Wanaume wasichojua hata sisi huwa tunawatamani

Acha mbwembwe, karibu madafu.
 
Nana kama unajutia kupoteza bahati uliyopata
 

Nakubali ila si kumtamkia kwamba nimemuelewa. Bora ajue mwenyewe bila kuambiwa.
 
Kutoka 20:17 Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng’ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako.
Ni usimtamani mke wa jirani yako na si mume wa jirani yako....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…