Wanaume wasichojua hata sisi huwa tunawatamani

Wanaume wasichojua hata sisi huwa tunawatamani

Nilikua mimi, unautesa sana moyo wangu, nilipokuona tu mapigo ya moyo yakawa hayana mpangilio kabisa; uliponipakia kwenye gari wamenishusha kwenye kituo ambacho sikijui, nipo hapa bado natafuta njia ya kurudi, ebu njoo pm unielekeze vizuri​
 
Msichojua ndo hicho sasa
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia mihangaiko yangu ajui kituo cha gari anakoenda ila sijajua kama kweli alikua hapajui aendapo.akaniuliza nikampeleka
Jamaa wa Arusha huyo mgeni kifupi niliona alinielewa nikawa namkatisha katisha maneno yake wakati nampwleka kumuonesha akapenda gari asichojua mimi pia nimemuelewa
So nimemuonesha akabaki kasimama ananiangalia mimi huyo nimetokomea
“Ushawahi kutana na mwanaume ukamuelewa kama ni mjamzito unatamani kuificha mimba?” Basi ndo leo
Ila mimi sio mjamzito ila ninajua kujizuia na kutetea kiapo changi cha NDOA
Hata kama utatamani nje ila unatakiwa ukumbuke ahadi uliyoitoa madhabauni na kwa mwenzako bado ndoa itakua salama
Dah wakaka wa Arusha i mis home already
Utakua umeniona mimi
 
Msichojua ndo hicho sasa
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia mihangaiko yangu ajui kituo cha gari anakoenda ila sijajua kama kweli alikua hapajui aendapo.akaniuliza nikampeleka
Jamaa wa Arusha huyo mgeni kifupi niliona alinielewa nikawa namkatisha katisha maneno yake wakati nampwleka kumuonesha akapenda gari asichojua mimi pia nimemuelewa
So nimemuonesha akabaki kasimama ananiangalia mimi huyo nimetokomea
“Ushawahi kutana na mwanaume ukamuelewa kama ni mjamzito unatamani kuificha mimba?” Basi ndo leo
Ila mimi sio mjamzito ila ninajua kujizuia na kutetea kiapo changi cha NDOA
Hata kama utatamani nje ila unatakiwa ukumbuke ahadi uliyoitoa madhabauni na kwa mwenzako bado ndoa itakua salama
Dah wakaka wa Arusha i mis home already
Kumbe kama Ivo muwege mnafunguka
 
Huwa inatokea ila akipotea machoni naendelea na mambo mengine.

Kuna hospitali nilienda kuna daktari nilimkuta jamani kuna wanaume wana mionekano mizuri unabaki kuduwaa. Nikapewa huduma nikasepa japo nilitamani kuendelea kumuona.
Na ndio sisi humu humu manatuchukulia poa na pm mnazifunga shauri yenu.
 
Na nyie wanawake kama mlikuwa hamjui ndo mjue sasa kwamba sio kila mwanaume mtakaemuelewa na yeye atawaelewa vilevile kuna wengine hatutaki kabisa pisi za bongo
 
Back
Top Bottom