Wile GAMBA
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 1,809
- 595
Babashopu unaenda huendi, au hata saluni basi unaendaga? Ukifika huko bila shaka huwa unamwambia huyo kinyozi wako jinsi gani akunyoe sio, ni kwa nini basi unachagua mtindo wakati wewe mwanaume... kwa nini usitenge tu hilo bichwa lako kama kifuu... lol.
Basi kama kila mtu anaongelea mtazamo wake na sio mtazamo wa jamii inayotuzunguka hapa tunapoteza muda tusiafu dume..time and again unaambiwa your view of the world is not everyone's view..ila huelewi bado. Huu mjadala kwa sie wengine umeshafika mwisho sema unalazimisha tu hoja hapa bila mashiko.Soma analysis za sokwe OLESAIDIMU na Ablessed utajifunza kitu namnanya kujadili mada kwa nguvu ya hoja na sio hoja ya nguvu.... OLESAIDIMU kakupa reference kibao sijui hata kama umatake time kuzisoma ili uje na counter argument ila ww umeng'ang'ania tu kama mtu anaweza kwenda kwa wakwe amevaaa hereni na cheni...bila hata kujiuliza ni wakwe wa aina gani...hataa kama unazungumIa jamiii yetu ya kitanzania...hivi BWM angekuwa na mtoto wa kike maana sina uhakika angeshangaa kupata mkwe anayevaa cheni? Go THINk
1. Sijui kama mimi naandika mengi au cognitive failure ndio sababu!!!!!!!!
2. Jamii ipi unazungumzia, hawa watu wana wazazi na wana kwao ujue jamii unayodhani sio iliyopo ki uhalisia mambo yamebadilika kwa kasi sana; hicho kitabu cha mwaka gani na kinaitwaje au japo author nasi tusome mkuu!!!!!Lakini unajua knowledge sio stagnant so kitabu ni mwanga tu haimaanishi ukomalie tu hata kama ni cha 1970's!!!!!! Zamani fundal pressure ilikuwa applicable vipi siku hizi?????!!!!
3. Jamii ya Tanzania wanaume hawasuki na kuvaa hereni ????!!!!! Una hakika???!?
4. Hivi kwenye behavioural science uliambiwa "all relatively unpleasant" ni "abnormal"????!!!!
Naona baadhi ya wachangiaji wanajaribu kujibu swali rahisi kwa kutumia jibu gumu ..na lengo lao hasa ni kutaka kuvuruga mada ili hatimaye mjadala ufike tamati bila jibu kupatikana. Kwanini yasitolewe majibu rahisi kama hoja ilivyo? Mtu unaulizwa 3×2 ni ngapi badala useme ni 6, unaanza ku-complicate jibu kama hivi: 3×2 = 2×3 = 3+3 =2+2+2 =6. Kwa nini usiseme tu kwamba jibu ni 6 badala ya kuleta blaa blaa nyiiiiiiingi? Au mtu unaulizwa ukokotoe eneo la pembetatu, unaanza ku-prove Pythagoras theorem kwanza, halafu ndio unakuja kutoa jawabu. Mzunguko huo wote wa nini?
Sio maana ya mtoa hoja kuanza kutafuta chimbuko au historia ya ukengeufu huu wa kuvaa hereni na mikufu kwa wanaume. Naona baadhi ya wachangiaji mmeanza kuchanganya madesa. Kufananisha usukaji nywele na uvaaji hereni wa wamasai na uvaaji hereni wa wanaume wa makabila mengine ni kutafuta flimsy and cheap excuses za kutaka kukwepa hoja ya msingi. Kwanza hamuwatendei haki wamasai kwa kufananisha uvaaji wao na uvaaji wa makabila mengine. Tangu jadi inajulikana aina ya mavazi ya kimasai na hakuna mtu anayewashangaa kwa kuvaa jinsi wanavyovaa. Ndio maana hawaoni soo kuvaa lubega zao na kutembea na sime na rungu kila bila kujali kama wapo mjini au kijijini.
Huwezi kuhoji kwanini kabila la wamsai wanapenda kuvaa lubega wakati suruali na mashati yapo na wanaweza kuyanunua na kuyavaa. Mtu yeyote akihoji hivyo au akafananisha uvaaji huu na wa raia wengine, basi ujue hayuko vizuri kichwani mwake. Kamwe huwezi kufananisha usukukaji wa wamasai na ule wa kina Diamond & Co. Utakuwa unajaribu kufananisha usiku na giza!
Pia hakuna mtu anayewalaumu wanaume wavaa hereni na mikufu. Tunachokijadili na kujiuliza hapa ni: KWA NINI wavae maurembo kama hayo ambayo, kwa saili yake, ni MAVAZI YA KIKE? Je, wanatamani kuwa wanawake? Na je, wasipovaa hayo makorokoro watapungukiwa nini? Kisingizio kwamba wanakwenda na wakati, na kwamba wana uhuru wa kufanya watakavyo bila kushurutishwa na mtu yeyote, ni sawa na kukubali ukengeufu huu uzoleke kwenye jamii bila kukemewa. Mnataka kuwaziba watu midomo wasiusemee ufirauni huu.
Naomba tuelewane vizuri hapa. Tukitaka hii mada ifikie tamati, tusije na majawabu rahisi kwamba wavaa hereni wanaiga kutokana na utanadawazi au kwamba wanataka kuonekana SEXY! These are lame and bogus excuses that cannot be accepted by anyone, whether frenzy or normal. Sasa tujiulize: Wanaume wanaovaa cheni, shanga, bangili na hereni wanafanya hivyo ili iweje? Na wasipovaa watapungukiwa nini? Je, huu si sawa na uhayawani mwingine wowote ule?
CC: Ablessed , sokwe , siafu dume
Mkuu nashukuru na wewe umenote kitu...nmejaribu kuuliza maswali yanayoonesha mfano kwenye jamii yetu badala watu kujibu..wanauliza jamii yetu ni akina nani..as if ukisema jamii ya watanzania watu hawaijui..?! imenisikitisha kidogo kwenye huu mjadala..kwani kuna vitu vipo wazi lkn watu wanatengeneza base za ajabu ajabu za kuvipinga...sishangai baada ya miaka 10 ijayo watu..wanatotea mambo kama haya wakiita ni mabadiliko kwenye jamii.. wakajakutetea ushoga kwa kutumia base kama hizi...kama mtu unamuuliza je anaona kwenda kwa mkwe umevaa hereni ni sawa au sio sawa anashidwa kutoa jibu...anaanza kuuliza mkwe ni nani..mmasai au mzaramo..ili aweze tu kutetea hereni basi baada ya miaka kumi itatumika base hiyo hiyo kuhalalisha ushoga usagaji kwenye jamiiNaona baadhi ya wachangiaji wanajaribu kujibu swali rahisi kwa kutumia jibu gumu…..na lengo lao hasa ni kutaka kuvuruga mada ili hatimaye mjadala ufike tamati bila jibu kupatikana. Kwanini yasitolewe majibu rahisi kama hoja ilivyo? Mtu unaulizwa 3×2 ni ngapi badala useme ni 6, unaanza ku-complicate jibu kama hivi: 3×2 = 2×3 = 3+3 =2+2+2 =6. Kwa nini usiseme tu kwamba jibu ni 6 badala ya kuleta blaa blaa nyiiiiiiingi? Au mtu unaulizwa ukokotoe eneo la pembetatu, unaanza ku-prove Pythagoras theorem kwanza, halafu ndio unakuja kutoa jawabu. Mzunguko huo wote wa nini?
Sio maana ya mtoa hoja kuanza kutafuta chimbuko au historia ya ukengeufu huu wa kuvaa hereni na mikufu kwa wanaume. Naona baadhi ya wachangiaji mmeanza kuchanganya madesa. Kufananisha usukaji nywele na uvaaji hereni wa wamasai na uvaaji hereni wa wanaume wa makabila mengine ni kutafuta flimsy and cheap excuses za kutaka kukwepa hoja ya msingi. Kwanza hamuwatendei haki wamasai kwa kufananisha uvaaji wao na uvaaji wa makabila mengine. Tangu jadi inajulikana aina ya mavazi ya kimasai na hakuna mtu anayewashangaa kwa kuvaa jinsi wanavyovaa. Ndio maana hawaoni soo kuvaa lubega zao na kutembea na sime na rungu kila bila kujali kama wapo mjini au kijijini.
Huwezi kuhoji kwanini kabila la wamsai wanapenda kuvaa lubega wakati suruali na mashati yapo na wanaweza kuyanunua na kuyavaa. Mtu yeyote akihoji hivyo au akafananisha uvaaji huu na wa raia wengine, basi ujue hayuko vizuri kichwani mwake. Kamwe huwezi kufananisha usukukaji wa wamasai na ule wa kina Diamond & Co. Utakuwa unajaribu kufananisha usiku na giza!
Pia hakuna mtu anayewalaumu wanaume wavaa hereni na mikufu. Tunachokijadili na kujiuliza hapa ni: KWA NINI wavae maurembo kama hayo ambayo, kwa saili yake, ni MAVAZI YA KIKE? Je, wanatamani kuwa wanawake? Na je, wasipovaa hayo makorokoro watapungukiwa nini? Kisingizio kwamba wanakwenda na wakati, na kwamba wana uhuru wa kufanya watakavyo bila kushurutishwa na mtu yeyote, ni sawa na kukubali ukengeufu huu uzoleke kwenye jamii bila kukemewa. Mnataka kuwaziba watu midomo wasiusemee ufirauni huu.
Naomba tuelewane vizuri hapa. Tukitaka hii mada ifikie tamati, tusije na majawabu rahisi kwamba wavaa hereni wanaiga kutokana na utanadawazi au kwamba wanataka kuonekana SEXY! These are lame and bogus excuses that cannot be accepted by anyone, whether frenzy or normal. Sasa tujiulize: Wanaume wanaovaa cheni, shanga, bangili na hereni wanafanya hivyo ili iweje? Na wasipovaa watapungukiwa nini? Je, huu si sawa na uhayawani mwingine wowote ule?
CC: Ablessed , sokwe , siafu dume
Kuiga mambo mabaya harusiwi kwenye jamii..basi tuige na ushoga basi kama kuiga kila kitu ni poa...siongelei moral code zangu naongea za jamii yangu ambayo mm na wewe tumo(zipo set na utamaduni ukichanganya na dini zetu )...naona unakomaa moral code zangu mm naongelea jamii..Lengo la Masai kuvaa nini? Na Lina associate na kitu gani? Whatever reason that u might come up with, je inawapa haki/uhalali gani tofauti na wanaume wengine? Kuna matatizo gani hata Kama wameiga kwa lil wayne? Kwani dhambi kuiga! Hata hizo suruali na suti tumeiga. Kwann usivae magome ya miti? Nimekuambia usichanganye muonekano wa mtu na tabia lakini hutaki kuelewa! Ivi hujui kuna watu wa hovyo wengi tu na wanavaa suti na mavazi yanayokupendeza wewe! You do have ur own moral code that's okay lakini lazima utambue wengine wana moral code zao pia, ni vyema ukapima watu kwa tabia sio muonekano.
Mkuu nashukuru na wewe umenote kitu...nmejaribu kuuliza maswali yanayoonesha mfano kwenye jamii yetu badala watu kujibu..wanauliza jamii yetu ni akina nani..as if ukisema jamii ya watanzania watu hawaijui..?! imenisikitisha kidogo kwenye huu mjadala..kwani kuna vitu vipo wazi lkn watu wanatengeneza base za ajabu ajabu za kuvipinga...sishangai baada ya miaka 10 ijayo watu..wanatotea mambo kama haya wakiita ni mabadiliko kwenye jamii.. wakajakutetea ushoga kwa kutumia base kama hizi...kama mtu unamuuliza je anaona kwenda kwa mkwe umevaa hereni ni sawa au sio sawa anashidwa kutoa jibu...anaanza kuuliza mkwe ni nani..mmasai au mzaramo..ili aweze tu kutetea hereni basi baada ya miaka kumi itatumika base hiyo hiyo kuhalalisha ushoga usagaji kwenye jamii
Kwa nini unaudhika na maisha ya watu wengine? Ya wengine yanakuhusuje wewe?
Huna yako ya kukushughulisha vya kutosha hadi uanze kuudhika na ya wengine?
Kwa msimamo wako huu umekula hasara na si ndogo.
Imagine; Mwanao wa kiume(kama unae ama ukijaaliwa baadae)
Siku anakukuta umetulia sebuleni na mkeo pamoja na wageni wenu wengine,
Kisha anakumbia Baba nina sapraizi nataka niwajulishe nyie pamoja na wageni waliopo.
Wewe, Unakaa mkao wakupata habari mpya tena njema pengine,
Kisha Dume lako la mbegu linakuhabarisha "Nimeamua kuwa Shoga na hivi ninavyosema bwana (Basha wangu)
Yuko njiani anakuja kuwajulia hali wazazi wangu.
Nategemea Upige miruzi ya furaha hapo ama? Si ni Maisha yake?
Unajua tatizo nakuona unaandika mambo mengi mpaka unamiss point..nakumbuka kwenye socilogy na behavior sciences(MD2)..wataalam wanaeleza kwamba abnormal behavior ni kufanya jambo ambalo si la kawaida na halikubalik kwenye jamii husika..kwa mf kwenye jamii mwanaume kuvaa mapambo ya mwanamke (kama hereni, mkufu, bangili, kubadili nyele rangi to name few ambazo vijana wengi wa kiume wanafanya siku hizi) kwenye jamii flani ni abnormal behavior..sasa kwa jamii ya kiafrica hasa tanzania wanaume hawasuki, kuvaa hereni nk..na sisi ndo tunasema hapa ni abnormal behavior...swali lingine la msingi unaweza kwenda kwa mkwe umevaa hereni ..?!
Naona baadhi ya wachangiaji wanajaribu kujibu swali rahisi kwa kutumia jibu gumu…..na lengo lao hasa ni kutaka kuvuruga mada ili hatimaye mjadala ufike tamati bila jibu kupatikana. Kwanini yasitolewe majibu rahisi kama hoja ilivyo? Mtu unaulizwa 3×2 ni ngapi badala useme ni 6, unaanza ku-complicate jibu kama hivi: 3×2 = 2×3 = 3+3 =2+2+2 =6. Kwa nini usiseme tu kwamba jibu ni 6 badala ya kuleta blaa blaa nyiiiiiiingi? Au mtu unaulizwa ukokotoe eneo la pembetatu, unaanza ku-prove Pythagoras theorem kwanza, halafu ndio unakuja kutoa jawabu. Mzunguko huo wote wa nini?
Sio maana ya mtoa hoja kuanza kutafuta chimbuko au historia ya ukengeufu huu wa kuvaa hereni na mikufu kwa wanaume. Naona baadhi ya wachangiaji mmeanza kuchanganya madesa. Kufananisha usukaji nywele na uvaaji hereni wa wamasai na uvaaji hereni wa wanaume wa makabila mengine ni kutafuta flimsy and cheap excuses za kutaka kukwepa hoja ya msingi. Kwanza hamuwatendei haki wamasai kwa kufananisha uvaaji wao na uvaaji wa makabila mengine. Tangu jadi inajulikana aina ya mavazi ya kimasai na hakuna mtu anayewashangaa kwa kuvaa jinsi wanavyovaa. Ndio maana hawaoni soo kuvaa lubega zao na kutembea na sime na rungu kila bila kujali kama wapo mjini au kijijini.
Huwezi kuhoji kwanini kabila la wamsai wanapenda kuvaa lubega wakati suruali na mashati yapo na wanaweza kuyanunua na kuyavaa. Mtu yeyote akihoji hivyo au akafananisha uvaaji huu na wa raia wengine, basi ujue hayuko vizuri kichwani mwake. Kamwe huwezi kufananisha usukukaji wa wamasai na ule wa kina Diamond & Co. Utakuwa unajaribu kufananisha usiku na giza!
Pia hakuna mtu anayewalaumu wanaume wavaa hereni na mikufu. Tunachokijadili na kujiuliza hapa ni: KWA NINI wavae maurembo kama hayo ambayo, kwa saili yake, ni MAVAZI YA KIKE? Je, wanatamani kuwa wanawake? Na je, wasipovaa hayo makorokoro watapungukiwa nini? Kisingizio kwamba wanakwenda na wakati, na kwamba wana uhuru wa kufanya watakavyo bila kushurutishwa na mtu yeyote, ni sawa na kukubali ukengeufu huu uzoleke kwenye jamii bila kukemewa. Mnataka kuwaziba watu midomo wasiusemee ufirauni huu.
Naomba tuelewane vizuri hapa. Tukitaka hii mada ifikie tamati, tusije na majawabu rahisi kwamba wavaa hereni wanaiga kutokana na utanadawazi au kwamba wanataka kuonekana SEXY! These are lame and bogus excuses that cannot be accepted by anyone, whether frenzy or normal. Sasa tujiulize: Wanaume wanaovaa cheni, shanga, bangili na hereni wanafanya hivyo ili iweje? Na wasipovaa watapungukiwa nini? Je, huu si sawa na uhayawani mwingine wowote ule?
CC: Ablessed , sokwe , siafu dume
Mkufu if gold nzito shingoni napenda.
Siafu dume,kama kuna mtu ameshindwa kuelewa comments zako ni tabia za uboishi na kutafuta kuhalalisha visivyo halali.
Nimefanya ~"job interviews" nyingi sana sijawahi ona mtu wa kiume kaja na pete,cheni,hereni,na utumbo mwingine.Hata hao wamasai hawavai lubega,wote wanakuwa smart kwani ndivyo jamii inataka hata kama malezi na makuzi yako wazazi wako walikuruhusu kuvaa hayo makitu.
ILA KUPAMBANA NA USHOGA KAZI KWELI KWELI.
Cheni inamfanya mwanaume aonekane sexy....
Mkuu ukiwa mwaminifu kwa nafsi yako je ushoga na usagaji hapa kwetu haupo kweli. Hao waliohalalisha kwenye nchi zao haina maana kwamba wao wana mashoga wengi kuliko sisi, je huoni kuwa vitendo hivi hapa kwetu vimeshamiri hadi mwanaume akimfumania mkewe basi hawara wa mwanamke huingiliwa kinyume na maumbile. Uliwahi kuona wanajamii wakipinga ufirauni huu badala yake wameuita mchezo huu tigo, tujiulize je hao huwa wamevaa hereni. Kumbuka kuna kijana aliuawa kwa kuliwa na mbwa maeneo ya bichi wakati wanatigoana , kijana yule alikua havai hereni lkn alikua si riziki.itatumika base hiyo hiyo kuhalalisha ushoga usagaji kwenye jamii