Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
tayar ushantangaza mbon 🙆🏾Haya nitaje sikutangazi mayi😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tayar ushantangaza mbon 🙆🏾Haya nitaje sikutangazi mayi😅
Ungemuomba namba huyo mwanaume KelseaHuwa inatokea ila akipotea machoni naendelea na mambo mengine.
Kuna hospitali nilienda kuna daktari nilimkuta jamani kuna wanaume wana mionekano mizuri unabaki kuduwaa. Nikapewa huduma nikasepa japo nilitamani kuendelea kumuona.
Mimi udhaifu wangu upo hapo sipendi wanaume waongeaji .mume wangu ni mkimya sanaBahati yako nzuri umekutana na mwanaume hana elimu hii "the art of approach"...
Kila mtu anasema ni yeyeKumbe ni wewe 🥲
Almost 8yrsMmekaa miaka mingapi mkuu?
Yule mkaka ni mdudu tu chali ya chugaWakaka au wadudu?
Anakuangalia hatuwezi semaKwahiyo umesema mwanamke akinielewa ndo anakuwaje
Huna sababu ya kuogopa, huo uoga wa kusubiria mpaka utongozwe na mwanaume unaempenda, ndo unafanya wanawake wengi mnaishia ku-date na wanaume ma-hamorapa (wenye sura mbaya) mwishowe mnawachuna hela na kuwapiga na vitu vizito.Thubutu yake. Katika mambo nakwepa ni kumuonesha mwanaume nimemuelewa kabla hajanitamkia chochote. Hiki kitu nakiogopa kupita maelezo.
🤓🤓 Mafia familyPeaky blinders nilikuwa naona tu ina pop up kwenye Netflix, baada ya kuona hii id yako nikasema ngoja niangalie labda inaridhisha mpaka mtu kujiita hivyo. Kweli sikuwa disappointed.
Inategemea, kuna baadhi ya wadada wakikuelewa sana wanatumia mtu kufikisha ujumbe, kama hawanivutii nawakwepa na kuwakataa kijanja bila wao kujua kuwa nimewakataa, nakuwa siwafatilii, wala si-sex nao masai dadaAnakuangalia hatuwezi sema
Mdada akuelewe alafu akutongoze? Wachache sanaInategemea, kuna baadhi ya wadada wakikuelewa sana wanatumia mtu kufikisha ujumbe, kama hawanivutii nawakwepa na kuwakataa kijanja bila wao kujua kuwa nimewakataa, nakuwa siwafatilii, wala si-sex nao masai dada
Daktari nimekujaHuwa inatokea ila akipotea machoni naendelea na mambo mengine.
Kuna hospitali nilienda kuna daktari nilimkuta jamani kuna wanaume wana mionekano mizuri unabaki kuduwaa. Nikapewa huduma nikasepa japo nilitamani kuendelea kumuona.
Labda ningekuwa na uwezo wa kujua kiwango cha kujitambua cha mwanaume husika ningeweza kufanya hivyo lakini vinginevyo hapana naogopa sana.Huna sababu ya kuogopa, huo uoga wa kusubiria mpaka utongozwe na mwanaume unaempenda, ndo unafanya wanawake wengi mnaishia ku-date na wanaume ma-hamorapa (wenye sura mbaya) mwishowe mnawachuna hela na kuwapiga na vitu vizito.
Wanaume wengi ni maharage ya mbeya, huyo dokta muoneshe ishara za kike kuwa umempenda, asipoelewa mchane live, kuna uwezekano asilimia 95 atakukubali, ingawa shida ni kama unataka long term relationship naye, anaweza aka-sex na wewe halafu akakuacha.
Binafsi mdada akinitongoza naona fresh, ila kama nkimuona hanivutii, sitoweza ku-sex nae, namkataa na kumkwepa kijanja. Kelsea
😹 Karibu sana dakitareDaktari nimekuja
Naomba unipokee
Hongera sana mkuu.Almost 8yrs
Mtoto wetu ana 7yrs