Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
WatanyookaPale unapokwepa kuoa single mama na ukabambikiwa mtoto na ukamlea😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WatanyookaPale unapokwepa kuoa single mama na ukabambikiwa mtoto na ukamlea😂
Aliyetoa hii comment angekuwa mwanaume, ingekuwa mwake sana.Maisha ukiyafahamu hayakusumbui....wanaume tu ndo wanayaweza haya mambo I mean wanaume.Ndoa ni mume na mke,watoto ni kama ndugu wengine home kwako utawahudumia tu kama unavyohudumia wengine.Kama una roho ya uchoyo na ubinafsi si watoto tu hata nduguzo hutopenda huwaone kwako.Haya ni maisha tu[emoji120]
Tatizo mwanamke Tena single mom.So bad😔Aliyetoa hii comment angekuwa mwanaume, ingekuwa mwake sana.
Hayana formula though.Tatizo mwanamke Tena single mom.So bad[emoji17]
🤜Hayana formula though.
Jambo la ajabu umeoa bikra lakini mkiwa ndani ya ndoa ataliwa na house boy kitandani mwako.SIWEZI KUANZA MECHI NA GOAL MOJA MKONONI AISEE
Tuanze 0-0 itapendeza zaidi...
Yaani hii comment umeandika kama wewe ni mwanaume mtu mzima yaani mbaba kumbe ni kibintiMaisha ukiyafahamu hayakusumbui....wanaume tu ndo wanayaweza haya mambo I mean wanaume.Ndoa ni mume na mke,watoto ni kama ndugu wengine home kwako utawahudumia tu kama unavyohudumia wengine.Kama una roho ya uchoyo na ubinafsi si watoto tu hata nduguzo hutopenda huwaone kwako.Haya ni maisha tu🙏
Abeeeeeee!!Jambo la ajabu umeoa bikra lakini mkiwa ndani ya ndoa ataliwa na house boy kitandani mwako.
Maumivu yake bora kuoa mwenye mtoto ambaye hana ulimbukeni wa mb..o..o tena.
Huyo atakuheshimu sana.
Mwisho wa yote haya makitu hayanagq kanuni.
Antonnia
Nimekopa kamsemo chako leo.Abeeeeeee!!
Kweli Hayanaga formula Kabisa!!
Kwa sababu wanawake ni mashetani wenye roho mbaya tuuNi rahisi mwanaume asiye na mtoto kuoa single mother kuliko mwanamke asiye na mtoto kuolewa na single father USINIULIZE KWA NINI MAANA HATA MIMI SIJUI
Tatizo lipo kwako kama unajidanganya kuwa a piece of paper ndio itamzui mwanamke au mwanume kuonja nyama nyingineJambo la ajabu umeoa bikra lakini mkiwa ndani ya ndoa ataliwa na house boy kitandani mwako.
Maumivu yake bora kuoa mwenye mtoto ambaye hana ulimbukeni wa mb..o..o tena.
Huyo atakuheshimu sana.
Mwisho wa yote haya makitu hayanagq kanuni.
Antonnia
😉🙏Yaani hii comment umeandika kama wewe ni mwanaume mtu mzima yaani mbaba kumbe ni kibinti
Hii comment yako imejaa hekima sana bila shaka roho ya ubaba ilikuingia wakati wa kuiandika
SASA SI MPAKA ALIWE NA HUYO HOUSEBOY😀Jambo la ajabu umeoa bikra lakini mkiwa ndani ya ndoa ataliwa na house boy kitandani mwako.
Maumivu yake bora kuoa mwenye mtoto ambaye hana ulimbukeni wa mb..o..o tena.
Huyo atakuheshimu sana.
Mwisho wa yote haya makitu hayanagq kanuni.
Antonnia
Tupe mkasa mkuu, tujifunze. Kilikupata nini