Wanaume wanaovaa cheni na hereni wanataka nini?

Wanaume wanaovaa cheni na hereni wanataka nini?

Vipi kuhusu kusuka? Kuna mwanamuziki wa Hip Hop al maarufu kama jeshi la mtu mmoja. Yeye hupendelea kusuka rasta
Hiyo imekaaje,

Huyo mwanamziki naye kilaza tu kama wavaa cheni wengine.
 
Mkuu, hivyo vyote ni vifaa vya kike tu. Pete ukishafanyia shoo siku ya kufungua ndoa, ukifika nyumbani ivue na kuihifadhi kwenye sanduku kwa ajili ya kumbukumbu, sio kutwa kucha umevaa mipete hadi vidole vinachimbika wewe umengangania mipete ya kike! umeona eeh?

Ila hata viongozi wa dini zote kubwa yaani waislam na wakristo wanasisitiza wanandoa hata baada ya ndoa zao wazivae ili kuondoa/kupunguza usumbufu na maswali maswali mkuu.
 
Wewe kama huna pesa za kununulia cheni na saa za maana kaa kule, tuachie sisi wenye pesa zetu tuvae, usilete umasikini wako hapa!
 
Wanaume kama mabinti. Micheni, mihereni, poda, kutinda nyusi yote haya nimeyaona yanafanywa na baadhi ya wanaume wa siku hizi... basi mkafanye surgery mjiwekee na matiti ili mvae hadi brazia...mfyuuuuuuuu

Pokea LIKE zangu za dhati dada Mrembo by Nature. Nawashangaa sana wanaume hawa, kama vipi wafanye surgery wawekewe matiti wavae brassier na pia wachongewe viuno vya kike wakavae shanga. Eti watu wanahalalisha upumbavu kwa kisingizio cha USASA! Hata tabia za kishoga zilianza hivi na hatimaye sasa ushoga linaonekana ni jambo la KISASA hapa nchini. Wale mnaotaka usasa kwanini msiingia kwenye ushoga ili muwe wa kisasa zaidi?
 
Last edited by a moderator:
Wewe kama huna pesa za kununulia cheni na saa za maana kaa kule, tuachie sisi wenye pesa zetu tuvae, usilete umasikini wako hapa!

Soma post kabla ya kureply. Usiwe na akili za kushikiwa--hapa hatuongelei suala la UWEZO WA KUNUNUA huo urembo wa kike--tunahoji kwanini wanaume wamevamia urembo wa kike kwa kisingizio cha kwenda na wakati (USASA). Kama unatetea uvaaji huu wa urembo wa kike mbona huwi wa kwanza kuwa SHOGA au kuvaa sketi na gauni? Acha kushabikia ujinga.
 
Ila hata viongozi wa dini zote kubwa yaani waislam na wakristo wanasisitiza wanandoa hata baada ya ndoa zao wazivae ili kuondoa/kupunguza usumbufu na maswali maswali mkuu.

Hivi una umri gani wewe? Samahani lakini nataka nijue ili ninapokujibu nijue namjibu mtu wa aina gani.
 
Hivi una umri gani wewe? Samahani lakini nataka nijue ili ninapokujibu nijue namjibu mtu wa aina gani.

Bila samahani Mkuu,ila ukinisaidia kwanza nipate muafaka ktk hili ni vizuri zaidi coz its so confusing,kuhusu umri it doesnt matter alot kwa issue hii as long as tunaelewana mkuu.
 
Bila samahani Mkuu,ila ukinisaidia kwanza nipate muafaka ktk hili ni vizuri zaidi coz its so confusing,kuhusu umri it doesnt matter alot kwa issue hii as long as tunaelewana mkuu.

Wewe hili suala la wanaume kuvaa vifaa/vikolombwezo vya KIKE unalichukulia kwa uzito gani?
 
mleta mada sijui unaishi wapi dunia hii ya sasa,kuvaa cheni unaona dhambi?bora hata hereni cheni!enzi hizi za insta na fcbk we bado uko enzi za ujima aisee,yaani kwakweli nyie ndio watu ambao mnatakiwa kurudishwa kwenu huko vijijini mlikotoroka mkaendelea kulima viazi.
maana kwa mtu kama wewe huna faida ya kuishi mjini kama sio duniani kabisa.kha

angalia babu kijana dunia inaexist kwa kuwa bado atleast kuna hao wachache unaowaita wa enzi ya ujima, kinyume cha hapo hakuna kitu.
 
tatizo lao hao baadhi ya mamen ni ulimbukeni kuiga vitu vya watu wa magharibi bila kujua wanavaa kwa sababu gani,kama tunavyojua huko magaribi wengi mashoga je na ninyi ni mashoga?mwanaume mzima unajiremba mapoda na kujipodoa ili iweje na wengine hadi sketi wanavyaa nimeona laiv kwa macho yangu wengine hadi kiunon mtoto wa kiume unavaa cheni kiunoni?Mungu awasamehe pingine hamjui mlitendalo
 
Saa nzuri inamfanya mwanaume aonekane mtanashati zaidi, hasa akivaa shati/t-shirt yenye hadhi. Pete kuvaa sio vibaya vile it's a covenant between two pips, lakini vingine wala sina time navyo...
 
All in all inategemea na mtazamo wa mtu, mi mwenyewe cheni na hereni hapana kwa kweli, saa ni kawaida sana..


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Mbona wamasai mwanaume ndo naeongoza kwa kuweka urembo mwln mwake? Tuwaitaje sasa,,,, acha wivu mkuu dunia inasonga we endelea kukaa


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨

Ile ni culture yao....


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Siku hizi ni kawaida kumkuta mwanaume amevaa cheni shingoni au hereni masikioni. Tena utamkuta mwanaume mwenye akili zilizotimia (achilia mbali mateja) amevaa hereni na cheni kubwa huku akijiona mjanja! Huu ni ujanja au ni dalili za kukengeuka?

Tangu dunia hii ilipoumbwa, inajulikana kwamba urembo ni kwa ajili ya wanawake. Mwanaume hata ukiwa rafu ni pouwa tu--hakuna mtu atakayekushangaa, tofauti na ilivyo kwa wanawake. Mwanamke ni kiumbe anayejisikia kuonekana nadhifu na mrembo nyakati zote. Hivyo hupenda kuvaa vifaa vya urembo kama vile hereni, mikufu, pete, vidani, bangili, nk. Sasa wale wanaume wanaovaa vifaa hivi vya KIKE tuwaweke fungu gani? Si wavae na sketi kabisa ili tujue moja?

Kwa kweli wanaume wenzangu wanaovaa pete, hereni na mikufu wananiudhi sana. Mimi siwezi hata kuvaa saa kwa kuwa inanifanya nijihisi nimevaa bangili! Sasa iweje wanaume na ndevu zao watamani kuvaa urembo wa kike?

Naomba tujadiliane BILA JAZBA hadi jibu lipatikane. Samahani sana, najua hata humu JF wavaa hereni wamo.

Mwisho watatoboa hadi pua na kuvaa shanga viunoni...


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
mi navaa cheni na saa labda ungeniambia heleni tu ningekuelewa... cheni na saa vina tatizo gani, na nani alikuja akasema hivi ni vya mwanamke? designer wenyewe wanaandika "for men" sasa sijui wewe hayo yako umetoa wapi

Kitu chochote kikiandikwa 'FOR MEN' tayari kinakuwa cha kiume? Hata always ikiandikwa 'for men' utachukua utavaa? Una akili kweli wewe? Basi waambie hao madisigner wakudisainie sketi, shanga na brassier halafu waviandike 'for men' kisha uchukue ukavae.
 
ni upungufu wa kisaikolojia hivyo hutaka kufidia na vitu kama hivyo. utanashati kwa mwanaume ni muhimu lakini isiwe too much! unamkuta mtu kavaa cheap jewerls kibao, cheap perfumes mpaka anakera na vikolombwezo kibao
Wengine na "lipshine" juu....


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Sidhan kama cheni ina shida..mkuu labda huna hela ya kununua silver useme!!

Siku ukiikuta mwanao wa kiume kaivaa mguuni, bado utasema haina shida?. Wanaanzaga taratibu, mwisho watafika hadi huko, wakiona haitoshi, watahamishia kiunoni...ndio stage zake hizo.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Back
Top Bottom