masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
- Thread starter
- #81
Amiina Mungu ndo muweza wa yoteHongera sana mkuu.
Endelea kumwomba Mungu akuwezeshe kuendelea na msimamo wako na usitetereke kamwe...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amiina Mungu ndo muweza wa yoteHongera sana mkuu.
Endelea kumwomba Mungu akuwezeshe kuendelea na msimamo wako na usitetereke kamwe...!
Utakua umeniona mimiMsichojua ndo hicho sasa
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia mihangaiko yangu ajui kituo cha gari anakoenda ila sijajua kama kweli alikua hapajui aendapo.akaniuliza nikampeleka
Jamaa wa Arusha huyo mgeni kifupi niliona alinielewa nikawa namkatisha katisha maneno yake wakati nampwleka kumuonesha akapenda gari asichojua mimi pia nimemuelewa
So nimemuonesha akabaki kasimama ananiangalia mimi huyo nimetokomea
“Ushawahi kutana na mwanaume ukamuelewa kama ni mjamzito unatamani kuificha mimba?” Basi ndo leo
Ila mimi sio mjamzito ila ninajua kujizuia na kutetea kiapo changi cha NDOA
Hata kama utatamani nje ila unatakiwa ukumbuke ahadi uliyoitoa madhabauni na kwa mwenzako bado ndoa itakua salama
Dah wakaka wa Arusha i mis home already
Hahahaa na kitombo siku hiyohiyoUzuri wake Siku hiyo hiyo utakayosema ndiyo Siku hiyo hiyo ombi lako linakubaliwa.
Miss R Nini kimekupataa 😄enhee kuna mkaka nmemtaman um soon nashusha uzi😌
Sema tu ulitamani uchezee mtalimbo wa daktari Kelseajapo nilitamani kuendelea kumuona.
Kumbe kama Ivo muwege mnafungukaMsichojua ndo hicho sasa
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia mihangaiko yangu ajui kituo cha gari anakoenda ila sijajua kama kweli alikua hapajui aendapo.akaniuliza nikampeleka
Jamaa wa Arusha huyo mgeni kifupi niliona alinielewa nikawa namkatisha katisha maneno yake wakati nampwleka kumuonesha akapenda gari asichojua mimi pia nimemuelewa
So nimemuonesha akabaki kasimama ananiangalia mimi huyo nimetokomea
“Ushawahi kutana na mwanaume ukamuelewa kama ni mjamzito unatamani kuificha mimba?” Basi ndo leo
Ila mimi sio mjamzito ila ninajua kujizuia na kutetea kiapo changi cha NDOA
Hata kama utatamani nje ila unatakiwa ukumbuke ahadi uliyoitoa madhabauni na kwa mwenzako bado ndoa itakua salama
Dah wakaka wa Arusha i mis home already
Anauza MaziwaHua nashindwa kukuelewa kama unauzaga au namna gani... Pole. Yake kwa aliyekuweka ndani
Na ndio sisi humu humu manatuchukulia poa na pm mnazifunga shauri yenu.Huwa inatokea ila akipotea machoni naendelea na mambo mengine.
Kuna hospitali nilienda kuna daktari nilimkuta jamani kuna wanaume wana mionekano mizuri unabaki kuduwaa. Nikapewa huduma nikasepa japo nilitamani kuendelea kumuona.
Hakuna,, kwan vip mkuu😌Miss R Nini kimekupataa 😄
Wanaume wa mtandaoni hapana.Na ndio sisi humu humu manatuchukulia poa na pm mnazifunga shauri yenu.
Hahaha.........Siku hiyo hiyo mtu anachumishwa matembele 🤗Hahahaa na kitombo siku hiyohiyo
Asante sana mgonjwa😹 Karibu sana dakitare
Mapema tuHahaha.........Siku hiyo hiyo mtu anachumishwa matembele 🤗