Wanaume wasichojua hata sisi huwa tunawatamani

Wanaume wasichojua hata sisi huwa tunawatamani

Kuna demu kipind nipo olevo alikua anatongoza boys kwa kuandika barua sema alikua na Pepo la umalayaaa kama uyu mtoa mada leo.......
Jamani mnamshambulia huyu dada bure kwa kuweka wazi hisia zake lakini ukweli ni kwamba haya mambo yapo kwa wanawake wengi ila hawathubutu kuleta uzi hapa kama huyu dada, ila wapo hata wanaothubutu kutongoza wanaume na sio jambo geni ni mambo yapo tangu enzi si mnakumbuka kijana Yusufu alivyotamaniwa na mke wa bosi wake?
 
Msichojua ndo hicho sasa
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia mihangaiko yangu ajui kituo cha gari anakoenda ila sijajua kama kweli alikua hapajui aendapo.akaniuliza nikampeleka
Jamaa wa Arusha huyo mgeni kifupi niliona alinielewa nikawa namkatisha katisha maneno yake wakati nampwleka kumuonesha akapenda gari asichojua mimi pia nimemuelewa
So nimemuonesha akabaki kasimama ananiangalia mimi huyo nimetokomea
“Ushawahi kutana na mwanaume ukamuelewa kama ni mjamzito unatamani kuificha mimba?” Basi ndo leo
Ila mimi sio mjamzito ila ninajua kujizuia na kutetea kiapo changi cha NDOA
Hata kama utatamani nje ila unatakiwa ukumbuke ahadi uliyoitoa madhabauni na kwa mwenzako bado ndoa itakua salama
Dah wakaka wa Arusha i mis home already
Ukitamani umeshazini, katubu.
 
Jamani mnamshambulia huyu dada bure kwa kuweka wazi hisia zake lakini ukweli ni kwamba haya mambo yapo kwa wanawake wengi ila hawathubutu kuleta uzi hapa kama huyu dada, ila wapo hata wanaothubutu kutongoza wanaume na sio jambo geni ni mambo yapo tangu enzi si mnakumbuka kijana Yusufu alivyotamaniwa na mke wa bosi wake?
Umeona hayo mawazo na ndio sababu kuna wadada hata iweje ni marufuku kumtamkia mwanaume mambo ya kumpenda mana mwisho wa siku unaweza ishia kudhalilishwa.
 
Jamani mnamshambulia huyu dada bure kwa kuweka wazi hisia zake lakini ukweli ni kwamba haya mambo yapo kwa wanawake wengi ila hawathubutu kuleta uzi hapa kama huyu dada, ila wapo hata wanaothubutu kutongoza wanaume na sio jambo geni ni mambo yapo tangu enzi si mnakumbuka kijana Yusufu alivyotamaniwa na mke wa bosi wake?
Mwanaume ndo anatamani ila mwanamke anapenda mazima ni hatar sana kuwa na mke mwenye tabia kama za mleta mada ndoama jamii nyingi zikawapa majina mabaya kama malaya,changudoa...ili isije kuwa mtafaruku kwenye jamii maana mwanamke bila kumuwekea sheria kali ni hatar sana
 
Msichojua ndo hicho sasa
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia mihangaiko yangu ajui kituo cha gari anakoenda ila sijajua kama kweli alikua hapajui aendapo.akaniuliza nikampeleka
Jamaa wa Arusha huyo mgeni kifupi niliona alinielewa nikawa namkatisha katisha maneno yake wakati nampwleka kumuonesha akapenda gari asichojua mimi pia nimemuelewa
So nimemuonesha akabaki kasimama ananiangalia mimi huyo nimetokomea
“Ushawahi kutana na mwanaume ukamuelewa kama ni mjamzito unatamani kuificha mimba?” Basi ndo leo
Ila mimi sio mjamzito ila ninajua kujizuia na kutetea kiapo changi cha NDOA
Hata kama utatamani nje ila unatakiwa ukumbuke ahadi uliyoitoa madhabauni na kwa mwenzako bado ndoa itakua salama
Dah wakaka wa Arusha i mis home already

Yule kijana mwenyewe ndio mimi hapa nipo Arusha nitafute
 
Mimi udhaifu wangu upo hapo sipendi wanaume waongeaji .mume wangu ni mkimya sana
Yaani watu ninaovutiwa nao ni wa aina hiyo ukiongea sana tayari hunivutii tena

Sanaa ya ku-approach haina maana mwanaume anaongea sana bali kujua wakati gani wa ku-engage and how to engage, inaweza isiwe kwa maneno ikawa kwa vitendo etc
 
Mi kuna kidada cha singida kilinielewa aisee yule binti ni mzuri lahaula , alikuwa ananitamkia live mi ndo nimekupenda G , naomba unipende na mie pleasee basi mi mbichwa huoo, long distance mi ikanishinda nikawa namignore nikapotezana nae mawasiliano kama mwaka hivi nikaja mcheki tena tukaendelea tulipoishia, ila alikuja zalishwa siku nikienda dom ntakula mtafuta na si huyo pekee kuna mmoja nimepotezana nae mazima binti wa kipemba yule sijui jini mamaee
 
Kutoka 20:17 Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng’ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako.
Jiranii jirani yangu eeh nimekukosea nini ? Kila unachokitaka jirani eeh mimi ninakupatia ila ninachokuomba jirani eeh unanikatalia.. sasa nikueleweje jirani eeh
 
Back
Top Bottom