Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,370
hahahahahahahaha!
BATAAAA NI BATAAAAAAAAAAAAA
TUNATAAKAA BATAAAAAAAAAAAA
BATAA WA KIMAMBOOOOOOOOO
TUNATAKA BATAAAAAAAAAAAAAAA
BATAAA NI BATAAAAAAAAAAAAAAA
TUNAKULA BATAAAAAAAAAAAAAAA
Mwanaume ni Kama Simba Mwindaji. kama ushawahi angalia zile picha jinsi SIMBA anavyowinda utaona kama mnyama hakimbii hata SIMBA anashtuka anaogopa lkn mnyama akikimbia basi SIMBA ile inakuwa ni kitoweo halali kwake na haachi mpaka akamate atafune. Ndivyo ilivyo kwa Mwanaume, wewe ukimzungusha sana ndo unamuongezea stimu na hamu ya kutaka kukupata so HATUKATI TAMAA NG'OOOO. hahahahahah na tunaona kikimbiacho ndicho kimenona na kitamuuuuuuuuu na ukitoa mapema kinakuwa KIMEOOOOOOOO tunakimbia hahahahahaha
mh hatari kweli kweli
mh hatari kweli kweli
Kwa hiyo hapa bado mnadiskasi wanaume au matiti?
Walishahama kwenye mada!!!
Walishahama kwenye mada!!!
yaani nimekuita jamvini na wewe umekaribia ehe lete utamu tufaidi sie mada yetu iendelee
mada bado inaendelea dia, hivo vingine ni vijimambo tu!
Umekula lunch???? ngoja na mie nichakachue kidogo aaahhh
we jana si nilikwambia leo twende wote kwenye lunch, lakini naona umenikaushia?nimekula peke yangu!
ulikuwa hujui hilo?
na bado leo utajua mengi kuliko hayo c mmechokoza wenyewe na DA arudi jamvini mchakato uendelee.........stim stim..............panda..........stim................pandapanda...............................
usijihalalishe.. kuna watu wanakuja na technique tofautitofauti.. lilipo mwombe mungu upate mwaminifu!!wamenitongoza wengi tu
nimewakubalia wachache
kubwagwa kati ya wote ni mmoja tu aliefanikiwa wengine huwa nawawahi
sina anaetegemea kunimwaga cause wengi wanaokuja sasa ni wanaonekana kabisa ni tamaa ya kimwili inayowaleta na c mapenzi
hivi kwanini wanaume huwa hawasemi ukweli jamani?anaweza akakutongoza na kukuonyesha anakupenda kabisa na akakufatilia kwa kila hali mpk ukaamini kuwa anakupenda,kumbe mwenzio anataka kupita tu ww ndo ukajiweka mazima moyo na mapafu pia.siku akikuchoka anakumwaga km hamjawahi kuwa watupu hata siku moja.kwanini lakini wanaume mpo hivyo?????????????????????????
hivi kwanini wanaume huwa hawasemi ukweli jamani?anaweza akakutongoza na kukuonyesha anakupenda kabisa na akakufatilia kwa kila hali mpk ukaamini kuwa anakupenda,kumbe mwenzio anataka kupita tu ww ndo ukajiweka mazima moyo na mapafu pia.siku akikuchoka anakumwaga km hamjawahi kuwa watupu hata siku moja.kwanini lakini wanaume mpo hivyo?????????????????????????