Wanaume wanaotembelea maisha ya wazazi wao

Wanaume wanaotembelea maisha ya wazazi wao

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Unakutana na mkaka mzuri umempenda kwasababu ni msafi, shati limepigwa pasi au t-shirt aliyovaa imeendana na rangi ya suruali. Mnaanza kuongea, unamwambia mfano kwa wale wa chuo, niko chuo mwaka wa tatu, ninasoma science, hapa confidence inaanza kupungua anakwambia mimi baba yangu ni mkuu wa mkoa wa DSM, hivi mimi ninampango wa kumdate baba yako unavyonianzia hivyo?

Imetokea umempenda, mmedate, sasa muda umefika unamwambia kabisa kuwa plan yako ungependa uolewe uzae angalau mtoto mmoja kabla hujafikiria kufanya maters. Anaahidi kabisa ni yeye atakae kuoa. Unampeleka kwenu anaongea na baba yako, kijana unafanya kazi gani, anaanza mimi baba yangu ni ambassador jamani hapa anaetaka kutoa posa ni baba yako au ni wewe?
 
Kasumba tulizojijengea zinatutafuna wenyewe :
Sitaki maskini, sitaki kapuku, sitaki shida, sitaki, sitaki, sitaki.
Mwisho wa siku kwa nini watu wasikimbilie kazi za wajomba zao unadhani?
Na wanakimbilia kazi za wajomba zao kama security ya kukwapua penzi kwa sababu hamna namna sasa kwani hivi viumbe vimetanguliza mno pesa na kazi mbele!
 
Unakutana na mkaka mzuri umempenda kwasababu ni msafi, shati limepigwa pasi au t-shirt aliyovaa imeendana na rangi ya suruali. Mnaanza kuongea, unamwambia mfano kwa wale wa chuo, niko chuo mwaka wa tatu, ninasoma science, hapa confidence inaanza kupungua anakwambia mimi baba yangu ni mkuu wa mkoa wa DSM, hivi mimi ninampango wa kumdate baba yako unavyonianzia hivyo?

Imetokea umempenda, mmedate, sasa muda umefika unamwambia kabisa kuwa plan yako ungependa uolewe uzae angalau mtoto mmoja kabla hujafikiria kufanya maters. Anaahidi kabisa ni yeye atakae kuoa. Unampeleka kwenu anaongea na baba yako, kijana unafanya kazi gani, anaanza mimi baba yangu ni ambassador jamani hapa anaetaka kutoa posa ni baba yako au ni wewe?
Yamekukuta nini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kasumba tulizojijengea zinatutafuna wenyewe :
Sitaki maskini, sitaki kapuku, sitaki shida, sitaki, sitaki, sitaki.
Mwisho wa siku kwa nini watu wasikimbilie kazi za wajomba zao unadhani?
waambie mkuu[emoji23] [emoji23] bila ivo hawaliwi hawa

n0 r0se with0ut th0rn
 
Back
Top Bottom