Wanaume wasichojua hata sisi huwa tunawatamani

Wanaume wasichojua hata sisi huwa tunawatamani

Uliyoongea ni kweli kabisa, ila kila kitu kwa kiasi, hata kutamani ufanye kwa kiasi, kutamani sio dhambi kwa sababu ni hisia tulioumbiwa nayo, tungekuwa hatutamani tusingekuwa tunajituma wala kuoa, mm nina "matamanio" ya kuishi maisha ya kiwango flani ndo maana nipo napambana, nikikutana na mdada mzuri mwenye tabia nzuri, mwanzoni kabla hatuja fahamiana lazima "nimtamani" kwanza kabla ya kum-approach.
Matamanio ndio yanayomfanya mtu anyanyuke afanye jambo fulani, ila ukizidisha matamanio ndo shida inapokuja, ndo maana Yesu anasisitiza "tuwe na kiasi"

Kula sio ulafi, lakini kula kiasi kingi hadi wenzako wakakosa chakula ni ulafi.
Upo sahihi
Cha msingi ni kuzitawala hisia
 
Jirani ni nani? Hamna mahali pameandikwa jiani ni uliyepakana nae nyumba tu.

Usitamani mali ya mtu mwingine
Na chochote kile
Kumbuka uzi unasema amelinda kiapo cha ndoa means amejizuia kimwili kucheat ila kiroho ameshamtamani..
Biblia inasema ukitamani umekwisha zini nae.
Kwa hiyo tayari tushazini
 
N swala la mda tuu..una kilaa dalili za kuja kuchepuka...narudia tena n swala la mda utataman kukutana na mwngne .....
NB: KATAA NDOA..
Nitajizuia mkuu
Kuna wanaotamani magari njiani makali lakini hawawi wezi kwenda kutaiba kuyamiliki
Kutamani kama mtu hatamani chochote basi ni mfu lengo kuu ni kuzitawala hisia
 
Jirani ni nani? Hamna mahali pameandikwa jiani ni uliyepakana nae nyumba tu.

Usitamani mali ya mtu mwingine
Na chochote kile
Kumbuka uzi unasema amelinda kiapo cha ndoa means amejizuia kimwili kucheat ila kiroho ameshamtamani..
Biblia inasema ukitamani umekwisha zini nae.
mimi nimetafuta kwenye kamusi ya Tuki sijaona sehemu inayosema jirani ni mtu yoyote. Embu tutafutie wewe hiyo kamusi inayosema haya maneno😂😂
 
Namba ulichukua?

Machalii wa Arusha (wadudu) jikusanyeni, dada yenu amewamiss.
Hatua ya kwanza ya kuchepuka ni kichukua namba
I cant risk my love life
Mume wangu ni kama rafiki yangu kwa sasa its been 8yrs and i cant imagine life without him.
Is not about minyanduano any more
Tunaweza spend like 3 hrs kitandani tunapiga stori tu
So BIG no sichukui namba sitoi namba nyege ni dakika 30 tu ila una ruin maisha na familia yako in general
 
Msichojua ndo hicho sasa
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia mihangaiko yangu ajui kituo cha gari anakoenda ila sijajua kama kweli alikua hapajui aendapo.akaniuliza nikampeleka
Jamaa wa Arusha huyo mgeni kifupi niliona alinielewa nikawa namkatisha katisha maneno yake wakati nampwleka kumuonesha akapenda gari asichojua mimi pia nimemuelewa
So nimemuonesha akabaki kasimama ananiangalia mimi huyo nimetokomea
“Ushawahi kutana na mwanaume ukamuelewa kama ni mjamzito unatamani kuificha mimba?” Basi ndo leo
Ila mimi sio mjamzito ila ninajua kujizuia na kutetea kiapo changi cha NDOA
Hata kama utatamani nje ila unatakiwa ukumbuke ahadi uliyoitoa madhabauni na kwa mwenzako bado ndoa itakua salama
Dah wakaka wa Arusha i mis home already
Haya ndio mambo ya kina Christina Shusho ya kuolewa na miaka 19,anadai alikuwa bado mdogo..
 
435724982_122130581804218078_6055734044653535548_n.jpg
 
Kuna wimbo aliwahi kuimba Stara Thomas "Usione So Sema naye....."

Ila hakuna raha Kwa Sisi Wanaume kama kuambiwa unapendwa na mrembo 😅

Uzuri wake Siku hiyo hiyo utakayosema ndiyo Siku hiyo hiyo ombi lako linakubaliwa....sio kama ninyi eti hadi ukae miezi ama Mwaka umfikirie jibu la kumpa 😜🙌
 
Msichojua ndo hicho sasa
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia mihangaiko yangu ajui kituo cha gari anakoenda ila sijajua kama kweli alikua hapajui aendapo.akaniuliza nikampeleka
Jamaa wa Arusha huyo mgeni kifupi niliona alinielewa nikawa namkatisha katisha maneno yake wakati nampwleka kumuonesha akapenda gari asichojua mimi pia nimemuelewa
So nimemuonesha akabaki kasimama ananiangalia mimi huyo nimetokomea
“Ushawahi kutana na mwanaume ukamuelewa kama ni mjamzito unatamani kuificha mimba?” Basi ndo leo
Ila mimi sio mjamzito ila ninajua kujizuia na kutetea kiapo changi cha NDOA
Hata kama utatamani nje ila unatakiwa ukumbuke ahadi uliyoitoa madhabauni na kwa mwenzako bado ndoa itakua salama
Dah wakaka wa Arusha i mis home already
Dada mbona kama ulikuwa na haraka yakutuambia hii habari!? Yaani ungetulia nayo ingekuwa bonge la stori ila umefanya haraka yaani baada tu ya jamaa kutokomea nawe ukachukua sim kutuhabarisha,
Ukipata mda andika Tena hii habari mi lengo langu nijue tu kweli unailinda ndoa Yako au kwakuwa jamaa hajakomalia mzigo nawe umeona Huna namna yakumuona Tena!?
 
Back
Top Bottom