KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Watu hubadilika na mapenzi huisha..... nyakati zinabadilisha watu na mitazamo yao........
Wewe kama Baba timiza wajibu kwa kuwa wewe ndio umewaleta duniani....lakini usitazamie makubwa kutoka kwao........
Wakati unaandaa maisha ya watoto wako pia anaandaa na ya kwako......
Wewe kama Baba timiza wajibu kwa kuwa wewe ndio umewaleta duniani....lakini usitazamie makubwa kutoka kwao........
Wakati unaandaa maisha ya watoto wako pia anaandaa na ya kwako......