Wanaume wanaoweza kuoa Mwanamke mwenye watoto/single mothers wanaroho nzuri na ya kipekee sana, Mungu awabariki

Wanaume wanaoweza kuoa Mwanamke mwenye watoto/single mothers wanaroho nzuri na ya kipekee sana, Mungu awabariki

Popote ulipo ikiwa uliweza au umeweza kuoa mwanamke ambaye ulimkuta na mtoto au watoto tayari, basi una roho ya nzuri sana na Mungu akubariki sana.

Binafsi mwanamke nispomkuta na usichana wake tu inakuwa tabu sana kumuwazia ndoa, naona kabisa napita tu hapa haolewi mtu, lakini kuna wanaume wengine anamkuta mtu ana watoto na baba yao yupo hai, anamuoa huyo mwanamke aliyezalishwa na anawahudumia watoto wake bila shida.

Na wakati mwingine kama jamaa mwenye watoto yupo hai, huyo mwanaume anaweza mruhusu kabisa jamaa aje kuwaona watoto au huyo mama awapeleke watoto "kwao". Au anaweza simuliwa na mkewe, baba fulani alipiga kuomba kuongea na wanae na mwanaume anaruhusu bila shida. Mnawezaje? Binafsi nikiwa na mahusiano na mwanamke tu halafu ikatokea akaongelea habari za ex wake tu roho inaniuma sana. Sasa najiuliza hawa wanaume wanawezaje?

Yaani uko na evidence kabisa mpaka watoto wa mwanaume Mwenzako? Unawahudumia, unamruhusu kuja kuwaona, unaruhusu mkeo aongee nae na saa zingine mpaka anakusimulia.....aaaah mbarikiwe sana ndugu zetu maana mnaroho za kipekee.

MUNGU AWABARIKI.

Inahitaji moyo
 
Popote ulipo ikiwa uliweza au umeweza kuoa mwanamke ambaye ulimkuta na mtoto au watoto tayari, basi una roho ya nzuri sana na Mungu akubariki sana.

Binafsi mwanamke nispomkuta na usichana wake tu inakuwa tabu sana kumuwazia ndoa, naona kabisa napita tu hapa haolewi mtu, lakini kuna wanaume wengine anamkuta mtu ana watoto na baba yao yupo hai, anamuoa huyo mwanamke aliyezalishwa na anawahudumia watoto wake bila shida.

Na wakati mwingine kama jamaa mwenye watoto yupo hai, huyo mwanaume anaweza mruhusu kabisa jamaa aje kuwaona watoto au huyo mama awapeleke watoto "kwao". Au anaweza simuliwa na mkewe, baba fulani alipiga kuomba kuongea na wanae na mwanaume anaruhusu bila shida. Mnawezaje? Binafsi nikiwa na mahusiano na mwanamke tu halafu ikatokea akaongelea habari za ex wake tu roho inaniuma sana. Sasa najiuliza hawa wanaume wanawezaje?

Yaani uko na evidence kabisa mpaka watoto wa mwanaume Mwenzako? Unawahudumia, unamruhusu kuja kuwaona, unaruhusu mkeo aongee nae na saa zingine mpaka anakusimulia.....aaaah mbarikiwe sana ndugu zetu maana mnaroho za kipekee.

MUNGU AWABARIKI.

Inahitaji moyo
 
Acha nionekane nina roho mbaya tu

Mechi ianze 0-0

The same[emoji1374]

Mimi kelphin wacha nionekane nna roho mbaya[emoji1374]

Siongei kwa kufata maneno ya jf
Me nlifikia stage ya kutaka kupeleka hadi nyumbani
Nlichokutana nacho hapana.....
Kama kuowa single mother(ambae mzazi mwenzie yupo hai) ni uanaume basi naomba niwe un qualified man[emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Ila single mother ambae mzazi mwezie hayupo
Yess ntalea tu mwanangu na atasoma ,atavaa na atakula kama mwanangu


Ila kama jamaa yupo yaan anapumua vizuri tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kuna siku utalea watoto wa wenzako ukiwa huko huko kwenye ndoa, unajikuta tu vitoto viizi, vina kiburi unatafuta hata mfanano kwenye familia yenu huoni, so kuanza 0-0 sio kigezo cha wewe kutokuoea watoto wa watu
Aiseee
 
The same[emoji1374]

Mimi kelphin wacha nionekane nna roho mbaya[emoji1374]

Siongei kwa kufata maneno ya jf
Me nlifikia stage ya kutaka kupeleka hadi nyumbani
Nlichokutana nacho hapana.....
Kama kuowa single mother(ambae mzazi mwenzie yupo hai) ni uanaume basi naomba niwe un qualified man[emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Ila single mother ambae mzazi mwezie hayupo
Yess ntalea tu mwanangu na atasoma ,atavaa na atakula kama mwanangu


Ila kama jamaa yupo yaan anapumua vizuri tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Tupe mkasa mkuu, tujifunze. Kilikupata nini
 
Back
Top Bottom