Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,828
Popote ulipo ikiwa uliweza au umeweza kuoa mwanamke ambaye ulimkuta na mtoto au watoto tayari, basi una roho ya nzuri sana na Mungu akubariki sana.
Binafsi mwanamke nispomkuta na usichana wake tu inakuwa tabu sana kumuwazia ndoa, naona kabisa napita tu hapa haolewi mtu, lakini kuna wanaume wengine anamkuta mtu ana watoto na baba yao yupo hai, anamuoa huyo mwanamke aliyezalishwa na anawahudumia watoto wake bila shida.
Na wakati mwingine kama jamaa mwenye watoto yupo hai, huyo mwanaume anaweza mruhusu kabisa jamaa aje kuwaona watoto au huyo mama awapeleke watoto "kwao". Au anaweza simuliwa na mkewe, baba fulani alipiga kuomba kuongea na wanae na mwanaume anaruhusu bila shida. Mnawezaje? Binafsi nikiwa na mahusiano na mwanamke tu halafu ikatokea akaongelea habari za ex wake tu roho inaniuma sana. Sasa najiuliza hawa wanaume wanawezaje?
Yaani uko na evidence kabisa mpaka watoto wa mwanaume Mwenzako? Unawahudumia, unamruhusu kuja kuwaona, unaruhusu mkeo aongee nae na saa zingine mpaka anakusimulia.....aaaah mbarikiwe sana ndugu zetu maana mnaroho za kipekee.
MUNGU AWABARIKI.
Binafsi mwanamke nispomkuta na usichana wake tu inakuwa tabu sana kumuwazia ndoa, naona kabisa napita tu hapa haolewi mtu, lakini kuna wanaume wengine anamkuta mtu ana watoto na baba yao yupo hai, anamuoa huyo mwanamke aliyezalishwa na anawahudumia watoto wake bila shida.
Na wakati mwingine kama jamaa mwenye watoto yupo hai, huyo mwanaume anaweza mruhusu kabisa jamaa aje kuwaona watoto au huyo mama awapeleke watoto "kwao". Au anaweza simuliwa na mkewe, baba fulani alipiga kuomba kuongea na wanae na mwanaume anaruhusu bila shida. Mnawezaje? Binafsi nikiwa na mahusiano na mwanamke tu halafu ikatokea akaongelea habari za ex wake tu roho inaniuma sana. Sasa najiuliza hawa wanaume wanawezaje?
Yaani uko na evidence kabisa mpaka watoto wa mwanaume Mwenzako? Unawahudumia, unamruhusu kuja kuwaona, unaruhusu mkeo aongee nae na saa zingine mpaka anakusimulia.....aaaah mbarikiwe sana ndugu zetu maana mnaroho za kipekee.
MUNGU AWABARIKI.