Wanaume wasichojua hata sisi huwa tunawatamani

Wanaume wasichojua hata sisi huwa tunawatamani

Huwa inatokea ila akipotea machoni naendelea na mambo mengine.

Kuna hospitali nilienda kuna daktari nilimkuta jamani kuna wanaume wana mionekano mizuri unabaki kuduwaa. Nikapewa huduma nikasepa japo nilitamani kuendelea kumuona.
 
Back
Top Bottom