wanaume,wanaume,mmmh!!!

Maty nimerudi upooo! Mie niliwahi kudanganywa sina hamu kumbe jamaa lina mke na watoto sita likaongopa eti mkewe kapata ajali kafa kumbe liongo aaahhh sina hamu na wanaume kabisa
 
Sababu zangu ni hizi.

1. Uongo uongo mwingi
2. Simu zisizoisha hata usiku
3. Mibili isiyoisha , mara luku , mara vocha , mara nguo, viatu , .............endless list
4. Nina wife na yeye ana hubby au BF. Wote wezi
5. Akizoea anataka na huyo aliyekukuta nae umteme ...duh .
 
ukisema ukweli uchi haupati ng'ooo, uongo kwanza, then unaanza usanii unajua.... nilikuwa............ ooohhh anyway deal langu limebuma hivi sasa nitaanzisha my own company, usijali mm wako, ila hadi demu ajue almost umeshakula 5 or more so hawezi kataa, so UKWELI KWA MWANAUME ANAJITANGAZIA KUKOSA UCHI NA YY NDIO KITU ANATAKA, so lies first truth after kula uchi, that is reality
 
Tatizo la mwanaumme ni matarajio ya mwanamke....................na hapo ili muelewane lazima akupige changa la macho na ukizubaa imetoka vile..........................................Jiulize ni kwa nini iko hivyo jibu lipo kwa akina dada wajirekebishe kudandia bembea za bwereree..........
 
nyuzi zote humu ni wanawake kutusema ati wabaya, tunawatesa, wadanganya, ..................
ivi sie ni wabaya kiasi hiki? tupeni some credits jamani .......... au ndio hamtaki wakati mwataka!?
 
Welcome aboard my dear!!! Ni hivi,,,,,Wanaume ni viumbe wa ajabu sana hawana huruma hawa watu acha kabisa. No wonder wanawake wengi siku hizi wameona bora kuishi peke kuliko kulizwa na kubembeleza day and night na hawa viumbe wanaitwa wanaume.
 
Welcome aboard my dear!!! Ni hivi,,,,,Wanaume ni viumbe wa ajabu sana hawana huruma hawa watu acha kabisa. No wonder wanawake wengi siku hizi wameona bora kuishi peke kuliko kulizwa na kubembeleza day and night na hawa viumbe wanaitwa wanaume.

Kwani tuna mikia miwili?????
 

Cha msingi lazima mwanzo muwe na mkataba - yaani lazima wote mjue mahusiano yenu ni ya namna gani na madhumuni ni nini. Kwa sababu wanawake wengine madhumuni yao ni favour, pesa, kutamani pia/ burudani, life time relationship, upweke, kutoa lesson kwa wapenzi wao wa zamani, etc. Na sababu hizi uwafanya wengi kuwa na mabwana wengi. Mimi mwenyewe nikigundua una mabwana wengi au si mkweli lazima nikumwage kama maganda ya ndizi kwenye litterbin!

Tena wengi wa wanawake huwa wanashauriana kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja ili hata mmoja akichomoka anakuwa na mwingine; na wengine kuchukua wapenzi wa rafiki zao - tena ili ndio kwa sana tu.
 
Welcome aboard my dear!!! Ni hivi,,,,,Wanaume ni viumbe wa ajabu sana hawana huruma hawa watu acha kabisa. No wonder wanawake wengi siku hizi wameona bora kuishi peke kuliko kulizwa na kubembeleza day and night na hawa viumbe wanaitwa wanaume.

Pakawa my darling, hao wanaume unaozungumzia hapo, nami umeniweka mumohumo?
 
ndo zinawaangaisha nyie au?

Mi naona Mungu ndo huwa anaamua maana kuna wengine wadada wanatokewa kwa kutaka kufunga ndoa wanakataa wang'ang'ania kwa jamaa anae taka kumega ingawa ameonyesha kila aina ya dalili kuwa jamaa ni msuuza rungu tu wa kupita
 
Welcome aboard my dear!!! Ni hivi,,,,,Wanaume ni viumbe wa ajabu sana hawana huruma hawa watu acha kabisa. No wonder wanawake wengi siku hizi wameona bora kuishi peke kuliko kulizwa na kubembeleza day and night na hawa viumbe wanaitwa wanaume.
hapo kwenye pink unajua kabisa kwamba husemi ukweli au naongopa? mbona basi tunatafutwa sana kama sie ni wabaya kiivo. Wangine
wanatukwiba kwa wake zetu, bado sie ndio wabaya tuuu!
 
hapo kwenye pink unajua kabisa kwamba husemi ukweli au naongopa? mbona basi tunatafutwa sana kama sie ni wabaya kiivo. Wangine
wanatukwiba kwa wake zetu, bado sie ndio wabaya tuuu!

Usitusingizie bwana nyie ndo mnatutafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…