Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hatari Mkuu 😅Mapema tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari Mkuu 😅Mapema tu
🤣 Haya niwekee hapa.Asante sana mgonjwa
Nimekuja kukuletea namba yangu
Mwenyewe nilikuelewa ila udomo zege ukaniangusha😟
Jamani mnamshambulia huyu dada bure kwa kuweka wazi hisia zake lakini ukweli ni kwamba haya mambo yapo kwa wanawake wengi ila hawathubutu kuleta uzi hapa kama huyu dada, ila wapo hata wanaothubutu kutongoza wanaume na sio jambo geni ni mambo yapo tangu enzi si mnakumbuka kijana Yusufu alivyotamaniwa na mke wa bosi wake?Kuna demu kipind nipo olevo alikua anatongoza boys kwa kuandika barua sema alikua na Pepo la umalayaaa kama uyu mtoa mada leo.......
Na hii ndio mbaya ukipiga ni kama umepiga, na usipopiga ni kama umepiga pia. Utachagua mwenyewe kuzika au kusafirisha. Hii dhambi imekaa pabaya sana.🙌Biblia inasema ukitamani umekwisha zini nae
Ukitamani umeshazini, katubu.Msichojua ndo hicho sasa
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia mihangaiko yangu ajui kituo cha gari anakoenda ila sijajua kama kweli alikua hapajui aendapo.akaniuliza nikampeleka
Jamaa wa Arusha huyo mgeni kifupi niliona alinielewa nikawa namkatisha katisha maneno yake wakati nampwleka kumuonesha akapenda gari asichojua mimi pia nimemuelewa
So nimemuonesha akabaki kasimama ananiangalia mimi huyo nimetokomea
“Ushawahi kutana na mwanaume ukamuelewa kama ni mjamzito unatamani kuificha mimba?” Basi ndo leo
Ila mimi sio mjamzito ila ninajua kujizuia na kutetea kiapo changi cha NDOA
Hata kama utatamani nje ila unatakiwa ukumbuke ahadi uliyoitoa madhabauni na kwa mwenzako bado ndoa itakua salama
Dah wakaka wa Arusha i mis home already
071249428🤣 Haya niwekee hapa.
Umeona hayo mawazo na ndio sababu kuna wadada hata iweje ni marufuku kumtamkia mwanaume mambo ya kumpenda mana mwisho wa siku unaweza ishia kudhalilishwa.Jamani mnamshambulia huyu dada bure kwa kuweka wazi hisia zake lakini ukweli ni kwamba haya mambo yapo kwa wanawake wengi ila hawathubutu kuleta uzi hapa kama huyu dada, ila wapo hata wanaothubutu kutongoza wanaume na sio jambo geni ni mambo yapo tangu enzi si mnakumbuka kijana Yusufu alivyotamaniwa na mke wa bosi wake?
Mwanaume ndo anatamani ila mwanamke anapenda mazima ni hatar sana kuwa na mke mwenye tabia kama za mleta mada ndoama jamii nyingi zikawapa majina mabaya kama malaya,changudoa...ili isije kuwa mtafaruku kwenye jamii maana mwanamke bila kumuwekea sheria kali ni hatar sanaJamani mnamshambulia huyu dada bure kwa kuweka wazi hisia zake lakini ukweli ni kwamba haya mambo yapo kwa wanawake wengi ila hawathubutu kuleta uzi hapa kama huyu dada, ila wapo hata wanaothubutu kutongoza wanaume na sio jambo geni ni mambo yapo tangu enzi si mnakumbuka kijana Yusufu alivyotamaniwa na mke wa bosi wake?
Msichojua ndo hicho sasa
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia mihangaiko yangu ajui kituo cha gari anakoenda ila sijajua kama kweli alikua hapajui aendapo.akaniuliza nikampeleka
Jamaa wa Arusha huyo mgeni kifupi niliona alinielewa nikawa namkatisha katisha maneno yake wakati nampwleka kumuonesha akapenda gari asichojua mimi pia nimemuelewa
So nimemuonesha akabaki kasimama ananiangalia mimi huyo nimetokomea
“Ushawahi kutana na mwanaume ukamuelewa kama ni mjamzito unatamani kuificha mimba?” Basi ndo leo
Ila mimi sio mjamzito ila ninajua kujizuia na kutetea kiapo changi cha NDOA
Hata kama utatamani nje ila unatakiwa ukumbuke ahadi uliyoitoa madhabauni na kwa mwenzako bado ndoa itakua salama
Dah wakaka wa Arusha i mis home already
kamshinda wapi...? sema tu shetani hakuamua yawe mengi..😃Hongera kwa kumshinda shetani
Mimi udhaifu wangu upo hapo sipendi wanaume waongeaji .mume wangu ni mkimya sana
Yaani watu ninaovutiwa nao ni wa aina hiyo ukiongea sana tayari hunivutii tena
Kumbe unawakubali wadudu wa dampo sema we ni wa huko lazima uwakubaliYule mkaka ni mdudu tu chali ya chuga
Jiranii jirani yangu eeh nimekukosea nini ? Kila unachokitaka jirani eeh mimi ninakupatia ila ninachokuomba jirani eeh unanikatalia.. sasa nikueleweje jirani eehKutoka 20:17 Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng’ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako.
Chuga ni jamuhuriKumbe unawakubali wadudu wa dampo sema we ni wa huko lazima uwakubali
Inaonekana watu nane umei master hiyo snaaaSanaa ya ku-approach haina maana mwanaume anaongea sana bali kujua wakati gani wa ku-engage and how to engage, inaweza isiwe kwa maneno ikawa kwa vitendo etc
Sawa mtumishiKutoka 20:17 Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng’ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako.
Ya wadudu sioChuga ni jamuhuri