SINGLE MOTHER kisa wanateseka kulea watoto wacha ujinga wewe kuwa mwaume ushawahi sikia wanawake wanasema "Tuwavumilieni wanaume wasio na pesa ipo siku watapata"
Single mother ni yeye sisi tunaoa wanawake wapya hata wateseke vipi sisi haituhusu