Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Na kingine nilichojifunza, mwanaume akiwa karibu na mama yake na kumpenda mama yake anakuwa na respect kwa wamama wote including mkewe. Nina mifano mingi sanaaa. I love mama's boys.
Lakini kuna wanawake ambao hushikilia dhana potofu eti mwanaume akiwa anampenda mama yake na mama yake akiwa anampenda huyo mwanae basi eti huyo mwanaume ni anadeka na kudekezwa.
Ni dhana potofu sana hii. Kwani kuna ubaya gani mtu kumpenda mama yako? Na kuna ubaya gani mama kumpenda mwanae? Sasa kwa nini mapenzi ya mama na mwana wengine wayatafsiri kuwa ni madekezo? Ni ujinga (sublime ignorance) wa hali ya juu kabisa huo.